Mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa kwa asilimia mia. Naombeni ushauri

1.Kwanza pole kwa kwa kuambukizwa HIV jitahidi kutumia dawa wewe jamaaa

2.mtoto sio wako huyo we jamaaa achana naye Kama ni wako siku mama yakimshinda atamleta mwenyewe

3.la mwisho na MUHIMU kabisa ebu nipe connection huko ndugu na mie nipige code hapo kwa wahindi au sehemu yeyote ni develop system,web app na phone application mkuu maisha magumu sana kitaaa
1. Asante bro, ila Sina maambukizi ya HIV

2. Nilipima DNA kaka mtoto ni wakwangu

3. Aina shida ndugu ntakutaftia, au ntaongea na HR, email yangu iyo bcoin535@gmail.com
 
1. Mtoto ni wangu maana nilienda kupima DNA, pamoja na wazazi wangu bila ya yeye kujua mpaka Sasa

2. Kitu ambacho nimejifunza ni ata kama umelala na mtu alie Asilika na HIV, ukimuandaa uwezi pata ugonjwa maana mpaka upate msuguano mkavu sana ndo unaweza kuambukizwa. Na kama anatumia sawa ipasavyo pia ningumu sana kupata

3. Yah siwezi kuwa namusiano mpaka nipime, maana najitaidi sana kupima Kila Baada ya mwaka maana nshakuwa muoga sasa
Hongera
Upo vzr!
 
Mkuu chukua mtoto wa jiran nenda kapime DNA Uone Kama hawakuambii mtoto wako haaaaa🤣🤣🤣
Nadhani kulingana na hospital, mm nilienda private hospital na sio government hospital, baba kuna doctor kasoma nae ndo tulienda kwake direct,
 
Mimi sijalia naomba ushauli nijue jinsi gani ya kuweza kuwa karibu na mwanangu wa kike. Labda niende maakamani au nifanye hivi ilimradi nisivunje sheria
Je mpaka sasa hauna ukimwi? Kama ni yes bas mshikilie sana Mungu wako kwa kukuokoa kwenye jehanam hiyo. Achana nae mtoto akikua atakutafuta japo atakosa malezi au elimu uliyokuwa unatarajia
 
Ni mesoma andiko lako lote, ila na wasiwasi kama wewe ni mwanaume kamiri alijali, hapo sioni sabb ya kulia lia umefanyiwa hayo yote bado unaguvu za kumuona huyu demu eti kisa ana mtoto wako tena wakike!!!!! Achana na huo ujinga akitaka ata mleta mtoto kama hataki move on zaa wengine kwani mimba unabeba wewe?
Nadhani shida sio kuwa lijali au mwanaume kamili, kitu nacho jitaidi Mimi ni kufanya familia yangu au watoto wangu wawe pamoja, mwanangu wa kike na wakiume. Waenjoy uwepo wangu katika maisha Yao, maana niliogopa sana Baada ya kusema anambadilisha jina angali mwanangu
 
1. Mtoto ni wangu maana nilienda kupima DNA, pamoja na wazazi wangu bila ya yeye kujua mpaka Sasa

2. Kitu ambacho nimejifunza ni ata kama umelala na mtu alie Asilika na HIV, ukimuandaa uwezi pata ugonjwa maana mpaka upate msuguano mkavu sana ndo unaweza kuambukizwa. Na kama anatumia sawa ipasavyo pia ningumu sana kupata

3. Yah siwezi kuwa namusiano mpaka nipime, maana najitaidi sana kupima Kila Baada ya mwaka maana nshakuwa muoga sasa
Hiyo programme ya kulipia ni ipi ndugu?
 
Mtoto anaruhusiwa uchagua mzazi anayetaka kuishi naye endapo wazazi wametengana akiwa na miaka 7.
Ushauri, mpeleke mtoto shule za boarding uwe unamhudumia akiwa huko.Jitahidi kwenda kumtembelea kila visiting day na kumpelekea zawadi.Hii inakusaidia kutengeneza bond na huyu mtoto.Akishakua mkubwa level ya sekondari atakuwa ameishajielewa hivyo atakuwa na ukaribu na wewe maana tayari anajua wewe ndo baba yake.
 
Mtoto anaruhusiwa uchagua mzazi anayetaka kuishi naye endapo wazazi wametengana akiwa na miaka 7.
Ushauri, mpeleke mtoto shule za boarding uwe unamhudumia akiwa huko.Jitahidi kwenda kumtembelea kila visiting day na kumpelekea zawadi.Hii inakusaidia kutengeneza bond na huyu mtoto.Akishakua mkubwa level ya sekondari atakuwa ameishajielewa hivyo atakuwa na ukaribu na wewe maana tayari anajua wewe ndo baba yake.
Asante Kwa ushauli ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom