Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,275
Taratibu jamani hapo kuna mmoja shemeji yangu staha itumike.Heaven Sent Na atoto mkitoka hapo Papuchi hazifai
Taratibu jamani hapo kuna mmoja shemeji yangu staha itumike.Heaven Sent Na atoto mkitoka hapo Papuchi hazifai
Ukioa una multiply matumiz yako acha kutudanganya wacha tule ujanaMi hata sijui coz chakula nanunua na kuweka ndani. May be if I need different food apart from vilivyopo ndani.
Oeni mbane matumizi.
Kula hadi ufeUkioa una multiply matumiz yako acha kutudanganya wacha tule ujana
Ya shemeji sikulagi..wewe unakulaga?Kwani wee pia huwa unakulaga???
Skuizi hainaga ushemeji jombaaTaratibu jamani hapo kuna mmoja shemeji yangu staha itumike.
Nakulaga kitu gani???????Ya shemeji sikulagi..wewe unakulaga?
Home naacha ten,kitaa nakula buku3.Wabana matumizi... Wa kujiachia leo tukutane hapa.
Kutokujua unatumia kiasi gani kwa siku hata kwa chakula unachokula mwenyewe....
Kumbe ni dada zako????Stunter unadiriki kuwaambia dada zangu hivyo!
Sijapendezwa
Cc
Atoto
Heaven sent
Sisi wa kitambo bado upo na pia nimezungumzia staha au nidhamu wala sipo huko penye singeli .Skuizi hainaga ushemeji jombaa
mtoto wa mwenzako ni mkubwa mwenzioHiki kitoto hakina adabu.
Anyway Hao ni shemeji zako na sio shemej zangu...Sisi wa kitambo bado upo na pia nimezungumzia staha au nidhamu wala sipo huko penye singeli .
Niliwahi kukaa na kaka yangu mwezi mmoja baada ya kumaliza chuo ikawa lunch na diner anakula nyumbani, alishangaa jinsi gharama zilivyopungua kwa huo mwezi, so inawezekana.
Sasa jirani inabidi nipange ratiba ya kukutembelea, hiyo bajeti inatutosha kabisa.
Naomba kuijua profession yako mkuu
Yupo humu subir nimtafute aje athibitishe
Kuna mtu nampenda huku JF naogopa nikisema nitamkosa bure!
karibu sana mwana JF member mwenzangu. Njoo lakiini 25/11 nasafiri. Nahisi haitofika hii tarehe utakuwa umeshakujaWeek ijayo nakuja ZnZ, Nielekeze kwako nije nikutembelee
Mlo wa mchana unaweza kujazia soft food au maji tu kama asubuhi umepiga supu na vitafunwa vya kutosha, mara nyingi mimibnafanya hivi, mchana njaa ikinibana nakula isiponibana napotezea kula....jioni kula chakula ni a must!!!Kuna mahali nimehamia miezi minne sasa yaani najutia dunia!
15,000TZS na kuendela pa day
Detail:
Asubuhi: 3,500-4,000TZS. Maziwa au chai kikombe kidogo...500, andazi/chapati..500, supu...3000
Mchana: 5,000-6,000TZS. Ugali....2500, wali.....3500-4000
Jioni: 5,000-6,000TZS. Ugali....2500, wali.....3500-4000, pilau....4000. Ukila ugali kuku ni 3500
Nahapo sinywi bia. Soda sio lazima sana maji kama kawaida......tushauliane aiee. naona kwa mwezi inakula kwangu maana kipato chenyewe sio kikubwa kwa kuhimili hii gharama
Mbona umeguna?Uzi
umenoga
Aisee!