MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

Akaribie maisha mapya ya kisiwani, atumie umeme kwa mara ya mwisho pande hizo umeme ni hadithi, kama hajawahi panda meli ndio ajipange.

Asante mkuu.Vipi kuhusu imani za kishirikina,huduma za afya,barabara ,maji na usalama wa raia na mali zao?Maana kuna maeneo mengine mwalimu akipokea mshahara tu usiku anafuatwa kwa mapanga na kunyang'anywa kila kitu na wakati mwingine hata kutolewa uhai wake.
 
Naomba kuuliza kwa wanaefahamu halmashaur hizi Ludewa vs chunya ni wilaya gani inaahuen kimaendeleo ktk vijiji vyake????
 
Wapendwa,,kwa neema ya Mungu ajira amazo wengi wetu tumekuwa tukizisubiri zimetoka sasa..Mimi ni mmoja wao waliopangwa kwenye wilaya hiyo inayoitwa Moshi Dc mahali ambapo sikuwaza kuwa nitaenda katika uhai wangu hata siku moja ila ndo hivyo sina jinsi..Ukiondoa taarifa ya kuwa Kilimanjaro ni mkoa wenye baridi sina taarifa yoyote ile ambayo inaweza kuwa msaada kwangu mimi..Tafadhali,mwenye kuijua vizuri hiyo sehemu anielekeze vizuri..Pamoja na hayo,wale waliopangwa Lindi Mjini au Mtwara Mjini na ungependa urudi kwenu Moshi,waweza wasiliana nami maan kwa kweli afya yangu hairuhusu kuishi sehemu yenye baridi..Niwatakie wakati mwema..

moshi hakuna bardi throughout a year barid ni msimu tyuu mwez wa tano had wa saba ila karibu sana aseee karibu Moshi
 
Yaa asante kwa mwangaza huu, inaonesha ni kijijini japo panafikika. kwa ss tuliokulia vijijini umeme sio kipaumbele, tunaangalia usafiri kwanza, then nishati mbadala hua tunaziboresha kama solar nk.


vp shughuli za uchumi huko ni zipi mkuu? na kama unafahamu umbali toka town ni almost km ngapi? ASANTE



khs umbali sifaham ni km ngapi ila nauli ni kati ya elfu 4 mpk 5 toka town. usafir upo mwingi sn.
 
naomba kujua ka vibari vimeisha anza kutolewa kwa walimu waliohama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.mwenye taarifa naomba anijulishe tafadhali
 
Back
Top Bottom