Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,688
- 3,142
Ukewenza si uadui kama mnavyothaminishwa na jamii. Ni bora uke wenza kuliko kutokuwa na ndoa kabisa.
Vijana wakike na wakiume tusaidiane kwa pamoja kutokomeza uzinzi na uesherati kwa kukaribishana katika ndoa.
We binti wa kike ukimuona mwanamke mwenzio ambaye hana ndoa hebu jaribu kumshawishi mumeo amuoe ili naye apate nusra ya dini. Ikiwezekana msaidie hata mahari.
Tuishinde zinaa kwa pamoja
Naomba kuwasilisha.
Vijana wakike na wakiume tusaidiane kwa pamoja kutokomeza uzinzi na uesherati kwa kukaribishana katika ndoa.
We binti wa kike ukimuona mwanamke mwenzio ambaye hana ndoa hebu jaribu kumshawishi mumeo amuoe ili naye apate nusra ya dini. Ikiwezekana msaidie hata mahari.
Tuishinde zinaa kwa pamoja
Naomba kuwasilisha.