'Mwanajeshi' aliyepiga picha na Lema afungwa jela miaka minne

Wanabodi.

Mtu aliyepiga picha na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akiwa amevalia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela.

Kijana huyo Abubakari Kikulu mbali na kupiga picha hiyo Lema pamoja na Nassari, kijana huyo alionyesha vidole viwili, ambayo ni alama ya Chadema.

Baada ya kukiri kosa hilo Hakimu Mkazi Mfawadhi wa Mahakama ya Mkoa wa Kilimanjaro alimhukumu kifungo cha miaka minne jela, ili iwe fundisho.


My Take...

Chadema mmesababisha kijana wa watu kaenda jela ni jukumu lenu kuitunza familia yake pamoja na kusomesha watoto wake.

Kwanza ni kusahihishe ameenda jela miaka miwili amepatikana na makosa mawili na kila kosa ni miaka miwili na adhabu zinakwenda pamoja hivo atakaa jela miaka miwili na sio minne!Nikirudi kwenye mada yako chadema wamesababishaje? Ndio walimtuma ajifanye mwanajeshi kumbe sio? Kwanza ulitakiwa uipongeze chadema kwani umaarufu wake umesababisha mhalifu kujulikana na kufikishwa kwa pilato! chadema hata siku moja hailei wala kufumbia macho waovu na wahalifu angekuwa ameeonewa chadema ingeingilia lakini aliposomewa mashitaka amekubali hapo hapo akala mvua zake mbili! na natarajia hata police aliyegombea ujumbe wa nec ccm pia afikishwe mahamani ili kuwe na fair ground!
 
...Kama wezi wa EPA waliambiwa warudishe tu pesa kwanini busara hiyohiyo isingetumika kwa huyu kijana mbaye may be ni bangi tu zilimtuma kulivaa gwanda la jeshi ili awe juu ya makamanda waliovaa ngwanda la kaki kwenye mkutano huo?..


...Sijui sheria,lakini naamini miaka 4 ni kifungo kirefu sana kwa kosa hili,huyu ingemtosha tu adhabu ya viboko 24 na kufanya shughuli za kijamii kwa muda usiozidi miezi 6,kumpeleka mtu mwenye kosa kama hili jela ni kuongeza msongamano wa wafungwa magerezani bila sababu za msingi...
 
Mkuu si amekiri mwenyewe??!!,Unaposomewa shitaka ukakiri mahakamani kinachofuata ni kuhukumiwa tu hakuna kingine,sanasana hakimu anaweza kukupunguzia adhabu kwa sababu unakuwa umeipunguzia adhabu mahakama.


mkuu hujaeleweka utaipunguzia je adhabu mahakama??mahakama huwa inapewa adhabu gani??
 
kwa hyokumbe hakutaiwa kushtakiwa na huko kufungwa kwa kupiga picha nalema kama mwanajeshi.
alitakiwa kushtakiwa kwa kuvaa sare za jeshi ilhai sio mwanajeshi.
NINYI NYOTE HAMNA AKILITU....!
Povu linawatokaaaaaaaaaaaaa mbonampaka leo dpp anazuia mdhamana wa SHEIKH PONDA mumekaa kimyana kesi ya SHEIKH PONDA ni ya ardhi mdhamana ni haki yake tena aliyesema ni mwanasheria wenu mabere marando, mbona lema aliwaambia watu kwamba ile sehemu ambayo imezungushiwa mabati pale kilombero ni mali yetu na watu wakavamia na kuiba mabati na mbao mbona hakuna sheria yoyote iliyochukuliwa?
 
Wanabodi.

Mtu aliyepiga picha na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akiwa amevalia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela.

Kijana huyo Abubakari Kikulu mbali na kupiga picha hiyo Lema pamoja na Nassari, kijana huyo alionyesha vidole viwili, ambayo ni alama ya Chadema.

Baada ya kukiri kosa hilo Hakimu Mkazi Mfawadhi wa Mahakama ya Mkoa wa Kilimanjaro alimhukumu kifungo cha miaka minne jela, ili iwe fundisho.


My Take...

Chadema mmesababisha kijana wa watu kaenda jela ni jukumu lenu kuitunza familia yake pamoja na kusomesha watoto wake.

Ritz hebu acha wehu, Chadema ndio waliompa hizo nguo za jeshi?
 
Last edited by a moderator:
Hivi ccm hawamwogopi Mungu? Napata tabu sana kuwaza kuhusu hawa magamba,matendo yao,kauli zao.Mtanzania yeyote anayetaka mabadiliko amwombe Mungu atuondoshee haya mashetani yanayoumiza nafsi zetu
 
kesi ya Mramba na Yona na za mafisadi za miaka miwili bado uchunguzi lakini ya kijana huyu uchunguzi tayari na kufungwa juu, Ritz funguka usishabikie ujinga jeshin hawa wako wengi , ipo siku tu utasikia CCM sasa basi sijui utaenda IRAKI?
 
Watanzania kweli bado tuko mbali.Kwani huyu Mwanakijiji ni nani kwa US CONGRESS zaidi ya kwenye mitandao na magazeti ya Tanzania.

Haya bana, Mwanakijiji jamii inakutegemea na usiiache njiani.

Mkuu, acha kumchokoza Mwanakijiji ana shughulika na mambo mengi muhimu.
Muombeni Mwanakijiji awaletee na kipengele cha ndoa ya jinsia moja katika katiba yenu kwa niaba ya watu wa wamerekani.

 
Hapa kama tungekuwa tunajua kuwa AshaRose Alibaki kuwa lecturer wa UD aliepewa leave wakati kuna Malecturers walilazmishwa kujiuzulu ili waingie kwenye siasa wa vyama pinzani bas tungekuwa na mengi ya kfikiria na kufanyia maamuz.
 
Wanabodi.

Mtu aliyepiga picha na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akiwa amevalia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela.

Kijana huyo Abubakari Kikulu mbali na kupiga picha hiyo Lema pamoja na Nassari, kijana huyo alionyesha vidole viwili, ambayo ni alama ya Chadema.

Baada ya kukiri kosa hilo Hakimu Mkazi Mfawadhi wa Mahakama ya Mkoa wa Kilimanjaro alimhukumu kifungo cha miaka minne jela, ili iwe fundisho.


My Take...

Chadema mmesababisha kijana wa watu kaenda jela ni jukumu lenu kuitunza familia yake pamoja na kusomesha watoto wake.
Ritz, hebu badilisha heading yako, yule hakuwa mwanajeshi bali kijana wa mtaani tu aliyevalishwa magwanda ya jeshi.

Lakini mtu makini atajiuliza uhusika wa Lema na Nassari katika sakata zima, na jamaa wamemtosa!
Ukikaa karibu na hao jamaa ni noma sana.
 
Nchi hii lazima iachane na chama hiki cha magamba CCM, nasema ivo kwa uchungu baada ya kusikia yule jamaa aliepiga picha na Lema huku akiwa Kava kombati za Jeshi eti kafungwa miaka mi nne , je ni haki?

Mbona yule Askari polisi alieenda kugombea Uongozi wa CCM Dodoma hajafungwa? kwani jamaa huyo police alitumaia jina feki la JOEL BENDERA ambae ni Mkuu wa mkoa wa Morogoro! Mbona haja fungwa?Tunaomba Serikari hii imfunge pia ili iwe fundisho pia, Au ni kwa sababu alikuwa kwenye Kugombea CCM? AMA? Kweli inauma sana.Kwanza Askari huyo alikiuka miiko yabaada ya kujjta JOEL BENDERA.
Nikwamba jamaa huyo alikuwa Kihiyo!! Tunaomba ufafanuzi kwa jambo hili.

Hii ni indicator ya kuamsha fikra, kutambua matendo chanya, kuelekea kutambua haki na wajibu wa mtanzania kupitia sanduku laa kura.
 
Muombeni Mwanakijiji awaletee na kipengele cha ndoa ya jinsia moja katika katiba yenu kwa niaba ya watu wa wamerekani.


Hata hizo office za US CONGRESS anaziona kwa nje tu. Acha aendelee kudanganya vipofu wa fikra kwenye mitandao
 
Muombeni Mwanakijiji awaletee na kipengele cha ndoa ya jinsia moja katika katiba yenu kwa niaba ya watu wa wamerekani.


nadhani na hilo swala atalipeleka kwa senator kerry. Ili congress washinikize kuruhusiwa kwa ndo ya jinsia moja hapa kama moja ya misingi ya human right.
Mwanakijiji is very useful to chadema.
 
Mkuu huyo siyo mwanajeshi ni muhuni tu wa Chadema ambaye alivalishwa na Lema sare za Jeshi nakupiga naye picha kulichafua jeshi letu kujiingiza kwenye siasa.
Ni jukumu la Lema kuitunza familia ya Huyu mjinga
 
Ritz, hebu badilisha heading yako, yule hakuwa mwanajeshi bali kijana wa mtaani tu aliyevalishwa magwanda ya jeshi.

Lakini mtu makini atajiuliza uhusika wa Lema na Nassari katika sakata zima, na jamaa wamemtosa!
Ukikaa karibu na hao jamaa ni noma sana.

Mkuu,
Ritz ameweka quotation marks akiwa na maana kwa mwelewa atafahamu ana maana gani.
 
Chadema mnachukuwa jukumu gani kuiangalia familia ya huyu kijana wenu mliomvalisha sare za jeshi la wananchi.
 
Back
Top Bottom