Anaweza. Kuna watu wanaishi kwa mshahara wa 300k. Sembuse yeye 800k.
Vitu hivi ukiweza kuviepuka utaweza:
1. Wanawake(umalaya)
2. Pombe
3. Marafiki wa hovyo
4. Kuendekeza kusaidia ndugu marafiki
Vitu hivi ukiweza kuviepuka utaweza:
1. Wanawake(umalaya)
2. Pombe
3. Marafiki wa hovyo
4. Kuendekeza kusaidia ndugu marafiki
Wewe unaleta mzaha hapa kumbe? Mtu mwenye mshahara wa 1.2 anawezaje kutunza 400k katika nchi hii? Ajabu sana