Cumudia
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 505
- 843
Unaweza ishi Mbweni mwanamke wako anaishi Boko msikitini na anakumbana na mitongozo zaidi ya mia kwa wiki anajitahidi kupangua, mingine anaiweka kama back-up hasa ile iliyojaa ushawishi siku ukizingua tu au uko mbali nae ana'activate fasta ile mitongozo aliyokuwa anataka kuingia ila akikumbuka uwepo wako,ahadi zako, pete yako ya uchumba, fadhili zako anasita sita kuikubali, sasa ukiwa mbali ni rasmi ana activate kimya kimya akijua ukirudi ataitema kimya kimya matokeo yake anakolea mazima, kama ulikuwa nice guy mwenzio msela, kama wewe uli mtreat kistaarabu mwenzio anampelekesha kimalaya, kama ulikuwa mtu wa bao moja au mbili mwenzio anampakia mkongo akianza kumkunja hamuonei huruma wakati wewe unajifanya mstaarabu unaona huruma kumkunja,kama kiumbo yako size ya kati na uzito mdogo back-up Mungu kamjaalia pingili heavy weight, kama ulikuwa wa kawaida mwenzio handsome, kama ulikuwa unamhonga mwenzio ndio anahongwa ni vile kamteka kwa kipindi kifupi ambacho haupo, kupitia utofauti wenu mwanamke wako anakolea na vile wanawake walivyo na saikolojia nyepesi hawachelewi kubadilika.Ukweli mm si mtu wa kumfatilia mwanamke wala kumbana .Na wala sitakagi kujipa mawazo ya kijinga sabab si leo nimeanza nae mahusiano ya Long distance nimekaa Finland kuanzia 2019 hadi niliporudi mwaka huu 2023 January nikakuta tumehamishiwa dodoma ..Mimi ni mtu mzima siwezi kumfatilia mtu mzima mwenzangu.. Kumbe uhuru niliompa malipo si hayA .. kwani nyie wanawake mnatakaga nn?
Unavomsaliti mchumba wako unakua unawaza nn ?
Tukiua tunaonekana sisi ndo wakorofi ila wanawake wanatakiwa waingizwe kwenye listi ya vitu vinavoleta majanga duniani..
Ukiacahana na ukame, mafuriko,tsunami,vita mate matetemeko hivyo ndo vitu vinaleta majanga makubwa duniani inabdi wanawake nao watangazwe ni chanzo kingine cha majanga...
Hakuna kumpiga nyoosha mikono juu hapo kuna mjanja kakuzidi ubunifu, pangusa vumbi songa mbele... mahusiano na mwanamke ni kama betting tu,uwe mbali uwe karibu...tena usipokuwa makini utalea mimba sio yako ukijifanya unajua kupenda kupitiliza.
Wareno wanamsemo "Que você perdeu" yaani: "Imekula kwako".