mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
Wewe ni mtu wa kipendacho roho kula nyama mbichi.
Inaelekea huna objective thinking capacity, unatetea hoja yako kwa makosa yaliyofanyika na kuendelea kuchukuliwa hatua.Fuatilia vizuri msimamo wangu juu ya sakata la Mwangosi humu jamvini na utaelimika vizuri.
Nyie ndo watu mnaojitia jazba na munkari kwa kvitu vingine ili kuhalalisha maovu ya wale muwapendao, na kwa hapa huyo "jambazi".
Kama unafikiri Lema au Nassari wana akili sana basi una matatizo, na baada ya haya kujitokeza hebu waulize maoni yao imekuwaje wanapiga picha na mtu asiyefahamika ajira yake hadharani.
Kubishana na wewe ni kupoteza muda wangu! Kila la kheri na makelele yako!