afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
misi yuu..hapi nyu hia.....
miss you too GOZO..
Heri ya mwaka mpya..
Naona bado unatabasamu lako lile linalonivutia..
misi yuu..hapi nyu hia.....
Nani alikwambia?
Nani aliniambia nini?
Unajua KUPIKA.
nipo reception nalipia room guest hauz..
Naniliu
Hhhm. . . labda alikua anakupiga saundi taratibu.
miss you too GOZO..
Heri ya mwaka mpya..
Naona bado unatabasamu lako lile linalonivutia..
Guest house ya nini na wewe ni mwenyeji?
Hivi Lizzy na Lizy II ni watu wawili tofauti?
tena nikikuona wewe ndo nalizidisha sema nimekosa dimpoz tu yani lingekumaliza kabisa..lol
hahahahahahahahhahhahahha lohhhh
Hizo dental ziko hapo badala ya dipoz .. usema ukweli unatabasamu la kufa mtu .. lol
hahahahahahahahhahhahahha lohhhh
Hizo dental ziko hapo badala ya dipoz .. usema ukweli unatabasamu la kufa mtu .. lol
We Kurwa nawe siumtongoze tu, kwani mpaka umsifie kwa post 100????
ebu msaidie labda mwenzako domo zege...
sema na uhendsamu nao unachangia...lol...ebu nipe sifa zangu bana usinibanie....
We Kurwa nawe siumtongoze tu, kwani mpaka umsifie kwa post 100????
ebu msaidie labda mwenzako domo zege...
Hivi Doto kwani kumsifu tu mtu ni vibaya jamani??
Kheee. . . nimsaidie wakati sifa alizotoa sioni katoa wapi?