stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,842
- 22,961
Ni tatizo la Mangariba kutokujua,walisahau au hawakujua kuwa kuna kitu inaitwa G-sport,mwanamke aliyekeketwa akimpata mwanaume aliyetulia vizuri huwa wanafika kileleni bila matatizo kama wanawake wengine ingawa kwa case ya cannilingus kwao inakuwa ngumu kidogo kwani ile kitu iko ndani kidogo.plan ya mangariba ilikuwa kuwafanya wasiwe na hamu.....walichosahau ni kuwa wanaweza wasifike utamuni mpaka warest in pis....wakawafanya dada zetu kama chombo cha kumfufarisha mwanaume na kuzaaaa....... adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe......hakuna ngariba dume........pale panakuwa na kama kovu fulani hivi ... ile harage ndo kodineta ya utamu, ukinyumbulishwa na nje ndani,,,, ulimi ukapitia pale...hakika wenye harage wanaelewa nisemacho.... na wanahangaika wakitafuta mwanaume wa kumfikisha.......hawapati ng'ooo.....wajikubali maisha yasonge.