MwanaHALISI: Msaidizi wa Mbowe kuibuka... Ni Ben Saanane

Mwandishi wa gazeti pendwa nchini linalomilikiwa na kada maarufu wa CHADEMA amesema Ben ataibuka siku yeyote kuanzia leo. Zaidi nunua gazeti la January Mosi 2017.
 
serikali kupitia polis ndio wenye wajibu kikatiba kulinda raia wa tz na mali zao na ndio maana matamko yote yaliwalenga wao watwambie alipo.Haijalishi awe ametekwa,kujificha au amesafiri.wao wanao wajibu wa kutumia vyombo na mamlaka yao kutwambia alipo ben
 
Huwezi kupata comment kwenye hii post maana gazeti ni la kwao na waliyemficha / aliyepotea ni mtu wao.

Kama nakumbuka hash tag ya Bensaanane mwaka juzi [HASHTAG]#BringBackOurCDF[/HASHTAG], alikuwa ananikera kweli na uzushi wake wa kuwa CDF kapotea, sasa kapotea yeye, kweli mtenda akitendewa....
CDF alikuwa Lost & Found
 
Tarizo ni policccm walikurupuka kumkamata wakati hawana ushahidi wa kutosha na wakajidai kufuata mbinu za usalama wa taifa katika kumkamata na kumzuia Ben sasa wamegeukwa na kuwatokea puani... Ngoja tuone
 
Kubenea alipoandika habari kuhusu kutekwa na kuteswa kwa Ulimboka walimsifia sana, Leo anaandika kuhusu Ben Saanane kuonekana akiwa mitaani akidhurura, Kubenea anaonekana kanunuliwa na CCM.
Poor BAVICHA!!!
 
b17ea8a6382b87443e909dc280653295.jpg

Kutoka kwa yericko fb Leo hii
 
Kubenea alipoandika habari kuhusu kutekwa na kuteswa kwa Ulimboka walimsifia sana, Leo anaandika kuhusu Ben Saanane kuonekana akiwa mitaani akidhurura, Kubenea anaonekana kanunuliwa na CCM.
Poor BAVICHA!!!
Sio kweli.
 
Pia tujiulize nani amefuta posts za Ben kkue facebook?

Je kuna mtu Ben alimuamini sana akampa password yake?

Haya maigizo mbona ni zaidi ya sinema za Bollywood

Uki-analyze mistari na aya zilizoandikwa humo, utaona dhahiri kwamba hazijakamilika.

Kwa mfano anapoandika Ben kuonekana kwa rafiki zake, mbona hasemi ni rafiki yupi? Mkazi wa wapi? Siku gani alionekana? Wakati gani? Na (w) alikuwa wakifanya nini na rafiki yake/zake?

Aya nyingine ni dokezo la Ben kuwa PhD candidate Uholanzi, maana yake Ben ni mjuzi sana. Haiwezekani apotee kiholela namna hii.

Imo mistari na aya nyingi zinazoashiria umakini wa mwandishi kukusudia kuficha lengo (sio ukweli) wa andiko hili.

Haiyumkini kuna sehemu ya pili, tatu, nne na hata sehemu ya tano ya andiko hili.
 
Back
Top Bottom