street messayah
Member
- Jul 19, 2011
- 18
- 1
Niamini mimi wimbo wa Mwana Fa "kama zamani" ni artistic message kwa Jay Dee! Fa ameshawai kukiri kuwa hakuna mwanamuziki wa kike ambaye yeye anapenda kufanya nae kazi kama Jide! Chukua muda wa kuisikiliza verse ya kwanza ya nyimbo hiyo ndo utanielewa.