The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Hahahha....mi nilivyosikia ni kwamba hakutaka watuwawe na tv ili wasijue yanayoendelea nje ya sehemu walipo...sasa yeye kwasababu anayo anakuja kuwadanganya ana maono haya na yale kuhusu ulimwengu unapoelekea.Siku ya pili watu wakisikia zile habari kwenye redio au sijui kwenye magazeti basi wanazidi kumwamini maana anajua mambo!!!Ntakitafuta!!!
hiyo inawezekana
but alikataza watu tv
yeye aliiona ni luxury watu kutazama tv
watu watakuwa wavivu,wasifanye kazi...
halafu enzi hizo radio za mkulima zilikuwa
zinatengenezwa hapa nchini,
kiwanda cha tv ingekuwa ishu,
so akaona bora marufuku