Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,680
- 112,877
Elewa neno serious 😃Kuna mdau wa if alisema ili mapenzi ya mbali yadumu inabidi wote wanne muwe serious🤣🤣🤣 take it easy.
Elewa neno serious 😃Kuna mdau wa if alisema ili mapenzi ya mbali yadumu inabidi wote wanne muwe serious🤣🤣🤣 take it easy.
Unajuaje kama huyo dada anawaonea wivu tu na hamna ukweli wowote? Wanawake huwa ni kawaida kuwekeana mtimanyongo.Alie niambia ni dada mtu mzima tunaheshimiana sana na ni wale wadada swala 5.. kwa kweli hawez kunidanganya .
Na nia yake ilikua ni njema sabab si kitu kizur kimaadili kupigana love bite watu wazima . Na haileti heshima kwa wafanya kazi na wateja wao wanao wahudumia ..nia yake ilikua ni njema alijua mm ndo nimefanya vile ila ukweli si mm niliefanya hivo..
Mkuu huyo mdada kama kweli mnaheshimiana sana alipataje ujasiri wakukupigia simu na kukwambia issue ya love bite? Hiyo ni issue private,Alie niambia ni dada mtu mzima tunaheshimiana sana na ni wale wadada swala 5.. kwa kweli hawez kunidanganya .
Na nia yake ilikua ni njema sabab si kitu kizur kimaadili kupigana love bite watu wazima . Na haileti heshima kwa wafanya kazi na wateja wao wanao wahudumia ..nia yake ilikua ni njema alijua mm ndo nimefanya vile ila ukweli si mm niliefanya hivo..
PUnguza hasira ila usifanye maamuzi ya haraka ni bora ukachunguza unamuamini huyo dada kuliko mpenzi wako?Jana jioni nilipigiwa simu na dada mmoja ambae anafanya kazi ofisi moja na huyo mchumba wangu. Bila kupepesa macho alinambia kwa nini umemfanyia hivo mwenzio...
Usimpige au usimdhuru kama umempangia na ana Kila kitu humo nenda kamfukuze ulipo mpangia chukua vitu vyako achana naye basi kuliko kumpiga aisee .. hiyo n mbayaMkuu haina haja ya uchunguzi. Kwa maumivu niliyo nayo lazima nimuumize zaid yangu ili iwe fundisho kwake asiende kufanyia watu wengine..siwezi kuumia peke yangu namna hii ..
Maumivu aliyo nisababishia lazima atayalipia..
NAKAZIABaada ya hapo move on achana naye kabisa futa namba block maana huwa wanarudinkwa kubembeleza sana
Mimi ningekuwa huyo mwanamke ningewageuzia kibao yeye na informer wake wanakulana, akinipiga hata kibao nalaza polisi wote🤣🤣🤣Mkuu huyo mdada kama kweli mnaheshimiana sana alipataje ujasiri wakukupigia simu na kukwambia issue ya love bite? Hiyo ni issue private,
Kwanini asimwambie huyo Mwanamke mwenyewe hapo hapo ofisini badala ya kukupigia simu wewe?
Kua makini kuna game unachezewa na wewe umeshaingia kichwa kichwa tayari.
🤣🤣🤣🤣 Mtoto mkubwaInawezekana alibeba mtoto akamng'ata kwa jujuu ya ngozi...
Hawaheshimiani na hiyo swala 5 ni zuga tu kama baibui za KariakooMkuu huyo mdada kama kweli mnaheshimiana sana alipataje ujasiri wakukupigia simu na kukwambia issue ya love bite? Hiyo ni issue private,
Kwanini asimwambie huyo Mwanamke mwenyewe hapo hapo ofisini badala ya kukupigia simu wewe?
Kua makini kuna game unachezewa na wewe umeshaingia kichwa kichwa tayari.
Kwa hiyo mm ndo nivumilie mwanamke wangu apigwe love bite nipotezee?Kaoe dada yako,ila kama ndo hawa dada zetu utazeeka bila kuoa,kikubwa usione ayafanyayo
Pole mkuu sikujua kama ulimposa huyu demu. Sitang'ata tenaJana jioni nilipigiwa simu na dada mmoja ambae anafanya kazi ofisi moja na huyo mchumba wangu. Bila kupepesa macho alinambia kwa nini umemfanyia hivo mwenzio?
Nikamuuliza mbona sijafanya kitu? Akanambia kwanini umng'ate mwenzio shingoni (Love bite) una mchoresha. Nilistuka lakini sikuonesha sana mshangao ikabid nizuge tu kwa kumwambia tulijisahau.
Basi tukaendelea na maongezi mengine. Huyu dada anaefanya kazi na mchumba wangu huwa anafahamu kua kila weekend lazima niwe dar na bibie. Ila ukweli weekend hii sikua Da. Kwa asilimia 100 mchumba wangu amenisaliti.
Na mimi sijamueleza kitu ila kwa kweli nimeshafanya maamuzi siwezi tena kua na mwanamke msaliti. Na nimeumia sana na kwa hili lazima alipe siwezi kuumia peke yangu.
Nna mawazo sana na itabidi nipande basi maana naona niki drive hata Kutokea Dodoma hata Kibaigwa sitatoboa kwa huu msongo ntajikuta nimeingia porini na kufia huko.
Ni bora nipande basi nifike salama. Kwa kweli lazima ale kipigo kikali sanaa na kitakatifu. Sijawahi shika simu yake ila ntampiga mpaka ataifungua najua ntakutana na madudu mengi yatakayo nipa hasira ili nimpige vizuri.
Kama ni usaliti si angefanya tuu kimya kimya yaani mpaka love bite anaenda nayo ofisini na heshima yangu niliyo nayo pale ofisini kwao maana staff wenzake wengi tunafahamiana si wataniona mshamba?
Kiukweli nna hasira kali sanaa. Na kila nilicho mpa ntachoma moto na niliko mpangia naenda kuweka komeo maana mimi ndo nasomeka kwenye mkataba wa upangaji..
Hii dhahiri shairi nimepigiwa. Mwanamke nilimpa kila kitu ila ndo hivo.
Na uchumba umekufa rasmi.
Pole sana mkuu……jamani mnifundishe na mm kupiga love biteJana jioni nilipigiwa simu na dada mmoja ambae anafanya kazi ofisi moja na huyo mchumba wangu. Bila kupepesa macho alinambia kwa nini umemfanyia hivo mwenzio?
Nikamuuliza mbona sijafanya kitu? Akanambia kwanini umng'ate mwenzio shingoni (Love bite) una mchoresha. Nilistuka lakini sikuonesha sana mshangao ikabid nizuge tu kwa kumwambia tulijisahau.
Basi tukaendelea na maongezi mengine. Huyu dada anaefanya kazi na mchumba wangu huwa anafahamu kua kila weekend lazima niwe dar na bibie. Ila ukweli weekend hii sikua Da. Kwa asilimia 100 mchumba wangu amenisaliti.
Na mimi sijamueleza kitu ila kwa kweli nimeshafanya maamuzi siwezi tena kua na mwanamke msaliti. Na nimeumia sana na kwa hili lazima alipe siwezi kuumia peke yangu.
Nna mawazo sana na itabidi nipande basi maana naona niki drive hata Kutokea Dodoma hata Kibaigwa sitatoboa kwa huu msongo ntajikuta nimeingia porini na kufia huko.
Ni bora nipande basi nifike salama. Kwa kweli lazima ale kipigo kikali sanaa na kitakatifu. Sijawahi shika simu yake ila ntampiga mpaka ataifungua najua ntakutana na madudu mengi yatakayo nipa hasira ili nimpige vizuri.
Kama ni usaliti si angefanya tuu kimya kimya yaani mpaka love bite anaenda nayo ofisini na heshima yangu niliyo nayo pale ofisini kwao maana staff wenzake wengi tunafahamiana si wataniona mshamba?
Kiukweli nna hasira kali sanaa. Na kila nilicho mpa ntachoma moto na niliko mpangia naenda kuweka komeo maana mimi ndo nasomeka kwenye mkataba wa upangaji..
Hii dhahiri shairi nimepigiwa. Mwanamke nilimpa kila kitu ila ndo hivo.
Na uchumba umekufa rasmi.
Alie niambia ni dada mtu mzima tunaheshimiana sana na ni wale wadada swala 5.. kwa kweli hawez kunidanganya .
Na nia yake ilikua ni njema sabab si kitu kizur kimaadili kupigana love bite watu wazima . Na haileti heshima kwa wafanya kazi na wateja wao wanao wahudumia ..nia yake ilikua ni njema alijua mm ndo nimefanya vile ila ukweli si mm niliefanya hivo..