Mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa kwa asilimia mia. Naombeni ushauri

Anaweza. Kuna watu wanaishi kwa mshahara wa 300k. Sembuse yeye 800k.
Vitu hivi ukiweza kuviepuka utaweza:
1. Wanawake(umalaya)
2. Pombe
3. Marafiki wa hovyo
4. Kuendekeza kusaidia ndugu marafiki
Wewe unaleta mzaha hapa kumbe? Mtu mwenye mshahara wa 1.2 anawezaje kutunza 400k katika nchi hii? Ajabu sana
 
Habari wana JF, Nilikuwa na changamoto naitaji kushare na nyinyi ili muweze kunisaidia kimawazo,
Maana kuna kitu kinaniumiza sana katika Maisha yangu.

Mnamo Mwaka 2015
Nilikutana na binti wa kimakonde wakati nipo nmepata kazi yangu ya kwanza kwa wahindi, kama Full Stack Developer maana nilisoma Computer Science Pale DIT, mshahara wangu ulikuwa kama 1.2M per mouth ambao napata cash ktk account, Tulipendana nayeye alikuwa muhanga wa ajila za uwalimu wa shule za msingi, alikosa kazi kwa muda mrefu. Pindi nmekutana nae alikuwa ana kazi.

Tuliishi vizuri kwa furaha na amani takribani kwa miaka 3 bila shida yoyote, alinieleza Maisha yake aliyo pitia na changamoto za wanaume alio kutana nao. Ila wakati tunaishi katika miaka iyo mitatu nilikutana na changamoto moja aliniambia mtu wake wa mwisho katika mausiano alikuwa anaumwa sana ugonjwa wa moyo na baadae alifaliki dunia, kwaiyo kipindi anakutana na mimi nilikuta baadhi ya picha za yule kijana mwenzangu ambae alifaliki dunia kwa ugonjwa wa moyo. Ila mimi sikujaji sana Maisha yakaendelea.

Alinikuta nakaa ktk chumba na sebule, Tukaishi akawa anakuja home na mimi naenda kwao, wakawa wananijuwa kama mchumba wake, Kusema ukweli kipindi nipo nae kablaya kfanya mapezi nilipima nae HIV na baada ya kuona tupo sawa tukaendaelea kula ujana.

Baada ya kuona Afya zetu zipo sawa na salama, aliniambia mm bado nipo bikla kwaiyo ukinitoa bikla razima unioe, maana kwao walikuwa watu wa dini sana, siku ya kwanza kukutana nae kimwili niliumia sana ila ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kulala na mwanamke. Nilijuwa kawaida na sikumuliza mtu yoyote kuhusu jambo ilo.

Mwaka 2016 Nikaanza kuona baadhi ya tabia tofauti mara mda mwengine nikishika simu yake anakuwa ana wasi wasi, ilasikujali maana nilijuwa labda ajazoea mtu kushika simu yake. Baadae kuna namba nikawa naiyona sana katika call arafu anaonge nayo mda mwingi sana, sikuwaza wala sikutaka kumfatilia sana. Nilifikilia anaweza akawa ndugu zake wa kijijini. Baadae nikagundua sioni kijana ila yeye alinitambulisha kama Rafiki yake wa mtaani ambapo alipokulia. Baadae nilivyokuw na wasiwasi nikamshauli aifute namba na nikamsajilia namba mpya.

Mwaka 2017 Nilikuja kuona txt za kimapenzi na ile namba ambayo mm niliweka ktk diary yangu, na kuifuta katika simu yake na kumwambia kijana asimpigie tena. Maana ndo mwaka ambao nilipeleka posa kwao kwa ajili ya kufunga nae ndoa. Mwishoni mwa mwaka alipata ujauzito, baada ya kwanza kwenda clinic mara ya kwanza wote kwenda hospital kupima akakutwa na HIV ila cha ajabu mimi nilikutwa sina mambukizi yoyote.

Nililia sana usiku na yeye akawa ananiambia tuachane nilikataa maana niliomba ushauri kwa daktari akaniambia mtoto awezi kupata mambukizi na mm siwezi kupata mambukizi ikiwa anatumia vizuri dawa za ARV, Nilikubali kuishi nae akiwa katika ali iyo iyo na baada ya kujifungua na mtoto kufikisha arobaini kama sisi waislam mwaka 2018 nikafunga nae ndoa. Mungu alinijalia kupata mtoto wa kwanza wa kike

Mwaka 2018 tarehe 08/06/2018 nikafunga nae ndo na kuamia katika nyumba nzima maana si unajua maswala ya uzazi, ndugu wanakuja kumuona mtoto na mambo mengine, ila kipindi chote cha ujauzito niliishi nae mpaka anapata uchungu niliishi nae mpaka nampeleka hospital kujifungua na kipindi anatoka hospital alikaa kwa kwa muda wa siku tano tu na kurudi nikae nae, nilimkanda na kumsafisha, nadhani nilijifunza vitu vingi vya uzazi kupitia yeye. Na tulipendana sana bila ya kujali ugonjwa wake wa HIV.

Mwaka 2019 Kampuni yetu ilifunguwa tawi arusha nikawa nambiwa kila baada ya miezi tisa nenda nakaa kwa muda wa miezi mitatu na kurudi home dar, kabla ya kuondoka kwenda arusha nikaona kuna mabadiliko sana kama mke na mume, kuna program ya kulipia nika muwekea ktk simu yake na kuanza ku track kila kitu anachofanya ktk simu yake, nilifanikiwa kupata tena ile namba ambayo nilikuwa nimeiandika katika diary yangu kuwa anaonge nayo sana.

Nikaenda kwa babu nyumbani mzaa baba na kumuelewesha mambo ninayo kutana nayo katika ndoa, akanishauli kama nasafiri nimuache akiwa katika period nisiondoke mpaka akipata period, basi nikajichelewesha kazini mwishoe nikaondoka kuelekea arusha na kumuacha akiwa katika period, miezi mitatu ikaisha na baadae nikarudi home, niliumia sana baada ya kurudi home maana nilikuta vitu vingi sana katika computer baada ya kuanza kuangalia toka naondoka mpaka narudi, kila kitu nilikuta ata kama alifuta kule nilikuta na inaonyesha kama kimefutwa.

Nilipiga sana moyo maana niligundua kuwa ni mjamzito ila nilijikaza sana, bila yay eye kugundua kama najuwa, nilijitaidi kuto kuonyesha tofauti yoyote, aliniforce sana nilale nae na mimi sikukataa nil ilala nae angali nina Ushahidi katika computer, maana alikuwa anamwambia jamaa kuwa ajaziona siku zake. Baadae alikuja akaniambia mme wangu naisi nina ujauzito sikubisha nilimuonesha nimefurahi sana. Baada ya mimba kutimia miezi 5 nilishindwa kuvumilia maana mda mwingi kipindi cha usiku nilikuwa nakosa usingizi nabaki namuangalia akiwa amelala.

Inafika kipindi nachukuwa hadi kisu nataka kumuuwa kwa kumchoma choma, rakini moyo unasita nikimuangalia binti yangu mdogo asiye jua lolote, sikutaka mwanangu aje kupata shida kwa sababu yangu, niliisi ntaenda jela kwa kosa la kuuwa. Baadae nikaenda kumwambia babu mzaa baba wakaita kikao na tukaongea kama ndugu upande wetu mimi baba na babu nikaulizwa vipi unataka kuendelea nae au tuwatalifu wazazi wao, bas moyo wangu nikashauli tuongee na wazazi wao.

Ikapangwa tarehe ila bado mimi sikumwambia chochote mke wangu. Siku ya kikao ilipo fika nilienda kwao na familia yangu bila ya yeye kujuwa chochote. Tukaonge baadae wakanipa option ya kuchaguwa mm nikachaguwa kuachana nae. Aliitwa akaja na akakili japo aliomba msamaha sana ila mimi nilikataa kuendelea nae, tukamuacha kwao na sisi tukaondoka.

Mwaka 2020 Baada ya kujifungua nilimpa taraka zake zote, na kama kawaida yangu kila nnapopata mda naenda kumfata mwanangu nakaa nae weekend siku za kazi namrudisha kwa mama yake. Napeleka pesa za matumizi kama kawaida, baada yam waka mmoja mdogo wake wa kike alinitafuta na kuanza kunipa mkanda mzima sasa, kuwa yule jamaa ambae nilikuwa naongea nae alikuwa ndo mwanaume wake wa kwaza ambae kipindi sijakuwa nae jamaa alikuwa anatambulika nyumbani, na kipindi mimi nipo nae jamaa alikuwa ameenda kusoma urusi, maana alimuahidi akasome akirudi watakuja kufunga ndoa na jamaa now ni mwanajeshi, ndo yupo nae hadi hivi sasa, maana nilipo sikia maneno ayo niliumia sana maana alikuwa anajuwa alafu alinificha, kile kitendo kilinifanya nilale nae yule mdogo wake wa kike ili kulipiza kisasi. Aliniambia mpaka siku anakuja kwangu kumtoa bikra ilikuwa sio bikra bali aliniweka shabu sijui inaitwa, maana iyo mm sio mwanaume wake wa kwanza. Nilijitaidi na mimi kumumiza ili ajue na mimi nmelala na mdogo wake kama revenge, na niliweza wakagombana na mdogo wake.

Mwaka 2021 Nikaona naanza kunyimwa mtoto siku za weekend, na kuanza kuwekewa vizuizi vya kumuona mtoto maana wazazi wake wapo chanika now baada ya kustaafu kazi za serikari, na mwaka huu alipata kazi ya kuwa mwalimu ya shule ya msingi, ambayo ipo mkoani ambapo napajuwa mpaka shule anayo fundisha. Najitaidi sana kumbembeleza ili niwe karubu na mwanangu naona inakuwa ngumu sana. Baadae na mimi nilibalikiwa kupata mtoto mwengine wa kiume, nilimsahau kwa muda mfupi tena na machungu yakapungua ktk Maisha yangu.

Mwaka 2022 Huu mwaka nmepatwa na jinamizi la kumuota mwanangu wa kike wa kwanza kila ninapojitaidi kulala, nayeye bado ataki mm niweze kuwa karibu na mwanagu wa kike, maana now bado sijaowa ila naishi na msichana tu tumezaa mtoto mmoja, maana mara ya mwisho kuongea nae baada ya kugundua nina mtoto mwengine anasema atabadilisha jina la baba la mtoto aitwe jina la baba mwanajeshi. Naombeni ushauli wadau naweza kumpata mwanangu kwa kutumia sheria au nafanyaje.

Maana ndo mwanangu wa kwanza naumia sana damu yangu ikipotea bule bila sababu yoyote maana naona kila siku nazidi kupagwa na mwanangu wa kike naombeni ushauli
Nenda Ustawi wa Jamii ili wakusaidie. Pia omba wewe na mtoto mpimwe DNA, kuthibitisha mtomto ni wako. Nasema hivyo, kwa sababu mwanamke anaweza kudai mtoto si wako.
 
Habari wana JF, Nilikuwa na changamoto naitaji kushare na nyinyi ili muweze kunisaidia kimawazo,
Maana kuna kitu kinaniumiza sana katika Maisha yangu.

Mnamo Mwaka 2015
Nilikutana na binti wa kimakonde wakati nipo nmepata kazi yangu ya kwanza kwa wahindi, kama Full Stack Developer maana nilisoma Computer Science Pale DIT, mshahara wangu ulikuwa kama 1.2M per mouth ambao napata cash ktk account, Tulipendana nayeye alikuwa muhanga wa ajila za uwalimu wa shule za msingi, alikosa kazi kwa muda mrefu. Pindi nmekutana nae alikuwa ana kazi.

Tuliishi vizuri kwa furaha na amani takribani kwa miaka 3 bila shida yoyote, alinieleza Maisha yake aliyo pitia na changamoto za wanaume alio kutana nao. Ila wakati tunaishi katika miaka iyo mitatu nilikutana na changamoto moja aliniambia mtu wake wa mwisho katika mausiano alikuwa anaumwa sana ugonjwa wa moyo na baadae alifaliki dunia, kwaiyo kipindi anakutana na mimi nilikuta baadhi ya picha za yule kijana mwenzangu ambae alifaliki dunia kwa ugonjwa wa moyo. Ila mimi sikujaji sana Maisha yakaendelea.

Alinikuta nakaa ktk chumba na sebule, Tukaishi akawa anakuja home na mimi naenda kwao, wakawa wananijuwa kama mchumba wake, Kusema ukweli kipindi nipo nae kablaya kfanya mapezi nilipima nae HIV na baada ya kuona tupo sawa tukaendaelea kula ujana.

Baada ya kuona Afya zetu zipo sawa na salama, aliniambia mm bado nipo bikla kwaiyo ukinitoa bikla razima unioe, maana kwao walikuwa watu wa dini sana, siku ya kwanza kukutana nae kimwili niliumia sana ila ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kulala na mwanamke. Nilijuwa kawaida na sikumuliza mtu yoyote kuhusu jambo ilo.

Mwaka 2016 Nikaanza kuona baadhi ya tabia tofauti mara mda mwengine nikishika simu yake anakuwa ana wasi wasi, ilasikujali maana nilijuwa labda ajazoea mtu kushika simu yake. Baadae kuna namba nikawa naiyona sana katika call arafu anaonge nayo mda mwingi sana, sikuwaza wala sikutaka kumfatilia sana. Nilifikilia anaweza akawa ndugu zake wa kijijini. Baadae nikagundua sioni kijana ila yeye alinitambulisha kama Rafiki yake wa mtaani ambapo alipokulia. Baadae nilivyokuw na wasiwasi nikamshauli aifute namba na nikamsajilia namba mpya.

Mwaka 2017 Nilikuja kuona txt za kimapenzi na ile namba ambayo mm niliweka ktk diary yangu, na kuifuta katika simu yake na kumwambia kijana asimpigie tena. Maana ndo mwaka ambao nilipeleka posa kwao kwa ajili ya kufunga nae ndoa. Mwishoni mwa mwaka alipata ujauzito, baada ya kwanza kwenda clinic mara ya kwanza wote kwenda hospital kupima akakutwa na HIV ila cha ajabu mimi nilikutwa sina mambukizi yoyote.

Nililia sana usiku na yeye akawa ananiambia tuachane nilikataa maana niliomba ushauri kwa daktari akaniambia mtoto awezi kupata mambukizi na mm siwezi kupata mambukizi ikiwa anatumia vizuri dawa za ARV, Nilikubali kuishi nae akiwa katika ali iyo iyo na baada ya kujifungua na mtoto kufikisha arobaini kama sisi waislam mwaka 2018 nikafunga nae ndoa. Mungu alinijalia kupata mtoto wa kwanza wa kike

Mwaka 2018 tarehe 08/06/2018 nikafunga nae ndo na kuamia katika nyumba nzima maana si unajua maswala ya uzazi, ndugu wanakuja kumuona mtoto na mambo mengine, ila kipindi chote cha ujauzito niliishi nae mpaka anapata uchungu niliishi nae mpaka nampeleka hospital kujifungua na kipindi anatoka hospital alikaa kwa kwa muda wa siku tano tu na kurudi nikae nae, nilimkanda na kumsafisha, nadhani nilijifunza vitu vingi vya uzazi kupitia yeye. Na tulipendana sana bila ya kujali ugonjwa wake wa HIV.

Mwaka 2019 Kampuni yetu ilifunguwa tawi arusha nikawa nambiwa kila baada ya miezi tisa nenda nakaa kwa muda wa miezi mitatu na kurudi home dar, kabla ya kuondoka kwenda arusha nikaona kuna mabadiliko sana kama mke na mume, kuna program ya kulipia nika muwekea ktk simu yake na kuanza ku track kila kitu anachofanya ktk simu yake, nilifanikiwa kupata tena ile namba ambayo nilikuwa nimeiandika katika diary yangu kuwa anaonge nayo sana.

Nikaenda kwa babu nyumbani mzaa baba na kumuelewesha mambo ninayo kutana nayo katika ndoa, akanishauli kama nasafiri nimuache akiwa katika period nisiondoke mpaka akipata period, basi nikajichelewesha kazini mwishoe nikaondoka kuelekea arusha na kumuacha akiwa katika period, miezi mitatu ikaisha na baadae nikarudi home, niliumia sana baada ya kurudi home maana nilikuta vitu vingi sana katika computer baada ya kuanza kuangalia toka naondoka mpaka narudi, kila kitu nilikuta ata kama alifuta kule nilikuta na inaonyesha kama kimefutwa.

Nilipiga sana moyo maana niligundua kuwa ni mjamzito ila nilijikaza sana, bila yay eye kugundua kama najuwa, nilijitaidi kuto kuonyesha tofauti yoyote, aliniforce sana nilale nae na mimi sikukataa nil ilala nae angali nina Ushahidi katika computer, maana alikuwa anamwambia jamaa kuwa ajaziona siku zake. Baadae alikuja akaniambia mme wangu naisi nina ujauzito sikubisha nilimuonesha nimefurahi sana. Baada ya mimba kutimia miezi 5 nilishindwa kuvumilia maana mda mwingi kipindi cha usiku nilikuwa nakosa usingizi nabaki namuangalia akiwa amelala.

Inafika kipindi nachukuwa hadi kisu nataka kumuuwa kwa kumchoma choma, rakini moyo unasita nikimuangalia binti yangu mdogo asiye jua lolote, sikutaka mwanangu aje kupata shida kwa sababu yangu, niliisi ntaenda jela kwa kosa la kuuwa. Baadae nikaenda kumwambia babu mzaa baba wakaita kikao na tukaongea kama ndugu upande wetu mimi baba na babu nikaulizwa vipi unataka kuendelea nae au tuwatalifu wazazi wao, bas moyo wangu nikashauli tuongee na wazazi wao.

Ikapangwa tarehe ila bado mimi sikumwambia chochote mke wangu. Siku ya kikao ilipo fika nilienda kwao na familia yangu bila ya yeye kujuwa chochote. Tukaonge baadae wakanipa option ya kuchaguwa mm nikachaguwa kuachana nae. Aliitwa akaja na akakili japo aliomba msamaha sana ila mimi nilikataa kuendelea nae, tukamuacha kwao na sisi tukaondoka.

Mwaka 2020 Baada ya kujifungua nilimpa taraka zake zote, na kama kawaida yangu kila nnapopata mda naenda kumfata mwanangu nakaa nae weekend siku za kazi namrudisha kwa mama yake. Napeleka pesa za matumizi kama kawaida, baada yam waka mmoja mdogo wake wa kike alinitafuta na kuanza kunipa mkanda mzima sasa, kuwa yule jamaa ambae nilikuwa naongea nae alikuwa ndo mwanaume wake wa kwaza ambae kipindi sijakuwa nae jamaa alikuwa anatambulika nyumbani, na kipindi mimi nipo nae jamaa alikuwa ameenda kusoma urusi, maana alimuahidi akasome akirudi watakuja kufunga ndoa na jamaa now ni mwanajeshi, ndo yupo nae hadi hivi sasa, maana nilipo sikia maneno ayo niliumia sana maana alikuwa anajuwa alafu alinificha, kile kitendo kilinifanya nilale nae yule mdogo wake wa kike ili kulipiza kisasi. Aliniambia mpaka siku anakuja kwangu kumtoa bikra ilikuwa sio bikra bali aliniweka shabu sijui inaitwa, maana iyo mm sio mwanaume wake wa kwanza. Nilijitaidi na mimi kumumiza ili ajue na mimi nmelala na mdogo wake kama revenge, na niliweza wakagombana na mdogo wake.

Mwaka 2021 Nikaona naanza kunyimwa mtoto siku za weekend, na kuanza kuwekewa vizuizi vya kumuona mtoto maana wazazi wake wapo chanika now baada ya kustaafu kazi za serikari, na mwaka huu alipata kazi ya kuwa mwalimu ya shule ya msingi, ambayo ipo mkoani ambapo napajuwa mpaka shule anayo fundisha. Najitaidi sana kumbembeleza ili niwe karubu na mwanangu naona inakuwa ngumu sana. Baadae na mimi nilibalikiwa kupata mtoto mwengine wa kiume, nilimsahau kwa muda mfupi tena na machungu yakapungua ktk Maisha yangu.

Mwaka 2022 Huu mwaka nmepatwa na jinamizi la kumuota mwanangu wa kike wa kwanza kila ninapojitaidi kulala, nayeye bado ataki mm niweze kuwa karibu na mwanagu wa kike, maana now bado sijaowa ila naishi na msichana tu tumezaa mtoto mmoja, maana mara ya mwisho kuongea nae baada ya kugundua nina mtoto mwengine anasema atabadilisha jina la baba la mtoto aitwe jina la baba mwanajeshi. Naombeni ushauli wadau naweza kumpata mwanangu kwa kutumia sheria au nafanyaje.

Maana ndo mwanangu wa kwanza naumia sana damu yangu ikipotea bule bila sababu yoyote maana naona kila siku nazidi kupagwa na mwanangu wa kike naombeni ushauli
Habari wana JF, Nilikuwa na changamoto naitaji kushare na nyinyi ili muweze kunisaidia kimawazo,
Maana kuna kitu kinaniumiza sana katika Maisha yangu.

Mnamo Mwaka 2015
Nilikutana na binti wa kimakonde wakati nipo nmepata kazi yangu ya kwanza kwa wahindi, kama Full Stack Developer maana nilisoma Computer Science Pale DIT, mshahara wangu ulikuwa kama 1.2M per mouth ambao napata cash ktk account, Tulipendana nayeye alikuwa muhanga wa ajila za uwalimu wa shule za msingi, alikosa kazi kwa muda mrefu. Pindi nmekutana nae alikuwa ana kazi.

Tuliishi vizuri kwa furaha na amani takribani kwa miaka 3 bila shida yoyote, alinieleza Maisha yake aliyo pitia na changamoto za wanaume alio kutana nao. Ila wakati tunaishi katika miaka iyo mitatu nilikutana na changamoto moja aliniambia mtu wake wa mwisho katika mausiano alikuwa anaumwa sana ugonjwa wa moyo na baadae alifaliki dunia, kwaiyo kipindi anakutana na mimi nilikuta baadhi ya picha za yule kijana mwenzangu ambae alifaliki dunia kwa ugonjwa wa moyo. Ila mimi sikujaji sana Maisha yakaendelea.

Alinikuta nakaa ktk chumba na sebule, Tukaishi akawa anakuja home na mimi naenda kwao, wakawa wananijuwa kama mchumba wake, Kusema ukweli kipindi nipo nae kablaya kfanya mapezi nilipima nae HIV na baada ya kuona tupo sawa tukaendaelea kula ujana.

Baada ya kuona Afya zetu zipo sawa na salama, aliniambia mm bado nipo bikla kwaiyo ukinitoa bikla razima unioe, maana kwao walikuwa watu wa dini sana, siku ya kwanza kukutana nae kimwili niliumia sana ila ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kulala na mwanamke. Nilijuwa kawaida na sikumuliza mtu yoyote kuhusu jambo ilo.

Mwaka 2016 Nikaanza kuona baadhi ya tabia tofauti mara mda mwengine nikishika simu yake anakuwa ana wasi wasi, ilasikujali maana nilijuwa labda ajazoea mtu kushika simu yake. Baadae kuna namba nikawa naiyona sana katika call arafu anaonge nayo mda mwingi sana, sikuwaza wala sikutaka kumfatilia sana. Nilifikilia anaweza akawa ndugu zake wa kijijini. Baadae nikagundua sioni kijana ila yeye alinitambulisha kama Rafiki yake wa mtaani ambapo alipokulia. Baadae nilivyokuw na wasiwasi nikamshauli aifute namba na nikamsajilia namba mpya.

Mwaka 2017 Nilikuja kuona txt za kimapenzi na ile namba ambayo mm niliweka ktk diary yangu, na kuifuta katika simu yake na kumwambia kijana asimpigie tena. Maana ndo mwaka ambao nilipeleka posa kwao kwa ajili ya kufunga nae ndoa. Mwishoni mwa mwaka alipata ujauzito, baada ya kwanza kwenda clinic mara ya kwanza wote kwenda hospital kupima akakutwa na HIV ila cha ajabu mimi nilikutwa sina mambukizi yoyote.

Nililia sana usiku na yeye akawa ananiambia tuachane nilikataa maana niliomba ushauri kwa daktari akaniambia mtoto awezi kupata mambukizi na mm siwezi kupata mambukizi ikiwa anatumia vizuri dawa za ARV, Nilikubali kuishi nae akiwa katika ali iyo iyo na baada ya kujifungua na mtoto kufikisha arobaini kama sisi waislam mwaka 2018 nikafunga nae ndoa. Mungu alinijalia kupata mtoto wa kwanza wa kike

Mwaka 2018 tarehe 08/06/2018 nikafunga nae ndo na kuamia katika nyumba nzima maana si unajua maswala ya uzazi, ndugu wanakuja kumuona mtoto na mambo mengine, ila kipindi chote cha ujauzito niliishi nae mpaka anapata uchungu niliishi nae mpaka nampeleka hospital kujifungua na kipindi anatoka hospital alikaa kwa kwa muda wa siku tano tu na kurudi nikae nae, nilimkanda na kumsafisha, nadhani nilijifunza vitu vingi vya uzazi kupitia yeye. Na tulipendana sana bila ya kujali ugonjwa wake wa HIV.

Mwaka 2019 Kampuni yetu ilifunguwa tawi arusha nikawa nambiwa kila baada ya miezi tisa nenda nakaa kwa muda wa miezi mitatu na kurudi home dar, kabla ya kuondoka kwenda arusha nikaona kuna mabadiliko sana kama mke na mume, kuna program ya kulipia nika muwekea ktk simu yake na kuanza ku track kila kitu anachofanya ktk simu yake, nilifanikiwa kupata tena ile namba ambayo nilikuwa nimeiandika katika diary yangu kuwa anaonge nayo sana.

Nikaenda kwa babu nyumbani mzaa baba na kumuelewesha mambo ninayo kutana nayo katika ndoa, akanishauli kama nasafiri nimuache akiwa katika period nisiondoke mpaka akipata period, basi nikajichelewesha kazini mwishoe nikaondoka kuelekea arusha na kumuacha akiwa katika period, miezi mitatu ikaisha na baadae nikarudi home, niliumia sana baada ya kurudi home maana nilikuta vitu vingi sana katika computer baada ya kuanza kuangalia toka naondoka mpaka narudi, kila kitu nilikuta ata kama alifuta kule nilikuta na inaonyesha kama kimefutwa.

Nilipiga sana moyo maana niligundua kuwa ni mjamzito ila nilijikaza sana, bila yay eye kugundua kama najuwa, nilijitaidi kuto kuonyesha tofauti yoyote, aliniforce sana nilale nae na mimi sikukataa nil ilala nae angali nina Ushahidi katika computer, maana alikuwa anamwambia jamaa kuwa ajaziona siku zake. Baadae alikuja akaniambia mme wangu naisi nina ujauzito sikubisha nilimuonesha nimefurahi sana. Baada ya mimba kutimia miezi 5 nilishindwa kuvumilia maana mda mwingi kipindi cha usiku nilikuwa nakosa usingizi nabaki namuangalia akiwa amelala.

Inafika kipindi nachukuwa hadi kisu nataka kumuuwa kwa kumchoma choma, rakini moyo unasita nikimuangalia binti yangu mdogo asiye jua lolote, sikutaka mwanangu aje kupata shida kwa sababu yangu, niliisi ntaenda jela kwa kosa la kuuwa. Baadae nikaenda kumwambia babu mzaa baba wakaita kikao na tukaongea kama ndugu upande wetu mimi baba na babu nikaulizwa vipi unataka kuendelea nae au tuwatalifu wazazi wao, bas moyo wangu nikashauli tuongee na wazazi wao.

Ikapangwa tarehe ila bado mimi sikumwambia chochote mke wangu. Siku ya kikao ilipo fika nilienda kwao na familia yangu bila ya yeye kujuwa chochote. Tukaonge baadae wakanipa option ya kuchaguwa mm nikachaguwa kuachana nae. Aliitwa akaja na akakili japo aliomba msamaha sana ila mimi nilikataa kuendelea nae, tukamuacha kwao na sisi tukaondoka.

Mwaka 2020 Baada ya kujifungua nilimpa taraka zake zote, na kama kawaida yangu kila nnapopata mda naenda kumfata mwanangu nakaa nae weekend siku za kazi namrudisha kwa mama yake. Napeleka pesa za matumizi kama kawaida, baada yam waka mmoja mdogo wake wa kike alinitafuta na kuanza kunipa mkanda mzima sasa, kuwa yule jamaa ambae nilikuwa naongea nae alikuwa ndo mwanaume wake wa kwaza ambae kipindi sijakuwa nae jamaa alikuwa anatambulika nyumbani, na kipindi mimi nipo nae jamaa alikuwa ameenda kusoma urusi, maana alimuahidi akasome akirudi watakuja kufunga ndoa na jamaa now ni mwanajeshi, ndo yupo nae hadi hivi sasa, maana nilipo sikia maneno ayo niliumia sana maana alikuwa anajuwa alafu alinificha, kile kitendo kilinifanya nilale nae yule mdogo wake wa kike ili kulipiza kisasi. Aliniambia mpaka siku anakuja kwangu kumtoa bikra ilikuwa sio bikra bali aliniweka shabu sijui inaitwa, maana iyo mm sio mwanaume wake wa kwanza. Nilijitaidi na mimi kumumiza ili ajue na mimi nmelala na mdogo wake kama revenge, na niliweza wakagombana na mdogo wake.

Mwaka 2021 Nikaona naanza kunyimwa mtoto siku za weekend, na kuanza kuwekewa vizuizi vya kumuona mtoto maana wazazi wake wapo chanika now baada ya kustaafu kazi za serikari, na mwaka huu alipata kazi ya kuwa mwalimu ya shule ya msingi, ambayo ipo mkoani ambapo napajuwa mpaka shule anayo fundisha. Najitaidi sana kumbembeleza ili niwe karubu na mwanangu naona inakuwa ngumu sana. Baadae na mimi nilibalikiwa kupata mtoto mwengine wa kiume, nilimsahau kwa muda mfupi tena na machungu yakapungua ktk Maisha yangu.

Mwaka 2022 Huu mwaka nmepatwa na jinamizi la kumuota mwanangu wa kike wa kwanza kila ninapojitaidi kulala, nayeye bado ataki mm niweze kuwa karibu na mwanagu wa kike, maana now bado sijaowa ila naishi na msichana tu tumezaa mtoto mmoja, maana mara ya mwisho kuongea nae baada ya kugundua nina mtoto mwengine anasema atabadilisha jina la baba la mtoto aitwe jina la baba mwanajeshi. Naombeni ushauli wadau naweza kumpata mwanangu kwa kutumia sheria au nafanyaje.

Maana ndo mwanangu wa kwanza naumia sana damu yangu ikipotea bule bila sababu yoyote maana naona kila siku nazidi kupagwa na mwanangu wa kike naombeni ushauli
Unazaaje na mwanamke kama hauna power mkuuu 😢 duuuh hapo sijui aseee
 
Mimi sijalia naomba ushauli nijue jinsi gani ya kuweza kuwa karibu na mwanangu wa kike. Labda niende maakamani au nifanye hivi ilimradi nisivunje sheria
Una sound kama bado unampenda huyu mwanamke!!, ila mwanaume kulilia hivi sio poa!!
 
UPDATE: MUENDELEZO WA KISA HICHI

31/7/2023:

Habari jf: Mda mrefu umepita, miezi kadhaa imepita. Leo Ex Wife kanipigia simu ananiambia nikafate mtoto, maana alianza na gia kuwa anaumwa yupo hospital karazwa. Anashida na pesa nimtumie 500k, nmemtumia baadae ananiambia kuwa niende nikamfate mwanangu ili nimlee maana katoka kujifungua.

Maana ilikuwa asubuhi, now nipo na mtoto wangu wa kwanza wa kike nme enjoy sana. Nmefurahi sana maana niliamua kuwa nimuache ata kama akibadilisha jina bado atabaki kuwa mwanangu. Nimejifunza kitu katika maisha usinganganie kitu katika maisha kama kitu chako tu utakipata tu ata kama kitachukuwa mda kama ulipangiwa kukipata utapata tu.

Ila ananiomba sana msamaha nmsamehe na ananisisitiza nmpende sana mwanangu, yani kama vile ana hope na maisha yake hivi au ana tumaini la kesho, mm nmemwambia nmekusamehe ila mimi nipo na maisha yangu na yeye awe na maisha yake.

Nmemuonea huruma maana nilimpenda sana ila ndo hivyo aikuwa riziki au bahati ya kuwa nae pamoja. Kila kitu kinapangwa na lazima kitimie, kitu muhimu wacha niangalie maisha yangu na ya familia yangu.

Leo 31/7/2023 imekuwa siku yangu ya furaha na amani, ya kuwa karibu na mwanangu. Uvumilivu ni muhimu sna katika maisha.

SHUKRANI:
Kwa watu wote walio toa ushauri kipindi nipo katika matatizo, nashukuru sana na mungu awajali na kukutimizieni maitaji yenu katika maisha na familia zenu.

JAMII FORUM: PONGEZI ZOTE ZIENDE KWA WAUSIKA NA TEAM YOTE KWA KUWA NA PLATFORM NZURI HII YA JF,
 
UPDATE: MUENDELEZO WA KISA HICHI

31/7/2023:

Habari jf: Mda mrefu umepita, miezi kadhaa imepita. Leo Ex Wife kanipigia simu ananiambia nikafate mtoto, maana alianza na gia kuwa anaumwa yupo hospital karazwa. Anashida na pesa nimtumie 500k, nmemtumia baadae ananiambia kuwa niende nikamfate mwanangu ili nimlee maana katoka kujifungua.

Maana ilikuwa asubuhi, now nipo na mtoto wangu wa kwanza wa kike nme enjoy sana. Nmefurahi sana maana niliamua kuwa nimuache ata kama akibadilisha jina bado atabaki kuwa mwanangu. Nimejifunza kitu katika maisha usinganganie kitu katika maisha kama kitu chako tu utakipata tu ata kama kitachukuwa mda kama ulipangiwa kukipata utapata tu.

Ila ananiomba sana msamaha nmsamehe na ananisisitiza nmpende sana mwanangu, yani kama vile ana hope na maisha yake hivi au ana tumaini la kesho, mm nmemwambia nmekusamehe ila mimi nipo na maisha yangu na yeye awe na maisha yake.

Nmemuonea huruma maana nilimpenda sana ila ndo hivyo aikuwa riziki au bahati ya kuwa nae pamoja. Kila kitu kinapangwa na lazima kitimie, kitu muhimu wacha niangalie maisha yangu na ya familia yangu.

Leo 31/7/2023 imekuwa siku yangu ya furaha na amani, ya kuwa karibu na mwanangu. Uvumilivu ni muhimu sna katika maisha.

SHUKRANI:
Kwa watu wote walio toa ushauri kipindi nipo katika matatizo, nashukuru sana na mungu awajali na kukutimizieni maitaji yenu katika maisha na familia zenu.

JAMII FORUM: PONGEZI ZOTE ZIENDE KWA WAUSIKA NA TEAM YOTE KWA KUWA NA PLATFORM NZURI HII YA JF,
""Anashida na pesa nimtumie 500k, nmemtumia... ""

Sorry kusema hili ila we jamaa una utoto mwingi.

Mnahela za kuchezea sanaaaa.

#YNWA
 
Dah!! Pole sana mkuu ila ilo mbona swala dogo sana wewe ndiyo unafanya liwekubwa sababu bado unampenda na yeye anajua unampenda ndiyo maana unaumia

Fanya hivi jichanganye na washikaji, kula msosi safi na vimazoezi kimtindo alafu tafuta pisi ambayo haina mambo mengi maana wachumba wapo wa kutosha achana nae uyo mshamba abebeki dah!! sema wewe unamoyo mm huwa sirembi mapeme sana angesepa

Kuhusu dogo usiwaze Je kama sio wakwako? piga chini angalia maisha yako
hawa viumbe sio
 
Habari wana JF, Nilikuwa na changamoto naitaji kushare na nyinyi ili muweze kunisaidia kimawazo,
Maana kuna kitu kinaniumiza sana katika Maisha yangu.

Mnamo Mwaka 2015
Nilikutana na binti wa kimakonde wakati nipo nmepata kazi yangu ya kwanza kwa wahindi, kama Full Stack Developer maana nilisoma Computer Science Pale DIT, mshahara wangu ulikuwa kama 1.2M per mouth ambao napata cash ktk account, Tulipendana nayeye alikuwa muhanga wa ajila za uwalimu wa shule za msingi, alikosa kazi kwa muda mrefu. Pindi nmekutana nae alikuwa ana kazi.

Tuliishi vizuri kwa furaha na amani takribani kwa miaka 3 bila shida yoyote, alinieleza Maisha yake aliyo pitia na changamoto za wanaume alio kutana nao. Ila wakati tunaishi katika miaka iyo mitatu nilikutana na changamoto moja aliniambia mtu wake wa mwisho katika mausiano alikuwa anaumwa sana ugonjwa wa moyo na baadae alifaliki dunia, kwaiyo kipindi anakutana na mimi nilikuta baadhi ya picha za yule kijana mwenzangu ambae alifaliki dunia kwa ugonjwa wa moyo. Ila mimi sikujaji sana Maisha yakaendelea.

Alinikuta nakaa ktk chumba na sebule, Tukaishi akawa anakuja home na mimi naenda kwao, wakawa wananijuwa kama mchumba wake, Kusema ukweli kipindi nipo nae kablaya kfanya mapezi nilipima nae HIV na baada ya kuona tupo sawa tukaendaelea kula ujana.

Baada ya kuona Afya zetu zipo sawa na salama, aliniambia mm bado nipo bikla kwaiyo ukinitoa bikla razima unioe, maana kwao walikuwa watu wa dini sana, siku ya kwanza kukutana nae kimwili niliumia sana ila ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kulala na mwanamke. Nilijuwa kawaida na sikumuliza mtu yoyote kuhusu jambo ilo.

Mwaka 2016 Nikaanza kuona baadhi ya tabia tofauti mara mda mwengine nikishika simu yake anakuwa ana wasi wasi, ilasikujali maana nilijuwa labda ajazoea mtu kushika simu yake. Baadae kuna namba nikawa naiyona sana katika call arafu anaonge nayo mda mwingi sana, sikuwaza wala sikutaka kumfatilia sana. Nilifikilia anaweza akawa ndugu zake wa kijijini. Baadae nikagundua sioni kijana ila yeye alinitambulisha kama Rafiki yake wa mtaani ambapo alipokulia. Baadae nilivyokuw na wasiwasi nikamshauli aifute namba na nikamsajilia namba mpya.

Mwaka 2017 Nilikuja kuona txt za kimapenzi na ile namba ambayo mm niliweka ktk diary yangu, na kuifuta katika simu yake na kumwambia kijana asimpigie tena. Maana ndo mwaka ambao nilipeleka posa kwao kwa ajili ya kufunga nae ndoa. Mwishoni mwa mwaka alipata ujauzito, baada ya kwanza kwenda clinic mara ya kwanza wote kwenda hospital kupima akakutwa na HIV ila cha ajabu mimi nilikutwa sina mambukizi yoyote.

Nililia sana usiku na yeye akawa ananiambia tuachane nilikataa maana niliomba ushauri kwa daktari akaniambia mtoto awezi kupata mambukizi na mm siwezi kupata mambukizi ikiwa anatumia vizuri dawa za ARV, Nilikubali kuishi nae akiwa katika ali iyo iyo na baada ya kujifungua na mtoto kufikisha arobaini kama sisi waislam mwaka 2018 nikafunga nae ndoa. Mungu alinijalia kupata mtoto wa kwanza wa kike

Mwaka 2018 tarehe 08/06/2018 nikafunga nae ndo na kuamia katika nyumba nzima maana si unajua maswala ya uzazi, ndugu wanakuja kumuona mtoto na mambo mengine, ila kipindi chote cha ujauzito niliishi nae mpaka anapata uchungu niliishi nae mpaka nampeleka hospital kujifungua na kipindi anatoka hospital alikaa kwa kwa muda wa siku tano tu na kurudi nikae nae, nilimkanda na kumsafisha, nadhani nilijifunza vitu vingi vya uzazi kupitia yeye. Na tulipendana sana bila ya kujali ugonjwa wake wa HIV.

Mwaka 2019 Kampuni yetu ilifunguwa tawi arusha nikawa nambiwa kila baada ya miezi tisa nenda nakaa kwa muda wa miezi mitatu na kurudi home dar, kabla ya kuondoka kwenda arusha nikaona kuna mabadiliko sana kama mke na mume, kuna program ya kulipia nika muwekea ktk simu yake na kuanza ku track kila kitu anachofanya ktk simu yake, nilifanikiwa kupata tena ile namba ambayo nilikuwa nimeiandika katika diary yangu kuwa anaonge nayo sana.

Nikaenda kwa babu nyumbani mzaa baba na kumuelewesha mambo ninayo kutana nayo katika ndoa, akanishauli kama nasafiri nimuache akiwa katika period nisiondoke mpaka akipata period, basi nikajichelewesha kazini mwishoe nikaondoka kuelekea arusha na kumuacha akiwa katika period, miezi mitatu ikaisha na baadae nikarudi home, niliumia sana baada ya kurudi home maana nilikuta vitu vingi sana katika computer baada ya kuanza kuangalia toka naondoka mpaka narudi, kila kitu nilikuta ata kama alifuta kule nilikuta na inaonyesha kama kimefutwa.

Nilipiga sana moyo maana niligundua kuwa ni mjamzito ila nilijikaza sana, bila yay eye kugundua kama najuwa, nilijitaidi kuto kuonyesha tofauti yoyote, aliniforce sana nilale nae na mimi sikukataa nil ilala nae angali nina Ushahidi katika computer, maana alikuwa anamwambia jamaa kuwa ajaziona siku zake. Baadae alikuja akaniambia mme wangu naisi nina ujauzito sikubisha nilimuonesha nimefurahi sana. Baada ya mimba kutimia miezi 5 nilishindwa kuvumilia maana mda mwingi kipindi cha usiku nilikuwa nakosa usingizi nabaki namuangalia akiwa amelala.

Inafika kipindi nachukuwa hadi kisu nataka kumuuwa kwa kumchoma choma, rakini moyo unasita nikimuangalia binti yangu mdogo asiye jua lolote, sikutaka mwanangu aje kupata shida kwa sababu yangu, niliisi ntaenda jela kwa kosa la kuuwa. Baadae nikaenda kumwambia babu mzaa baba wakaita kikao na tukaongea kama ndugu upande wetu mimi baba na babu nikaulizwa vipi unataka kuendelea nae au tuwatalifu wazazi wao, bas moyo wangu nikashauli tuongee na wazazi wao.

Ikapangwa tarehe ila bado mimi sikumwambia chochote mke wangu. Siku ya kikao ilipo fika nilienda kwao na familia yangu bila ya yeye kujuwa chochote. Tukaonge baadae wakanipa option ya kuchaguwa mm nikachaguwa kuachana nae. Aliitwa akaja na akakili japo aliomba msamaha sana ila mimi nilikataa kuendelea nae, tukamuacha kwao na sisi tukaondoka.

Mwaka 2020 Baada ya kujifungua nilimpa taraka zake zote, na kama kawaida yangu kila nnapopata mda naenda kumfata mwanangu nakaa nae weekend siku za kazi namrudisha kwa mama yake. Napeleka pesa za matumizi kama kawaida, baada yam waka mmoja mdogo wake wa kike alinitafuta na kuanza kunipa mkanda mzima sasa, kuwa yule jamaa ambae nilikuwa naongea nae alikuwa ndo mwanaume wake wa kwaza ambae kipindi sijakuwa nae jamaa alikuwa anatambulika nyumbani, na kipindi mimi nipo nae jamaa alikuwa ameenda kusoma urusi, maana alimuahidi akasome akirudi watakuja kufunga ndoa na jamaa now ni mwanajeshi, ndo yupo nae hadi hivi sasa, maana nilipo sikia maneno ayo niliumia sana maana alikuwa anajuwa alafu alinificha, kile kitendo kilinifanya nilale nae yule mdogo wake wa kike ili kulipiza kisasi. Aliniambia mpaka siku anakuja kwangu kumtoa bikra ilikuwa sio bikra bali aliniweka shabu sijui inaitwa, maana iyo mm sio mwanaume wake wa kwanza. Nilijitaidi na mimi kumumiza ili ajue na mimi nmelala na mdogo wake kama revenge, na niliweza wakagombana na mdogo wake.

Mwaka 2021 Nikaona naanza kunyimwa mtoto siku za weekend, na kuanza kuwekewa vizuizi vya kumuona mtoto maana wazazi wake wapo chanika now baada ya kustaafu kazi za serikari, na mwaka huu alipata kazi ya kuwa mwalimu ya shule ya msingi, ambayo ipo mkoani ambapo napajuwa mpaka shule anayo fundisha. Najitaidi sana kumbembeleza ili niwe karubu na mwanangu naona inakuwa ngumu sana. Baadae na mimi nilibalikiwa kupata mtoto mwengine wa kiume, nilimsahau kwa muda mfupi tena na machungu yakapungua ktk Maisha yangu.

Mwaka 2022 Huu mwaka nmepatwa na jinamizi la kumuota mwanangu wa kike wa kwanza kila ninapojitaidi kulala, nayeye bado ataki mm niweze kuwa karibu na mwanagu wa kike, maana now bado sijaowa ila naishi na msichana tu tumezaa mtoto mmoja, maana mara ya mwisho kuongea nae baada ya kugundua nina mtoto mwengine anasema atabadilisha jina la baba la mtoto aitwe jina la baba mwanajeshi. Naombeni ushauli wadau naweza kumpata mwanangu kwa kutumia sheria au nafanyaje.

Maana ndo mwanangu wa kwanza naumia sana damu yangu ikipotea bule bila sababu yoyote maana naona kila siku nazidi kupagwa na mwanangu wa kike naombeni ushauli

Kama haya ni kweli, wewe ni Juha.
 
Mm na yeye tushaachana, shida mm nataka kuwa karibu na mwanangu, Sina shida na yeye nataka mwanangu niwe karibu nae, Ili niishi nae maana mtoto now ana miaka 6 inaenda
Nenda Mahakamani kafungue kesi km unatoa matunzo ni haki yako kumuona au hata kuishi nae kipindi Cha likizo
 
Habari wana JF, Nilikuwa na changamoto naitaji kushare na nyinyi ili muweze kunisaidia kimawazo,
Maana kuna kitu kinaniumiza sana katika Maisha yangu.

Mnamo Mwaka 2015
Nilikutana na binti wa kimakonde wakati nipo nmepata kazi yangu ya kwanza kwa wahindi, kama Full Stack Developer maana nilisoma Computer Science Pale DIT, mshahara wangu ulikuwa kama 1.2M per mouth ambao napata cash ktk account, Tulipendana nayeye alikuwa muhanga wa ajila za uwalimu wa shule za msingi, alikosa kazi kwa muda mrefu. Pindi nmekutana nae alikuwa ana kazi.

Tuliishi vizuri kwa furaha na amani takribani kwa miaka 3 bila shida yoyote, alinieleza Maisha yake aliyo pitia na changamoto za wanaume alio kutana nao. Ila wakati tunaishi katika miaka iyo mitatu nilikutana na changamoto moja aliniambia mtu wake wa mwisho katika mausiano alikuwa anaumwa sana ugonjwa wa moyo na baadae alifaliki dunia, kwaiyo kipindi anakutana na mimi nilikuta baadhi ya picha za yule kijana mwenzangu ambae alifaliki dunia kwa ugonjwa wa moyo. Ila mimi sikujaji sana Maisha yakaendelea.

Alinikuta nakaa ktk chumba na sebule, Tukaishi akawa anakuja home na mimi naenda kwao, wakawa wananijuwa kama mchumba wake, Kusema ukweli kipindi nipo nae kablaya kfanya mapezi nilipima nae HIV na baada ya kuona tupo sawa tukaendaelea kula ujana.

Baada ya kuona Afya zetu zipo sawa na salama, aliniambia mm bado nipo bikla kwaiyo ukinitoa bikla razima unioe, maana kwao walikuwa watu wa dini sana, siku ya kwanza kukutana nae kimwili niliumia sana ila ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kulala na mwanamke. Nilijuwa kawaida na sikumuliza mtu yoyote kuhusu jambo ilo.

Mwaka 2016 Nikaanza kuona baadhi ya tabia tofauti mara mda mwengine nikishika simu yake anakuwa ana wasi wasi, ilasikujali maana nilijuwa labda ajazoea mtu kushika simu yake. Baadae kuna namba nikawa naiyona sana katika call arafu anaonge nayo mda mwingi sana, sikuwaza wala sikutaka kumfatilia sana. Nilifikilia anaweza akawa ndugu zake wa kijijini. Baadae nikagundua sioni kijana ila yeye alinitambulisha kama Rafiki yake wa mtaani ambapo alipokulia. Baadae nilivyokuw na wasiwasi nikamshauli aifute namba na nikamsajilia namba mpya.

Mwaka 2017 Nilikuja kuona txt za kimapenzi na ile namba ambayo mm niliweka ktk diary yangu, na kuifuta katika simu yake na kumwambia kijana asimpigie tena. Maana ndo mwaka ambao nilipeleka posa kwao kwa ajili ya kufunga nae ndoa. Mwishoni mwa mwaka alipata ujauzito, baada ya kwanza kwenda clinic mara ya kwanza wote kwenda hospital kupima akakutwa na HIV ila cha ajabu mimi nilikutwa sina mambukizi yoyote.

Nililia sana usiku na yeye akawa ananiambia tuachane nilikataa maana niliomba ushauri kwa daktari akaniambia mtoto awezi kupata mambukizi na mm siwezi kupata mambukizi ikiwa anatumia vizuri dawa za ARV, Nilikubali kuishi nae akiwa katika ali iyo iyo na baada ya kujifungua na mtoto kufikisha arobaini kama sisi waislam mwaka 2018 nikafunga nae ndoa. Mungu alinijalia kupata mtoto wa kwanza wa kike

Mwaka 2018 tarehe 08/06/2018 nikafunga nae ndo na kuamia katika nyumba nzima maana si unajua maswala ya uzazi, ndugu wanakuja kumuona mtoto na mambo mengine, ila kipindi chote cha ujauzito niliishi nae mpaka anapata uchungu niliishi nae mpaka nampeleka hospital kujifungua na kipindi anatoka hospital alikaa kwa kwa muda wa siku tano tu na kurudi nikae nae, nilimkanda na kumsafisha, nadhani nilijifunza vitu vingi vya uzazi kupitia yeye. Na tulipendana sana bila ya kujali ugonjwa wake wa HIV.

Mwaka 2019 Kampuni yetu ilifunguwa tawi arusha nikawa nambiwa kila baada ya miezi tisa nenda nakaa kwa muda wa miezi mitatu na kurudi home dar, kabla ya kuondoka kwenda arusha nikaona kuna mabadiliko sana kama mke na mume, kuna program ya kulipia nika muwekea ktk simu yake na kuanza ku track kila kitu anachofanya ktk simu yake, nilifanikiwa kupata tena ile namba ambayo nilikuwa nimeiandika katika diary yangu kuwa anaonge nayo sana.

Nikaenda kwa babu nyumbani mzaa baba na kumuelewesha mambo ninayo kutana nayo katika ndoa, akanishauli kama nasafiri nimuache akiwa katika period nisiondoke mpaka akipata period, basi nikajichelewesha kazini mwishoe nikaondoka kuelekea arusha na kumuacha akiwa katika period, miezi mitatu ikaisha na baadae nikarudi home, niliumia sana baada ya kurudi home maana nilikuta vitu vingi sana katika computer baada ya kuanza kuangalia toka naondoka mpaka narudi, kila kitu nilikuta ata kama alifuta kule nilikuta na inaonyesha kama kimefutwa.

Nilipiga sana moyo maana niligundua kuwa ni mjamzito ila nilijikaza sana, bila yay eye kugundua kama najuwa, nilijitaidi kuto kuonyesha tofauti yoyote, aliniforce sana nilale nae na mimi sikukataa nil ilala nae angali nina Ushahidi katika computer, maana alikuwa anamwambia jamaa kuwa ajaziona siku zake. Baadae alikuja akaniambia mme wangu naisi nina ujauzito sikubisha nilimuonesha nimefurahi sana. Baada ya mimba kutimia miezi 5 nilishindwa kuvumilia maana mda mwingi kipindi cha usiku nilikuwa nakosa usingizi nabaki namuangalia akiwa amelala.

Inafika kipindi nachukuwa hadi kisu nataka kumuuwa kwa kumchoma choma, rakini moyo unasita nikimuangalia binti yangu mdogo asiye jua lolote, sikutaka mwanangu aje kupata shida kwa sababu yangu, niliisi ntaenda jela kwa kosa la kuuwa. Baadae nikaenda kumwambia babu mzaa baba wakaita kikao na tukaongea kama ndugu upande wetu mimi baba na babu nikaulizwa vipi unataka kuendelea nae au tuwatalifu wazazi wao, bas moyo wangu nikashauli tuongee na wazazi wao.

Ikapangwa tarehe ila bado mimi sikumwambia chochote mke wangu. Siku ya kikao ilipo fika nilienda kwao na familia yangu bila ya yeye kujuwa chochote. Tukaonge baadae wakanipa option ya kuchaguwa mm nikachaguwa kuachana nae. Aliitwa akaja na akakili japo aliomba msamaha sana ila mimi nilikataa kuendelea nae, tukamuacha kwao na sisi tukaondoka.

Mwaka 2020 Baada ya kujifungua nilimpa taraka zake zote, na kama kawaida yangu kila nnapopata mda naenda kumfata mwanangu nakaa nae weekend siku za kazi namrudisha kwa mama yake. Napeleka pesa za matumizi kama kawaida, baada yam waka mmoja mdogo wake wa kike alinitafuta na kuanza kunipa mkanda mzima sasa, kuwa yule jamaa ambae nilikuwa naongea nae alikuwa ndo mwanaume wake wa kwaza ambae kipindi sijakuwa nae jamaa alikuwa anatambulika nyumbani, na kipindi mimi nipo nae jamaa alikuwa ameenda kusoma urusi, maana alimuahidi akasome akirudi watakuja kufunga ndoa na jamaa now ni mwanajeshi, ndo yupo nae hadi hivi sasa, maana nilipo sikia maneno ayo niliumia sana maana alikuwa anajuwa alafu alinificha, kile kitendo kilinifanya nilale nae yule mdogo wake wa kike ili kulipiza kisasi. Aliniambia mpaka siku anakuja kwangu kumtoa bikra ilikuwa sio bikra bali aliniweka shabu sijui inaitwa, maana iyo mm sio mwanaume wake wa kwanza. Nilijitaidi na mimi kumumiza ili ajue na mimi nmelala na mdogo wake kama revenge, na niliweza wakagombana na mdogo wake.

Mwaka 2021 Nikaona naanza kunyimwa mtoto siku za weekend, na kuanza kuwekewa vizuizi vya kumuona mtoto maana wazazi wake wapo chanika now baada ya kustaafu kazi za serikari, na mwaka huu alipata kazi ya kuwa mwalimu ya shule ya msingi, ambayo ipo mkoani ambapo napajuwa mpaka shule anayo fundisha. Najitaidi sana kumbembeleza ili niwe karubu na mwanangu naona inakuwa ngumu sana. Baadae na mimi nilibalikiwa kupata mtoto mwengine wa kiume, nilimsahau kwa muda mfupi tena na machungu yakapungua ktk Maisha yangu.

Mwaka 2022 Huu mwaka nmepatwa na jinamizi la kumuota mwanangu wa kike wa kwanza kila ninapojitaidi kulala, nayeye bado ataki mm niweze kuwa karibu na mwanagu wa kike, maana now bado sijaowa ila naishi na msichana tu tumezaa mtoto mmoja, maana mara ya mwisho kuongea nae baada ya kugundua nina mtoto mwengine anasema atabadilisha jina la baba la mtoto aitwe jina la baba mwanajeshi. Naombeni ushauli wadau naweza kumpata mwanangu kwa kutumia sheria au nafanyaje.

Maana ndo mwanangu wa kwanza naumia sana damu yangu ikipotea bule bila sababu yoyote maana naona kila siku nazidi kupagwa na mwanangu wa kike naombeni ushauli
Una uhakika uyo mtoto ni wako?
 
Habari wana JF, Nilikuwa na changamoto naitaji kushare na nyinyi ili muweze kunisaidia kimawazo,
Maana kuna kitu kinaniumiza sana katika Maisha yangu.

Mnamo Mwaka 2015
Nilikutana na binti wa kimakonde wakati nipo nmepata kazi yangu ya kwanza kwa wahindi, kama Full Stack Developer maana nilisoma Computer Science Pale DIT, mshahara wangu ulikuwa kama 1.2M per mouth ambao napata cash ktk account, Tulipendana nayeye alikuwa muhanga wa ajila za uwalimu wa shule za msingi, alikosa kazi kwa muda mrefu. Pindi nmekutana nae alikuwa ana kazi.

Tuliishi vizuri kwa furaha na amani takribani kwa miaka 3 bila shida yoyote, alinieleza Maisha yake aliyo pitia na changamoto za wanaume alio kutana nao. Ila wakati tunaishi katika miaka iyo mitatu nilikutana na changamoto moja aliniambia mtu wake wa mwisho katika mausiano alikuwa anaumwa sana ugonjwa wa moyo na baadae alifaliki dunia, kwaiyo kipindi anakutana na mimi nilikuta baadhi ya picha za yule kijana mwenzangu ambae alifaliki dunia kwa ugonjwa wa moyo. Ila mimi sikujaji sana Maisha yakaendelea.

Alinikuta nakaa ktk chumba na sebule, Tukaishi akawa anakuja home na mimi naenda kwao, wakawa wananijuwa kama mchumba wake, Kusema ukweli kipindi nipo nae kablaya kfanya mapezi nilipima nae HIV na baada ya kuona tupo sawa tukaendaelea kula ujana.

Baada ya kuona Afya zetu zipo sawa na salama, aliniambia mm bado nipo bikla kwaiyo ukinitoa bikla razima unioe, maana kwao walikuwa watu wa dini sana, siku ya kwanza kukutana nae kimwili niliumia sana ila ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kulala na mwanamke. Nilijuwa kawaida na sikumuliza mtu yoyote kuhusu jambo ilo.

Mwaka 2016 Nikaanza kuona baadhi ya tabia tofauti mara mda mwengine nikishika simu yake anakuwa ana wasi wasi, ilasikujali maana nilijuwa labda ajazoea mtu kushika simu yake. Baadae kuna namba nikawa naiyona sana katika call arafu anaonge nayo mda mwingi sana, sikuwaza wala sikutaka kumfatilia sana. Nilifikilia anaweza akawa ndugu zake wa kijijini. Baadae nikagundua sioni kijana ila yeye alinitambulisha kama Rafiki yake wa mtaani ambapo alipokulia. Baadae nilivyokuw na wasiwasi nikamshauli aifute namba na nikamsajilia namba mpya.

Mwaka 2017 Nilikuja kuona txt za kimapenzi na ile namba ambayo mm niliweka ktk diary yangu, na kuifuta katika simu yake na kumwambia kijana asimpigie tena. Maana ndo mwaka ambao nilipeleka posa kwao kwa ajili ya kufunga nae ndoa. Mwishoni mwa mwaka alipata ujauzito, baada ya kwanza kwenda clinic mara ya kwanza wote kwenda hospital kupima akakutwa na HIV ila cha ajabu mimi nilikutwa sina mambukizi yoyote.

Nililia sana usiku na yeye akawa ananiambia tuachane nilikataa maana niliomba ushauri kwa daktari akaniambia mtoto awezi kupata mambukizi na mm siwezi kupata mambukizi ikiwa anatumia vizuri dawa za ARV, Nilikubali kuishi nae akiwa katika ali iyo iyo na baada ya kujifungua na mtoto kufikisha arobaini kama sisi waislam mwaka 2018 nikafunga nae ndoa. Mungu alinijalia kupata mtoto wa kwanza wa kike

Mwaka 2018 tarehe 08/06/2018 nikafunga nae ndo na kuamia katika nyumba nzima maana si unajua maswala ya uzazi, ndugu wanakuja kumuona mtoto na mambo mengine, ila kipindi chote cha ujauzito niliishi nae mpaka anapata uchungu niliishi nae mpaka nampeleka hospital kujifungua na kipindi anatoka hospital alikaa kwa kwa muda wa siku tano tu na kurudi nikae nae, nilimkanda na kumsafisha, nadhani nilijifunza vitu vingi vya uzazi kupitia yeye. Na tulipendana sana bila ya kujali ugonjwa wake wa HIV.

Mwaka 2019 Kampuni yetu ilifunguwa tawi arusha nikawa nambiwa kila baada ya miezi tisa nenda nakaa kwa muda wa miezi mitatu na kurudi home dar, kabla ya kuondoka kwenda arusha nikaona kuna mabadiliko sana kama mke na mume, kuna program ya kulipia nika muwekea ktk simu yake na kuanza ku track kila kitu anachofanya ktk simu yake, nilifanikiwa kupata tena ile namba ambayo nilikuwa nimeiandika katika diary yangu kuwa anaonge nayo sana.

Nikaenda kwa babu nyumbani mzaa baba na kumuelewesha mambo ninayo kutana nayo katika ndoa, akanishauli kama nasafiri nimuache akiwa katika period nisiondoke mpaka akipata period, basi nikajichelewesha kazini mwishoe nikaondoka kuelekea arusha na kumuacha akiwa katika period, miezi mitatu ikaisha na baadae nikarudi home, niliumia sana baada ya kurudi home maana nilikuta vitu vingi sana katika computer baada ya kuanza kuangalia toka naondoka mpaka narudi, kila kitu nilikuta ata kama alifuta kule nilikuta na inaonyesha kama kimefutwa.

Nilipiga sana moyo maana niligundua kuwa ni mjamzito ila nilijikaza sana, bila yay eye kugundua kama najuwa, nilijitaidi kuto kuonyesha tofauti yoyote, aliniforce sana nilale nae na mimi sikukataa nil ilala nae angali nina Ushahidi katika computer, maana alikuwa anamwambia jamaa kuwa ajaziona siku zake. Baadae alikuja akaniambia mme wangu naisi nina ujauzito sikubisha nilimuonesha nimefurahi sana. Baada ya mimba kutimia miezi 5 nilishindwa kuvumilia maana mda mwingi kipindi cha usiku nilikuwa nakosa usingizi nabaki namuangalia akiwa amelala.

Inafika kipindi nachukuwa hadi kisu nataka kumuuwa kwa kumchoma choma, rakini moyo unasita nikimuangalia binti yangu mdogo asiye jua lolote, sikutaka mwanangu aje kupata shida kwa sababu yangu, niliisi ntaenda jela kwa kosa la kuuwa. Baadae nikaenda kumwambia babu mzaa baba wakaita kikao na tukaongea kama ndugu upande wetu mimi baba na babu nikaulizwa vipi unataka kuendelea nae au tuwatalifu wazazi wao, bas moyo wangu nikashauli tuongee na wazazi wao.

Ikapangwa tarehe ila bado mimi sikumwambia chochote mke wangu. Siku ya kikao ilipo fika nilienda kwao na familia yangu bila ya yeye kujuwa chochote. Tukaonge baadae wakanipa option ya kuchaguwa mm nikachaguwa kuachana nae. Aliitwa akaja na akakili japo aliomba msamaha sana ila mimi nilikataa kuendelea nae, tukamuacha kwao na sisi tukaondoka.

Mwaka 2020 Baada ya kujifungua nilimpa taraka zake zote, na kama kawaida yangu kila nnapopata mda naenda kumfata mwanangu nakaa nae weekend siku za kazi namrudisha kwa mama yake. Napeleka pesa za matumizi kama kawaida, baada yam waka mmoja mdogo wake wa kike alinitafuta na kuanza kunipa mkanda mzima sasa, kuwa yule jamaa ambae nilikuwa naongea nae alikuwa ndo mwanaume wake wa kwaza ambae kipindi sijakuwa nae jamaa alikuwa anatambulika nyumbani, na kipindi mimi nipo nae jamaa alikuwa ameenda kusoma urusi, maana alimuahidi akasome akirudi watakuja kufunga ndoa na jamaa now ni mwanajeshi, ndo yupo nae hadi hivi sasa, maana nilipo sikia maneno ayo niliumia sana maana alikuwa anajuwa alafu alinificha, kile kitendo kilinifanya nilale nae yule mdogo wake wa kike ili kulipiza kisasi. Aliniambia mpaka siku anakuja kwangu kumtoa bikra ilikuwa sio bikra bali aliniweka shabu sijui inaitwa, maana iyo mm sio mwanaume wake wa kwanza. Nilijitaidi na mimi kumumiza ili ajue na mimi nmelala na mdogo wake kama revenge, na niliweza wakagombana na mdogo wake.

Mwaka 2021 Nikaona naanza kunyimwa mtoto siku za weekend, na kuanza kuwekewa vizuizi vya kumuona mtoto maana wazazi wake wapo chanika now baada ya kustaafu kazi za serikari, na mwaka huu alipata kazi ya kuwa mwalimu ya shule ya msingi, ambayo ipo mkoani ambapo napajuwa mpaka shule anayo fundisha. Najitaidi sana kumbembeleza ili niwe karubu na mwanangu naona inakuwa ngumu sana. Baadae na mimi nilibalikiwa kupata mtoto mwengine wa kiume, nilimsahau kwa muda mfupi tena na machungu yakapungua ktk Maisha yangu.

Mwaka 2022 Huu mwaka nmepatwa na jinamizi la kumuota mwanangu wa kike wa kwanza kila ninapojitaidi kulala, nayeye bado ataki mm niweze kuwa karibu na mwanagu wa kike, maana now bado sijaowa ila naishi na msichana tu tumezaa mtoto mmoja, maana mara ya mwisho kuongea nae baada ya kugundua nina mtoto mwengine anasema atabadilisha jina la baba la mtoto aitwe jina la baba mwanajeshi. Naombeni ushauli wadau naweza kumpata mwanangu kwa kutumia sheria au nafanyaje.

Maana ndo mwanangu wa kwanza naumia sana damu yangu ikipotea bule bila sababu yoyote maana naona kila siku nazidi kupagwa na mwanangu wa kike naombeni ushauli
Mazuzu bado mpoooo. Dem kashasema muachane ww unalilia kukaa nae 😂😂😂 wajinga ndio waliwao
 
""Anashida na pesa nimtumie 500k, nmemtumia... ""

Sorry kusema hili ila we jamaa una utoto mwingi.

Mnahela za kuchezea sanaaaa.

#YNWA
Na mimi nilitaka kuandika kitu kama hiki, jamaa bado ni mtoto sana au ana mapenzi ya tamthiliya hivi na demu ashajua pa kumuwini Mtoto kashapata na kama ataendelea kuwasiliana na x wake na kumtumia maokoto huu uzi utakuwa na update nyingi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom