Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
- Thread starter
- #21
Kama walishawahi kuzini sioni tatizo lakuhamia asiamie kama ajwahi kumpa tunda kwa nini
dini yetu ya kikriso airuhusu uzinzi na si kuishi pamoja ..mnaruhusiwa kuishi pamoja kama mmeoana
sasa kama yuko kwa wazazi wako na bado jamaa anaendelea kummega akuna tofauti wakawa pamoja wafe na dhambi ya uzinzi kwa ujumla..baibo inasema bora uwe baridi ama moto na isi uvuguvugu dadako anajaribu kuwa vuguvug wakati anautaka ubaridi..so naomba muulize swali moja kama ameshamegwa na anaendelea kumegwa basi kuishi pamoja aina tofauti..dhambi iliopo ni kumegwa kabla ya ndoa na si kuishi pamoja
all the best
wasalaaam
basiasi
Mhh hapo kazi.
Binti anaishi kwake mwenyewe.