DATABASEE
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 588
- 585
Umetisha broooMimi wife nilishamwambia hata itokee tumegombana au nimemuudhi vipi, asije akajaribu kuniweka ndani hata kwa dakika moja maana ndio itakuwa mwisho na hakuna atakayeweza kunibadilisha hata akusanye ndugu zangu na zake combined.