KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
Kuna ukweli wowote kuwa wanawake waliokeketwa hawajawahi kuwa satisfied kimapenzi hata wakutane na mwanaume fundi kiasi gani?
Nimeuliza haya baada ya kukutana na kisa mtaani. Kuna binti mmoja very beautiful huku kwenye jamii yetu. But ni easy going vibaya mno, na ameshanusurika sana kwenye matukio.
Nilikuwa saloon, mara akapita na kulikuwa na vijana wanapolish nais wateja. Mdada mmoja akamtania mmoja wa wale vijana walikuwa wanapolish nails 'umemuona mchumbaako ulietaka oa?'
Yule kijana akaanza kuongea akitoa data za idadi ya wanaume waliotembea na yule dada including him, mwisho aka conclude nakusema "Yule binti ni mzuri sana na hakuna mwanaume rijali ataemuona asimtamani au kumpenda, tatizo lake ni moja hata ukimpangia wanaume 100 na wote waende nae hatafika bado ataendelea kutafuta wengine. Umajua kwa nini? Bado anatafuta utamu maana hajawahi kuupata maishani mwake, na anafikiri kuna siku atampata mwanamume wa kunfanya apate huo utamu kitu ambacho hakipo"
Tukacheka sana bila kujua kijana anamaanisha nini. Akaendelea "Yule dada amekeketwa, na wanawake waliokeketwa feels nothing kwenye tendo la ndoa, hawapati utamu kabisaaa, huvyo mchumbaangu bado anafukuzia utamu"
Alizua mjadala mkubwa sana pale saloon nami nimeuamishia huku JF mnasemaje? Kuna uhalisia/ukwei juu ya hili?
Nimeuliza haya baada ya kukutana na kisa mtaani. Kuna binti mmoja very beautiful huku kwenye jamii yetu. But ni easy going vibaya mno, na ameshanusurika sana kwenye matukio.
Nilikuwa saloon, mara akapita na kulikuwa na vijana wanapolish nais wateja. Mdada mmoja akamtania mmoja wa wale vijana walikuwa wanapolish nails 'umemuona mchumbaako ulietaka oa?'
Yule kijana akaanza kuongea akitoa data za idadi ya wanaume waliotembea na yule dada including him, mwisho aka conclude nakusema "Yule binti ni mzuri sana na hakuna mwanaume rijali ataemuona asimtamani au kumpenda, tatizo lake ni moja hata ukimpangia wanaume 100 na wote waende nae hatafika bado ataendelea kutafuta wengine. Umajua kwa nini? Bado anatafuta utamu maana hajawahi kuupata maishani mwake, na anafikiri kuna siku atampata mwanamume wa kunfanya apate huo utamu kitu ambacho hakipo"
Tukacheka sana bila kujua kijana anamaanisha nini. Akaendelea "Yule dada amekeketwa, na wanawake waliokeketwa feels nothing kwenye tendo la ndoa, hawapati utamu kabisaaa, huvyo mchumbaangu bado anafukuzia utamu"
Alizua mjadala mkubwa sana pale saloon nami nimeuamishia huku JF mnasemaje? Kuna uhalisia/ukwei juu ya hili?