Mwanamke huyu ni "Stalker"

bitimkongwe

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
7,355
6,802
Tafadhali naomba ushauri kwa jirani yangu huyu.

Kuna mwanamke anamtaka kimapenzi lakini yeye hana interest naye kabisa. Lakini mwanamke huyu anamsumbua sana mpaka imekuwa kero. Mchana na usiku ni message tu za kumpenda na kumwomba waoane. Huyu mwanamke wala hajali kama yule jamaa ana mke au la. Saa kumi alfajiri anapiga simu. Ameshachoka kumwonya lakini ni kama akili zimefyatuka, hajali.

Mimi nimeshauri asijibu hizo message yeye huwa hajibu lakini bado ndio kwanza kama amewashiwa moto.

Jee munashauri afanye nini ili kuepukana na balaa hili? Maana amechoka kabisa. Anamfuata ofisini ikabidi aweke tahadhari kwa walinzi wakimwona wasimruhusu kabisa.
 
1.wanapendana hao.wasikuzuge,hadi ofisini wameonyeshana.
2. Asubiri mwenyewe pressure itashuka taratibu asiwe na haraka wala hasira.
3.haiwezekani,azuiwe ofisini na walinzi halafu bado aendelee kumpigia simu?
4.Nadhani kagundua jamaa yupo peke yake ndio maana spidi kali.
5.Je kuwa na mwanamke anaempenda na kuwa na yule anaempenda sana sana bora yupi?........abadili mawazo amchukue huyu anaempenda sana sana..
6.Kuna kitu amemwahidi,si bule,muulize vizuri jamaa yako.
7.Labda jamaa ni kimwaga,ATM...........NDIO MAANA bibie hataki kumwacha.
 
Kwani wewe ndo ulimleta huyo jamaa yako mjini au alikuja na mbio za mwenge? Mambo ya mapenzi bana hayahitaji ushabiki. We mkataze, afu ndo aje kuwa shemeji yako! Utakuwa unaona aibu kunywa juice kwake!
 
Kwani wewe ndo ulimleta huyo jamaa yako mjini au alikuja na mbio za mwenge? Mambo ya mapenzi bana hayahitaji ushabiki. We mkataze, afu ndo aje kuwa shemeji yako! Utakuwa unaona aibu kunywa juice kwake!


King'asti umesema kweli! Kaa pembeni!
 
Asanteni kwa ushauri, lakini kwa mara ya kwanza huyu mama alikutana na huyu jirani yangu ofisini kwa shughuli ya kazi, yaani ni kama vile unakwenda ofisini una shida halafu unaambiwa kamwone fulani. Katika kufuatilia baadhi ya wakati unampa mtu namba yako ya simu, na sio kwa lengo lo lote la ziada. Ndio yaliyomfika huyu jamaa.

Kwa kweli hata kama anao mabibi wengine (hilo siwezi kujua) lakini at least kwa hapo nyumbani kwake anaonekana ni mtu mwenye heshima kwa familia yake. Sasa hiyo ndiyo inayomsumbua.

Fidel80, kujidawasco ndio nini?
 
Tafadhali naomba ushauri kwa jirani yangu huyu.

Kuna mwanamke anamtaka kimapenzi lakini yeye hana interest naye kabisa. Lakini mwanamke huyu anamsumbua sana mpaka imekuwa kero. Mchana na usiku ni message tu za kumpenda na kumwomba waoane. Huyu mwanamke wala hajali kama yule jamaa ana mke au la. Saa kumi alfajiri anapiga simu. Ameshachoka kumwonya lakini ni kama akili zimefyatuka, hajali.

Mimi nimeshauri asijibu hizo message yeye huwa hajibu lakini bado ndio kwanza kama amewashiwa moto.

Jee munashauri afanye nini ili kuepukana na balaa hili? Maana amechoka kabisa. Anamfuata ofisini ikabidi aweke tahadhari kwa walinzi wakimwona wasimruhusu kabisa.

Aisee yaani believe me, na-'feel', huyo jamaa anachopitia...
But, from experience; njia pekee ni kuendelea kukaa kimya tu, kwasababu hata kama ukimkataza, ataendelea tu...
Siku moja ataona kwamba hafiki popote, na ataamua kuacha tu...
(Mpe pole sana...)
 
Kwani wewe ndo ulimleta huyo jamaa yako mjini au alikuja na mbio za mwenge? Mambo ya mapenzi bana hayahitaji ushabiki. We mkataze, afu ndo aje kuwa shemeji yako! Utakuwa unaona aibu kunywa juice kwake!

safi sana, absolutely true and very good advice
 
Tafadhali naomba ushauri kwa jirani yangu huyu.

Kuna mwanamke anamtaka kimapenzi lakini yeye hana interest naye kabisa. Lakini mwanamke huyu anamsumbua sana mpaka imekuwa kero. Mchana na usiku ni message tu za kumpenda na kumwomba waoane. Huyu mwanamke wala hajali kama yule jamaa ana mke au la. Saa kumi alfajiri anapiga simu. Ameshachoka kumwonya lakini ni kama akili zimefyatuka, hajali.

Mimi nimeshauri asijibu hizo message yeye huwa hajibu lakini bado ndio kwanza kama amewashiwa moto.

Jee munashauri afanye nini ili kuepukana na balaa hili? Maana amechoka kabisa. Anamfuata ofisini ikabidi aweke tahadhari kwa walinzi wakimwona wasimruhusu kabisa.
Mushauri awakutanishe na muke wake
 
Back
Top Bottom