Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 245
Wapendwa napenda tu kujua mwanamke akitoa mimba au mimba kutoka yenyewe twajua kuna muda kizazi cha kuwa wazi na akisex tu bila kinga anapata tena mimba je hali hiyo inadumu kwa muda gani? (baada ya muda gani anaruhusiwa nyama kwa nyama na asipate mimba?).
hayo maswali yanajibiwa na yule aliye mtoa hiyo mimba. nyie mnapenda nyama kwa nyama na huku mkiua wengine , angalia sana!!!!!!!!!