Mwanamke wangu ameenda ofisini kwao na love bite shingoni. Nipo Dodoma kikazi, ijumaa narudi Dar kuonana naye

Alie niambia ni dada mtu mzima tunaheshimiana sana na ni wale wadada swala 5.. kwa kweli hawez kunidanganya .
Na nia yake ilikua ni njema sabab si kitu kizur kimaadili kupigana love bite watu wazima . Na haileti heshima kwa wafanya kazi na wateja wao wanao wahudumia ..nia yake ilikua ni njema alijua mm ndo nimefanya vile ila ukweli si mm niliefanya hivo..
Unajuaje kama huyo dada anawaonea wivu tu na hamna ukweli wowote? Wanawake huwa ni kawaida kuwekeana mtimanyongo.
 
Alie niambia ni dada mtu mzima tunaheshimiana sana na ni wale wadada swala 5.. kwa kweli hawez kunidanganya .
Na nia yake ilikua ni njema sabab si kitu kizur kimaadili kupigana love bite watu wazima . Na haileti heshima kwa wafanya kazi na wateja wao wanao wahudumia ..nia yake ilikua ni njema alijua mm ndo nimefanya vile ila ukweli si mm niliefanya hivo..
Mkuu huyo mdada kama kweli mnaheshimiana sana alipataje ujasiri wakukupigia simu na kukwambia issue ya love bite? Hiyo ni issue private,

Kwanini asimwambie huyo Mwanamke mwenyewe hapo hapo ofisini badala ya kukupigia simu wewe?

Kua makini kuna game unachezewa na wewe umeshaingia kichwa kichwa tayari.
 
Kuachana nae ni adhabu tosha, huna haja sioni haja ya kumpiga. Lolote linaweza kutokea kwa kumpiga kama kusababisha ulemavu ama kifo.

Na matokeo ya hayo ni kifungo jera au kupoteza muda mahakamani. Jambo la msingi ni wewe kupita kushoto na uendelee na maisha yako.

Muda bado upon wa kutosha papuchi Kila siku zinazaliwa mpya hivyo zipo za kutosha. Fikiria mara mbili jamaa
 
Mkuu haina haja ya uchunguzi. Kwa maumivu niliyo nayo lazima nimuumize zaid yangu ili iwe fundisho kwake asiende kufanyia watu wengine..siwezi kuumia peke yangu namna hii ..
Maumivu aliyo nisababishia lazima atayalipia..
Usimpige au usimdhuru kama umempangia na ana Kila kitu humo nenda kamfukuze ulipo mpangia chukua vitu vyako achana naye basi kuliko kumpiga aisee .. hiyo n mbaya
 
Mkuu huyo mdada kama kweli mnaheshimiana sana alipataje ujasiri wakukupigia simu na kukwambia issue ya love bite? Hiyo ni issue private,

Kwanini asimwambie huyo Mwanamke mwenyewe hapo hapo ofisini badala ya kukupigia simu wewe?

Kua makini kuna game unachezewa na wewe umeshaingia kichwa kichwa tayari.
Mimi ningekuwa huyo mwanamke ningewageuzia kibao yeye na informer wake wanakulana, akinipiga hata kibao nalaza polisi wote🤣🤣🤣
 
We nawe! Unashangaa kuchapiwa tena kwenye long-distance relationship!?😳

Huyo binti hata kama utakwenda kumpiga utamuonea tu. Na haitasaidia cho chote. Ukute ushikwe na mihasira uzidishe kipigo ujikute unaua halafu unakwenda kufia jela. For what? Mbususu?

Screenshot_20230821_101143_Chrome (1).jpg

Na #UkichapiwaKausha 📌📌📌📌
 
Mkuu huyo mdada kama kweli mnaheshimiana sana alipataje ujasiri wakukupigia simu na kukwambia issue ya love bite? Hiyo ni issue private,

Kwanini asimwambie huyo Mwanamke mwenyewe hapo hapo ofisini badala ya kukupigia simu wewe?

Kua makini kuna game unachezewa na wewe umeshaingia kichwa kichwa tayari.
Hawaheshimiani na hiyo swala 5 ni zuga tu kama baibui za Kariakoo
 
Kaoe dada yako,ila kama ndo hawa dada zetu utazeeka bila kuoa,kikubwa usione ayafanyayo
Kwa hiyo mm ndo nivumilie mwanamke wangu apigwe love bite nipotezee?
Kama aliamua kusaliti si angesaliti yaani ndo mpaka ang'atwe shingoni?
Huku ni kunikosea heshima na adabu na huu ni utovu mkubwa wa nidhamu ..
Aisee lazima apate alichostahili kupatiwa ..
Hadi hapa kashavuruga Ratiba yangu ya kwenda Machame December mana ndo nilikua naenda kumtambulisha.
 
IMG-20230306-WA0003.jpg

Manzi ako atakavokuwa anakusemea polisi baada ya kumkanda.


Anyway, on a serious note, nipe mimi huo mchongo wa kukuendesha kwenda dar.
Ya nini upande basi alaf ukose mtu wa kuku hype? Tukienda wote mimi kazi yangu ni kuendesha na kukoleza moto. Tukifika dar unaanza kupiga kuanzia mlandizi mpka kwa dem wako, kama muvi ya kichina. Ni kichapo kwenda mbele
 
Jana jioni nilipigiwa simu na dada mmoja ambae anafanya kazi ofisi moja na huyo mchumba wangu. Bila kupepesa macho alinambia kwa nini umemfanyia hivo mwenzio?

Nikamuuliza mbona sijafanya kitu? Akanambia kwanini umng'ate mwenzio shingoni (Love bite) una mchoresha. Nilistuka lakini sikuonesha sana mshangao ikabid nizuge tu kwa kumwambia tulijisahau.

Basi tukaendelea na maongezi mengine. Huyu dada anaefanya kazi na mchumba wangu huwa anafahamu kua kila weekend lazima niwe dar na bibie. Ila ukweli weekend hii sikua Da. Kwa asilimia 100 mchumba wangu amenisaliti.

Na mimi sijamueleza kitu ila kwa kweli nimeshafanya maamuzi siwezi tena kua na mwanamke msaliti. Na nimeumia sana na kwa hili lazima alipe siwezi kuumia peke yangu.

Nna mawazo sana na itabidi nipande basi maana naona niki drive hata Kutokea Dodoma hata Kibaigwa sitatoboa kwa huu msongo ntajikuta nimeingia porini na kufia huko.

Ni bora nipande basi nifike salama. Kwa kweli lazima ale kipigo kikali sanaa na kitakatifu. Sijawahi shika simu yake ila ntampiga mpaka ataifungua najua ntakutana na madudu mengi yatakayo nipa hasira ili nimpige vizuri.

Kama ni usaliti si angefanya tuu kimya kimya yaani mpaka love bite anaenda nayo ofisini na heshima yangu niliyo nayo pale ofisini kwao maana staff wenzake wengi tunafahamiana si wataniona mshamba?

Kiukweli nna hasira kali sanaa. Na kila nilicho mpa ntachoma moto na niliko mpangia naenda kuweka komeo maana mimi ndo nasomeka kwenye mkataba wa upangaji..

Hii dhahiri shairi nimepigiwa. Mwanamke nilimpa kila kitu ila ndo hivo.

Na uchumba umekufa rasmi.
Pole mkuu sikujua kama ulimposa huyu demu. Sitang'ata tena
 
Jana jioni nilipigiwa simu na dada mmoja ambae anafanya kazi ofisi moja na huyo mchumba wangu. Bila kupepesa macho alinambia kwa nini umemfanyia hivo mwenzio?

Nikamuuliza mbona sijafanya kitu? Akanambia kwanini umng'ate mwenzio shingoni (Love bite) una mchoresha. Nilistuka lakini sikuonesha sana mshangao ikabid nizuge tu kwa kumwambia tulijisahau.

Basi tukaendelea na maongezi mengine. Huyu dada anaefanya kazi na mchumba wangu huwa anafahamu kua kila weekend lazima niwe dar na bibie. Ila ukweli weekend hii sikua Da. Kwa asilimia 100 mchumba wangu amenisaliti.

Na mimi sijamueleza kitu ila kwa kweli nimeshafanya maamuzi siwezi tena kua na mwanamke msaliti. Na nimeumia sana na kwa hili lazima alipe siwezi kuumia peke yangu.

Nna mawazo sana na itabidi nipande basi maana naona niki drive hata Kutokea Dodoma hata Kibaigwa sitatoboa kwa huu msongo ntajikuta nimeingia porini na kufia huko.

Ni bora nipande basi nifike salama. Kwa kweli lazima ale kipigo kikali sanaa na kitakatifu. Sijawahi shika simu yake ila ntampiga mpaka ataifungua najua ntakutana na madudu mengi yatakayo nipa hasira ili nimpige vizuri.

Kama ni usaliti si angefanya tuu kimya kimya yaani mpaka love bite anaenda nayo ofisini na heshima yangu niliyo nayo pale ofisini kwao maana staff wenzake wengi tunafahamiana si wataniona mshamba?

Kiukweli nna hasira kali sanaa. Na kila nilicho mpa ntachoma moto na niliko mpangia naenda kuweka komeo maana mimi ndo nasomeka kwenye mkataba wa upangaji..

Hii dhahiri shairi nimepigiwa. Mwanamke nilimpa kila kitu ila ndo hivo.

Na uchumba umekufa rasmi.
Pole sana mkuu……jamani mnifundishe na mm kupiga love bite
 
Alie niambia ni dada mtu mzima tunaheshimiana sana na ni wale wadada swala 5.. kwa kweli hawez kunidanganya .
Na nia yake ilikua ni njema sabab si kitu kizur kimaadili kupigana love bite watu wazima . Na haileti heshima kwa wafanya kazi na wateja wao wanao wahudumia ..nia yake ilikua ni njema alijua mm ndo nimefanya vile ila ukweli si mm niliefanya hivo..

Mkuu huwajui watu vizuri wewe…mtu mzima swala 5 ndo hawezi sema uongo? Hapati wivu?
Wewe apo ungemwambia tu natamani nawewe nikuekee love bite Afu uone reaction ngoja umpige bidada wa watu afu ukute kweli hakupendi kiivo atakupeleka jela afu aendelee na mchizi Mr. love bite
 
Back
Top Bottom