MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

Wadau wa jukwaa hili, heshima kwenu.

Naomba msaada wa mwenye kujua hiyo joining instruction au namba ya mwalimu au mwanafunzi wa shule hii anisaidie.

Kama mnavyojua muda wenyewe ni mfupi.

Natanguliza shukrani.
 
Wadau wa jukwaa hili, heshima kwenu.

Naomba msaada wa mwenye kujua joining instruction za hiyo au namba ya mwalimu au mwanafunzi wa shule hii anisaidie.
Mpwa wangu amechaguliwa kujiunga kidato cha 5 ila bado hatujapata joining instruction.

Kama mnavyojua muda wenyewe ni mfupi.

Natanguliza shukrani.
 
Hivi humu jamvini is kuna walimu wengi tu wakiwemo wakuu,kwanini wasiwasaidie hawa vijana kwa kuattach Joining Instruction ili waweze kufanya maandalizi mapema kabla ya kufungua shule

Katika kipindi hiki cha digitali ,haya ni miongoni mwa matumizi mazuri sana ya mtandao na yatawafikia wengi ndani ya muda mfupi kuliko kusubiri mlolongo mrefu wa posta zetu
 
Je naweza kuipata joining instruction ya shule ya sekondari msangeni iliyopo arusha? kwa mwenye nayo naomba unitumie. pia nikiipata namba ya mkuu wa shule itanidia sana. asanteni
 
Anayefahamu Songe Sekondari -Musoma Mkoa wa Mara. kuna Mwanangu kapangwa huko Hgl.
 
Jamani wakuu yoyote anayeijua na kuifahamu shule moja iko BABATI inaitwa ALDERSGATE, Mdogo wangu kachaguliwa kwenda hapo kwa mchepuo wa PCB,Natanguliza shukurani wakuu
 
Kwa simu jina la shule linaandikwa kwa mfumo gani?

andika jina la shule, subiri kidogo jina kitajimalizia pamoja na namba, ukiona ndio hilo basi we bonyeza retrieve ...utaona majina ya candidates wa shule husika
 
No. S0324/0061

Sex::- M

GPA:- 2.6

CRASS:- MERIT

DETAILS SUBJECT
CIV - 'E' HIST - 'C' GEO - 'B' KISW - 'B' ENGL - 'B+' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'D'

Amemaliza Lindi Sec School ila kachaguliwa kwenda shule ya Lyamungo wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro kombi HGE.

=========================

NO:- S0324/0048

SEX:- M

GPA:- 1.6

CLASS:- CREDIT

DETAILS SUBJECT
CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'E' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'C' COMP STUD - 'E' B/MATH - 'D'

Huyu hajachaguliwa kabisa licha ya kuna matokeo hayo hapo juu.

TANZANIA TUNALALAMIKA JUU YA WANAFUNZI WA SAYANSI ILA MBONA TUNAWAVUNJA MOYO WATAALAMU HAWA …??

ukipata "C" ni kama umefeli.
 
Kuhama Shule Inawezekana? Na Ni Process Zipi Znafuatwa Ili Kufanikisha Kuhama? Msaada Tafadhali, Nimepangiwa Kongwa Sec P.C.B Yeyote Aliepangiwa Pale Anijulishe Tafadhali.

cha msingi wahi kutafuta nafasi kwenye shule unayotaka kuhamia
 
Back
Top Bottom