mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
nguo washavua siku nyingi sasa wanaoga maji taka, nilishangaa mwaka jana sikuona jina langu pale magogoni Kivukoni , kweli Tume hii ni ya ajabu angalau ya kenya ilikuwa na kigugumizi lakini hii kwa rafu ni Zaidi ya mchezaji mtukutu Matellezi wa Italy