Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Yoyo umeona tofauti ya tabia ya mwafrika na mdhungu wako?
Tumia akili zako!
Tumia akili zako!
You can say that again
afro,Hadi kichefuchefu
pole ya kazi gani? Huyu bora angeevaporate.pole kwa wafiwa ila mmmmmmhhhhhhh
Wazungu ndo mashetwan wenyewe
Yoyo umeona tofauti ya tabia ya mwafrika na mdhungu wako?Tumia akili zako!
↲Tendo lenyewe sio rasmi kwa hiyo hata zana haiwezi kuwa rasmi, alimradi inafitSasa angemvalishaje? Au zipo za mbwa?
akili wanazotuzid ndo izo za kimbwa mbwa..Halafu mnaniambia wazungu wametuzidi akili.