nobody knows but me
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 525
- 362
Udogo upi unazungumzia mkuu?! Udogo wa akili ama wa umri?!Humu JF mdogo ni mimi pekeangu???
Udogo upi unazungumzia mkuu?! Udogo wa akili ama wa umri?!Humu JF mdogo ni mimi pekeangu???
Asante kwa taarifa mkuuWatu unaowajua almost wote walikuwepo... from Chairperson Freeman Mbowe, Wajumbe wa CC na Mawaziri Wakuu Wastaafu Mzee Edward Lowassa na Frederick Sumaye, Manaibu KM wa CHADEMA John John Mnyika na Salum Mwalim, Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, from all sides CHADEMA, CUF na CCM...kwa hiyo UKAWA ulikuwa live hapo pia. Wapiganaji wote wa CHADEMA unaowajua kwa maana ya wakurugenzi, maofisa, walinzi, madereva walikuwepo... KM alikuwa safarini nje ya nchi kikazi.
Picha hiyo inaelezea...wazee wazima wakiwa na Ba Mkwe. Now my father akiwa pamoja na Ma mkwe.
Wife is also a public figure, a Member of Parliament.
Daah huyo mwanamke kajaaliwa, haina hata haja ya kugeukaMkuu salama? Have a look!
Itakuwa Madam Bna huyo dada nina uhakika ni mwana JF,anatumia jina gani?lol
hongereni sana,ndoa ni wito,mpendane.lol
Mkuu natumaini ulimaanisha "public" maana "pubic" ina maana nyingine kabisa!I bet,,,.. he is a pubic figure anyway.
Anhahahahaaa.... Ahsante aisee.Mkuu natumaini ulimaanisha "public" maana "pubic" ina maana nyingine kabisa!
Kila la heri kwa familia mpya.
Bi harusi kama kajikataa hivi....!! Atakua mchaga lazima.Lovely, I like her hair style
Aisee mkuu una nini na wachaga??Bi harusi kama kajikataa hivi....!! Atakua mchaga lazima.