The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
- Thread starter
- #241
Nilikuwa Tanga miaka ya hivi karibuni tumekaa sehemu sehemu basi wakapita madada walikuwa wanne wamevaa kiajabu ajabu na pia walikuwa wamejisiliba kupita kiasi. Basi dada mmoja katika kundi letu akasema, "Angalia wale makunyuu." mie nilikuwa sijawahi kulisikia hili neno nikauliza makunyuu ndio maana yake nini? Basi yule dada akajibu Kunyuu ni juu ya Shangingi au kwa maneno mengine Shangingi haoni ndani kwa Kunyuu.... mie nikabaki kushangaa shangaa tu.
dah..makunyuuu tena? lol