To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,214
- 65,826
🤣🤣🤣🤣Unakuza mambo umesema walipewa chakula na msikiti sasa mchele umeingiaje hapo
🤣🤣🤣🤣Unakuza mambo umesema walipewa chakula na msikiti sasa mchele umeingiaje hapo
Ukitoka nduki kufanyia taarifa ya kusikia bila kuichakata kung'amua maswali na majibu muhimu unaweza ukajikuta unajidhalilisha mwenyewe.Ingefaa kuitaja hiyo taasisi kwa manufaa ya shule zingine zisipokee msaada kutoka taasisi hiyo
Wataalamu wa sheria, je familia ya marehemu inaweza kuchukua hatua gani za kisheria dhidi ya taasisi iliyosababisha kifo hicho?
Na wewe unahoji kama nani ? Acha uswahili bana binti tiari amesha kufa ulitaka iyo taasisi iendelee kuua wengine ?Unatoa taarifa kama nani? Una Mamlaka gani? Jenwengine huko msikitini waliokula hilo chakula wameugua pia?
mkuu mbona unakuza mambo. hakukua na haja ya hayo yote. ni mambo tu ya kawaida. food poisining inaweza kutokea hata majumbani mwetu. mathalani upishi usafu na maandalizi na ubora wa vyakula ni mambo ya msingi ukiteleza inaweza leta shida. pia wengine wana allergies ikapelekea shida hiyo. mambo mengine tusitazame kwa uadui.Umekwenda mbali sana.Na unajieleza wewe ni nani.
Wanafunzi wa kiislamu..
kula futari..
Msikiti....
jumuiya ya kiislamu....
Mimi nina shaka huyo mtoto wewe umehusika kummaliza ili upate habari uipendayo.
Kutoa taarifa hakuhitaji ''uwe fulani''. Una mawazo ya ki-kale sana wakati dunia iko kwenye hatua nyingine.Unatoa taarifa kama nani? Una Mamlaka gani? Jenwengine huko msikitini waliokula hilo chakula wameugua pia?
Na sio Wanafunzi 300 Mkuu, ni Shule 300 ambazo ukijulisha haraka haraka Idadi ya Wanafunzi zaidi ya 150,000 ukichukulia Kila Shule ina Wanafunzi 500 std 1 to std 7Kuna kitu labda kiliwekwa humo, ila wakazidisha dozi. Bado ule mchele wa wanafunzi 300 wa kule Dodoma
Taarifa yake haijajitosheleza. Imekaa kishabiki. Alafu anaonekana ni mwalimu na hilo linatia wasiwasi labda kuna ushiriki wa wengine katika hilo tukio kama ni kweli.Na wewe unahoji kama nani ? Acha uswahili bana binti tiari amesha kufa ulitaka iyo taasisi iendelee kuua wengine ? Taarifa
India watu wanakufa kwa mamia kwenye karamu wala si weusi na hawajaacha kula biriani na kachori zao siku za sherehe.Vyovyote iwavyo chakula cha jumuiya usalama wake huwa mdogo kutokana na historia ya watu weusi kutokua na usafi wa maandalizi ya chakula. Mwingine anapengea makamasi kwenye kusonga ugali humohumo mwingine hajanawa katoka chooni anaendelea na mapishi.
Pole kwa wahanga.
Duu, hatari, kichwa cha uzi kilisema wanafunzi 300+ , si nikajua ni wanafunzi, daahNa sio Wanafunzi 300 Mkuu, ni Shule 300 ambazo ukijulisha haraka haraka Idadi ya Wanafunzi zaidi ya 150,000 ukichukulia Kila Shule ina Wanafunzi 500 std 1 to std 7
Hiyo 300 ni Idadi ya Shule zitakazonufaika.Duu, hatari, kichwa cha uzi kilisema wanafunzi 300+ , si nikajua ni wanafunzi, daah
Mimi nimejaribu kuwa na fikra kama zako lakini aliyeyakuza ni huyo daktari au nesi wa hiyo hospitala ambaye ameona ataje futari,msikiti,jumuiya ya kiislamu.mkuu mbona unakuza mambo. hakukua na haja ya hayo yote. ni mambo tu ya kawaida. food poisining inaweza kutokea hata majumbani mwetu. mathalani upishi usafu na maandalizi na ubora wa vyakula ni mambo ya msingi ukiteleza inaweza leta shida. pia wengine wana allergies ikapelekea shida hiyo. mambo mengine tusitazame kwa uadui.
hilo jamaa ni lifia dini hiyo achana nalo, limeharibiwa akili na dini hiyoMsikiti
Futari
Uislamu
Vimekupofua mpaka umekosa utu na roho imekuuma kweli kutajwa hivyo vitu hapo juu
Kwani wote wanaotoa taarifa humu huwa kama nani?Unatoa taarifa kama nani? Una Mamlaka gani? Jenwengine huko msikitini waliokula hilo chakula wameugua pia?