Mwanibombo
Member
- Mar 25, 2023
- 61
- 84
Hahahah utakubali tuu...uzur n mkweli akitoka ku perform anakuambia.Ss hiv kawa E fm mziiiki mnene
Hahahah utakubali tuu...uzur n mkweli akitoka ku perform anakuambia.Ss hiv kawa E fm mziiiki mnene
WanadanganyanqAcha watu wapendane kuachana kawaida tu
Hahahahaha,we jamaaKama hakupendi je alafu ukamwambia yeye ni Mbaya
sio kushindikana,ukiona hana tabia zakukupendeza na hakupi furahi kwanini uendelee kuwa naeNafunzwa na kungwi wa kiume
Hapa nikiachika basi nitakua nimeshindikana shogaangu
Hahahaha,kabisa usemayoNdo ukweli....kama humpendi unaona anakupigia makelele tu
Tatizo mnatutumia mno mpaka tunaogopa kuwapenda kweli 🙄Hahahaha,kabisa usemayo
HahahahaTatizo mnatutumia mno mpaka tunaogopa kuwapenda kweli
hata nyie mnatutumia kutuchuna pesa😂 staili ni ile ileTatizo mnatutumia mno mpaka tunaogopa kuwapenda kweli 🙄
Ukiwa mtoaji mbona nakupa mpaka popo kanyea mbingu🥴hata nyie mnatutumia kutuchuna pesa😂 staili ni ile ile
nyie mna wivu sana
nakutaka kimapenziwataachana
Yaani mtu akiachika hapendi kabisa kusikia watu wanapendana
sio kushindikana,ukiona hana tabia zakukupendeza na hakupi furahi kwanini uendelee kuwa nae
Tafuta pesa utimize ndoto na mafanikio yako, hizo zingine zote ni mbwembwe na uongo. Watakuigizia mpaka akili zikukae sawa, ndio utaacha kushabikia mambo yasiyo na msingi maishani mwako. Mwanamke anasifia hata nadereva wa uber naanafurahi. Komalia maisha yako.Hello guys,
Hivi unajua kwamba mwanamke akiwa anakupenda ukimsifia wewe ni mzuri huwa anafurahi? Hata sauti yake huwa inabadilika.
Ila kama hakupendi ukimsifia anaona kama unamkera, so mwaume mwenzangu chukua hii itakusaidia sana.
Kama upo nae karibu angali facial expresssion, ila kama yuko mbali sikiliza sauti yake utagundua.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hahahah utakubali tuu...uzur n mkweli akitoka ku perform anakuambia.
hilooo ni chaguo lakooo chaguo lako
nakutaka kimapenzi