Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 525
Nina diploma ya chemistry na biology. Nimegraduate 2018 mpaka Leo sina Ajira
mwaka Jana Kuna rafiki yangu aliajiriwa akaniambia take home ni 480,000
Kiuhalisia mshahara wa 480k Naona ni Sawa na kusaini mkataba na umasikini
Kama ndani ya miaka 4 ntapanda madaraja hadi salary ya 1m nitaomba Ajira serikalini.
Vinginevyo kuniona nimeshika chaki forever itabaki story.
ITABAKI STORY FOREVER
mwaka Jana Kuna rafiki yangu aliajiriwa akaniambia take home ni 480,000
Kiuhalisia mshahara wa 480k Naona ni Sawa na kusaini mkataba na umasikini
Kama ndani ya miaka 4 ntapanda madaraja hadi salary ya 1m nitaomba Ajira serikalini.
Vinginevyo kuniona nimeshika chaki forever itabaki story.
ITABAKI STORY FOREVER