Mwamko wa Mabadiliko Misri na Hatima ya Hosni Mubarak

Mtangazaji Fareed Zakaria katika jiji la Alexandria asema Mubaraka amechelewa na kwamba hawezi kuokolewa na majanga haya ya Nguvu ya Umma kwa sababu aligomea mwenyewe mabadiliko kwa zaiidi ya miaka 30.

Familia yake Mubaraka tayari wameshafika London. Swali vichwani ni kama Mubaraka naye ataelekea London na wala si Saudi Arabia kama ilivyo ada kwa madikteta wengune wengi tu Barani Afrika.
 
News Alert...

Hosni Mubarak anaogopa kuongea na wananchi wa Misri, Wanajeshi wamejiunga na wananchi kupinga utawala wa Miaka 30 bila mafanikio ya kiuchumi ya watu wa kawaida
Wanasema Polisi wantumia vifaa vya nguvu bila usawa.

Mohamed El Baradai ambaye alitaka kugombea urais karudi Misri lakini alishikwa na polisi yuko kwenye House Arrest.

Majengo ya chama tawala yanawashwa moto, Polisi sasa hivi hawatumi risasi au kuzuia sababu Jeshi wako na wananchi.

Marekani inaangalia Wamisri wanataka Rais Obama anongelee suala lao na kutaka Mubarak aondoke.

Kwetu Nyumbani we need this Wind of change...
 
It is very true that the Angel of change is swipping the Magreb countries.However,Tanzania's case is a bit different in that the Angel of change is the the common himself who cannot complain of anything leave alone participating on violent protest.This has to change otherwise come 2015 watachakachua kura mpaka walalahoi wenyewe.
 
Na haya maandamano yakishuka yaka vuka jangwa la sahara kuelekea kusini sijui yataanzia nchi gani!
Mimi naona kama vile Zimbabwe na Malawi hawako salama sana kwa sasa Kusini mwa Jangwa la Sahara.

Malaika wa Ukombozi Barani Afrika bado yuko angani na kutazama kila nchi ambako wananchi wananyanyaswa na kulmlilia Mungu kwa udhati zaidi huku wenyewe wakijibidisha kuvunja MINYORORO YA UFISADI NA DHULUMA nyinginezo
 
Obama asithubutu kuongea! aache Wamisri wenyewe wajichukulie destiny yao wenyewe as long as the protest is not met by much force by the police and military i.e. not so many deaths are occurring!
 
Naona kila dalili ya upepo kuelekea Tz sasa. Mkwere akae chonjo.
waapi bado saana nyie tumikeni tu kwani hata wabunge naona wanatuenjoy wao wanalamba 12 m per month wanashindwa kuongeza mishahara ya wafanyakazi lau ifike kajimilioni mimi nikisikia kuandamana kuanzia sasa nafikiria iwe kupinga mishahara ya wanasiasa kwa kweli ni mikubwa wkt sifa yao ni kujua kusoma na kuandika wkt waliobukua mamiaka wakiambulua laki 4 kwa mwezi tuandamane kuungane hata na askari wetu ambao tusipowashirikisha wanatumia kigezo cha kuzuia maandamano kutusachi cm na waleti zetu
 
Polisi wamesalimu amri, haijulikani wametokomea wapi, hawaonekani Tena mitaani
 
Let Egyptians decide their own fate! This is the way forward...the wind has blown and will change everything in the continent
 
:roll:I cant wait to happen in Tanzania, Mkwere sijui atakimbilia Kenya au Zimbabwe:roll:Revulation come to Tanzania :roll:
 
BBC Arabic reporter seriously clubbed on the head by Egyptian police, camera confiscated. Bendeji kichwani sawa na muonekano wa Bukuku our photojournalist siku ya operation magereza kule uwanja wa ndege Dar.
 
:roll:Mubarak amesha rent a place in Saudi Arabia:roll: Mkwere ata rent Zimbabwe au I vory Coast:laugh:
 
egypt.jpg
egypt-fullsize.jpg


Hawa ndio Wamisri waliochoka na utawala wa kibabe wa masultani wa kiafrika
 
Back
Top Bottom