omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Ukiangalia tukio la mauaji pale TAG-Bukoba, watuhumiwa wa uchawi Kigoma, Albino wa Kinyerezi nk, mwezi tu uliopita unaona kuwa Tanzania imejaa watu katili na wabaya kama ilivyo sehemu nyingine duniani na huenda tukawa hata zaidi.
Badala ya kuendelea kuimba 'nyimbo za nchi ya amani' ni bora kutafuta kiini cha mambo haya ili kuyakomesha au basi hata kuyapunguza.
Badala ya kuendelea kuimba 'nyimbo za nchi ya amani' ni bora kutafuta kiini cha mambo haya ili kuyakomesha au basi hata kuyapunguza.