Mwanamke mwenzangu, Wewe ni mwanamke wa aina gani kitandani?

:glasses-nerdy: uko kundi gani wafanya mazoezi au wanaomudu au wanaonyooka ka fito?

Ni kweli mazoez muhimu na raha ya ile kitu n.ushirikiano pia sio ukiguswa umenyooka kama fito wala hutikisiki ila wapo ambao hawafanyi mazoez but wanamud sana mchezo hivyo pia ni ufundi wako tu
 
Hadi mzee wangu yuko mguu pande mara mguu sawa plz dada kama vp hujaolewa twambiame me na phd ya mahaba.
 
Kwa asilimia kubwa sana yale ambayo yanafanywa kwenye hiyo "mikanda" hayafanyiki huku uswazi na kwenye maisha ya kawaida kwasababu hayaendani na maisha halisi

Ukiangalia kuanzia viungo vya siri hadi style zinazotumika humo huwezi kuzifanya kwenye hali halisi,kwanza viungi vya siri hasa vya kiume vingi vimetengenezwa maalum kwa shughuli hizo na huwa ni vikubwa kuliko vya kawaida,huku kwenye uhalisi hakuna mwanamke ambae anapenda hivyo viungo vya ukubwa huo,haya mambo ya ukubwa ni huku kwenye mitandao na kwenye filamu

Style ambazo zinatumika humo nyingi hazitumiki au haziwezekaniki kabisa kwasababu zinahitaji mazoezi hasa na uwe umeyaanzia utotoni na sio ukubwani,wengi wetu wanaume na wanawake wa huku Bongo hayo mambo ya mazoezi tumekuta ukubwani tu hivyo huwezi kuyaleta mambo ya kwenye filam kwenye maisha halisi

Kama unawashauri watu wafanye mazoezi kwaajili ya afya zao sawa,lakini kama unataka kuwaaminisha bila mazoezi huwezi kupata raha ya ngono hapo utakuwa umeongopa!

Tatizo amekalili kuwa njia ya arusha ni lazime upite Same
 
Back
Top Bottom