Msolopagazi
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 663
- 153
Hii habari imeandikwa Habari LeoHii habari ni uzushi tuwekee jina la huyo Mwanamke au picha yake pamoja na hilo jiwe
Hii habari imeandikwa Habari LeoHii habari ni uzushi tuwekee jina la huyo Mwanamke au picha yake pamoja na hilo jiwe
umbea huo kaka...........<br />
<br />
Mkuu,
Mimi nimesikia kwenye kipindi cha matukio cha Redio Free Afrika asubuhi hii. Nimepatwa na mshtuko baada ya kusikia maana ni ngumu kuamini. Sikuweza kusikia jina la huyo mama ila kama kuna ambaye kasikia atatujuza. Kuhusu picha, siwezi kuzipata maana sikuwepo huko na redio haitoi picha. Aliyeripoti redioni amemuhoji huyo mama na m/kiti wa kijiji chake na wote wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo!
Sio rahisiHii habari ni uzushi tuwekee jina la huyo Mwanamke au picha yake pamoja na hilo jiwe
Wapi huko?
<br />Mimi sipingi sana kwani nishawahi kumuona mtoto wa hivyo kwenye TV sio hapa TZ ila hiyo channel siikumbuki mana ni siku nyingi niliona hiyo story mwaka 2007. Na madoctor walielezea jinsi inavyotokea na hicho kiumbe hakiwi hai wala hakiendelei kukua na kinaitwa 'Stone Baby'. <br />
<br />
Kuna Mama alipata ujauzito kufikia miezi kadhaa ujauzito haukuendelea kukua na baada ya hapo hakupata tena mimba. Ndio kuja kufanyiwa upasuaji na kumtoa huyo anayeitwa stone baby. Yeye alikuwa na umbo la binadamu unakiona kichwa na mwili ila viungo havionekani vizuri kwa kuwa hakuendelea kukua na amekuwa kitu kigumu kama jiwe. <br />
<br />
Kutokana na Dr. aliyemfanyia upasuaji na akimuonyesha huyo mtoto alisema ni aina fulani ya fibre, na kile kiumbe kinaweza kukaa tumboni muda mrefu bila madhara kwa mama.
<br /><br /><br />
<br /><br />
MASHAKA MATUPU
Uskute alijiridhisha na jiwe! Mungu si PAW, jiwe likatoa ujauzito.