Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,882
- 157,107
Ndivyo walivyofanya wa Maasai zamani hata sasa, wao huwachagulia waume zao wake tena dogo dogo, hivi Wamaasai ni wametokea Uarabuni?Ukiwenza si uadui kama mnavyothaminishwa na jamii. Ni bora uke wenza kuliko kutokuwa na ndoa kabisa.
Vijana wakike na wakiume tusaidiane kwa pamoja kutokomeza uzinzi na uesherati kwa kukaribishana katika ndoa.
We binti wa kike ukimuona mwanamke mwenzio ambaye hana ndoa hebu jaribu kumshawishi mumeo amuoe ili naye nusra ya dini. Ikiwezekana msaidie hata mahali.
Tuishinde zinaa kwa pamoja
Naomba kuwasilisha.
View attachment 2794959