Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Safi sana mkuu. Nakukubali kwa kunikuzia post zangu mara mara.
Kama wana Proof tofauti ndo ntaogopa wakija.Mkuu wakija hapa, shauri yako, mie simo
Hoja imepita waliosema NDIO wameshinda!Nice analysis even though it may not be true all the time, but in most cases its very TRUE....!!!!
Kosa la mwanamke liko wapi hapo, kwani aliyemtongoza mwenzie nani? huyo mwanamke ana nguvu gani za kumlazimisha mwanaume asiende kwake?Fuatilia kila tatizo duniani behind lazima utakuta kuna mkono wa mwanamama!
Dreva alipata ajari kisa alichelewa kwa nyumba ndogo uku lorry kalipaki kwa barabara akidhani apate short time mdada si kloweka nguo!
Kutahamaki ni asbi na akakuta missed calls kama 8 za bosi wake.
Alipotroka apo alitoka speed moja mbaya ili awai fika na kufidia mda ulipotea na mzigo ulikuwa wa transit akaishia kupata ajari na kufa