Tupo nae saaaaaana; nyie mawakala wa mashetani mlionunuliwa tunawachora tu na propaganda zenu za kjjinga mitandaoni humu.Mama Samia kabaki mwenyewe tu katika mkataba huu. Hali ni mbaya sana tena sana. Mbarawa hana amani kabisa. Bogus mkataba huu kila msomi analia. Mama kabaki na Baba Levo na Mauldi Kitenge na yule kuwadi Stev Nyerere.