mesha mwaki
Member
- Nov 14, 2014
- 42
- 2
Bunda mjini iko poa sana, sasa sijui wewe umepangiwa bunda mjini au huko interior
kuhusu mjin/kijijin sijajua mkuu, nimeambiwa tu bunda dc
Bunda mjini iko poa sana, sasa sijui wewe umepangiwa bunda mjini au huko interior
mimi nimepangiwa Handeni DC - Tanga .... sasa nitajuaje kitoa shule yangu hapo mkuu !!!!
Kuna shida sana ya maji..!
hali nzima ya wilaya hiyo....naongelea mazingira kwa ujumla na nauli shilingi ngapi kutoka tanga mjini
Ndugu yangu kapangiwa huko. Toka Musoma Mjini mpaka Makao Makuu ya Musoma DC ni mwendo wa saa ngapi kwa bus? Nauli ni shilingi ngapi? Hali ya mvua ipoje? Rutuba ya ardhi ipoje?umeme maji samaki hali ya hewa poa sana karibu musoma vijijini uwezi fananisha na sehemu kame kama bahi
kwa ufupi kaliua ni wilaya mpya ambayo ndo inayoendelea kwa ss chakua na maji vinapatkana kwa bei ndogo sana .
haina mistu mikubwa bali kuna vichaka vya hapa na pale.
karibu ujionee mwalim wetu
ndugu kwa anaepajua biharamulo anipe experience kidogo pakoje? watu wake,miundombinu,uchumi nk.
kwa anaefahamu wilaya ya Musoma tafadhali naomba dondoo. Musoma DC ni ile ya mini au vijijini? Mdogo wangu kapangwa Musoma DC.
Hivi kuna ukweli wowote kama tunaweza badilishiwa vituo??
mi pia nimepangwa huko
Tandahimba ni wilaya inayopatikana Mkoa wa Mtwara, unapotaka kwenda waweza panda mabasi ya Dar-Tandahimba mfano wa basi ni TANDAHIMBA XPRESS (Bovubovu hivi) au upande basi linaloenda Masasi kutokea Dar then shuka Mtama (Kwa Bwana Mkubwa) hapo utapata mabasi ya huko, changamoto ya huko ni barabara mbovu tu ndo maana hata mabasi yanayokwenda huko ni yale ya tripu moja Dar Tripu gereji.