Mwalimu na mwanafunzi wabambwa!!!

Wa mmoja

Member
Aug 4, 2009
99
0
Mwanafunzi asimamishwa masomo, lakini mwalimu wake aachwa akipeta

Mwalimu mmoja wa shule ya sekondari ya wasichana Maswa Chacha Mussa (28) amekutwa na mwanafunzi wake wa kidato cha tatu (jina tunalihifadhi) mwenye umri wa miaka (16), wakijiandaa kufanya mapenzi.

Tukio hilo lilitokea Agosti 7, mwaka huu saa 7:45 mchana baada ya uongozi wa shule hiyo kupata taarifa kwamba mwalimu Chacha alikuwa nyumbani kwake na mwanafunzi.
Baada ya taarifa hizo, Mkuu wa Shule Msaidizi, Paschal Athanas na mwalimu wa zamu waliamua kwenda nyumbani kwa mwalimu na kumbamba akiwa chumbani kwake na mwanafunzi huyo.

Aidha, kutokana na tukio hilo mwanafunzi huyo amesimamishwa masomo kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kuruhusu uchunguzi kufanyika.
Hata hivyo, mwalimu wake bado anaendelea na kazi ya kufundisha kama kawaida na hakuna hatua yoyote ya kisheria ikiyochukuliwa dhidi yake.

Kamanda wa Polisi mkoani hapa Kamishina Msaidizi Daudi Siasi alisema kuwa baada ya tukio hilo kutokea polisi walipewa taarifa na kwenda kwenye shule hiyo ambapo mwanafunzi huyo alipelekwa kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya serikali ya wilaya ya Maswa na kuonekana kuwa alikuwa hajafanyiwa kitendo chochote na mwalimu huyo.

Huu ni uchu au kitu gani?! Na kwa nini mwalimu asichukuliwe hatua yoyote au ndio sheria inavyosema?!
 
Jamani mbona siku hizi walimu wengi wana uchu sana? watoto wa shule nao wanayaweza.
 
Mwanafunzi asimamishwa masomo, lakini mwalimu wake aachwa akipeta

Mwalimu mmoja wa shule ya sekondari ya wasichana Maswa Chacha Mussa (28) amekutwa na mwanafunzi wake wa kidato cha tatu (jina tunalihifadhi) mwenye umri wa miaka (16), wakijiandaa kufanya mapenzi.

Tukio hilo lilitokea Agosti 7, mwaka huu saa 7:45 mchana baada ya uongozi wa shule hiyo kupata taarifa kwamba mwalimu Chacha alikuwa nyumbani kwake na mwanafunzi.
Baada ya taarifa hizo, Mkuu wa Shule Msaidizi, Paschal Athanas na mwalimu wa zamu waliamua kwenda nyumbani kwa mwalimu na kumbamba akiwa chumbani kwake na mwanafunzi huyo.

Aidha, kutokana na tukio hilo mwanafunzi huyo amesimamishwa masomo kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kuruhusu uchunguzi kufanyika.
Hata hivyo, mwalimu wake bado anaendelea na kazi ya kufundisha kama kawaida na hakuna hatua yoyote ya kisheria ikiyochukuliwa dhidi yake.

Kamanda wa Polisi mkoani hapa Kamishina Msaidizi Daudi Siasi alisema kuwa baada ya tukio hilo kutokea polisi walipewa taarifa na kwenda kwenye shule hiyo ambapo mwanafunzi huyo alipelekwa kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya serikali ya wilaya ya Maswa na kuonekana kuwa alikuwa hajafanyiwa kitendo chochote na mwalimu huyo.

Huu ni uchu au kitu gani?! Na kwa nini mwalimu asichukuliwe hatua yoyote au ndio sheria inavyosema?!

kwa umri huo alitakiwa awe shule huyo, maana naona kama wote ni watoto
 
Kuporomoka kwa maadili ni janga kwa jamii nzima, ni profession gani wanaoweza kusema ni salama? Waalimu kwa kuwa ni wengi kuliko wafanyakazi wengine na wanafanya kazi karibu sana na jamii ndo maana wanaonekana zaidi kuliko fani nyingine. mambo yanayofanyika maofisini ni ya aibu hata kuzungunza hapa, AIBU TUPU.

Yote kwa yote uadilifu umepungua sana kwenye hii taaluma ya ualimu ikichangiwa na mambo mengi:-
(1) Uelewa mdogo wa waalimu wenyewe na wakufunzi wao, hivyo kujikuta mwalimu hajaiva kisaikolojia kabla ya kuvikwa jukumi hili kubwa la kulea Taifa.
(2) Kuchanganyikiwa kwa waalimu kutokana na hali ngumu ya maisha, hivyo wanatafuta namna ya kujiliwaza. Maskini wengi raha yao ni ng****, wakati wenye fwedha zao wana njia nyingi za refreshment.
(3) Wanafunzi kukengeushwa na wazazi wao, hivyo kuwatia waalimu majaribuni. Nimefundisha kidogo na kuona jinsi baadhi ya mabinti walivyo na mbinu nyingi za kuwanasa waalimu wao, mara nyingine wanatumwa na wazazi wao.
 
Mwanafunzi asimamishwa masomo, lakini mwalimu wake aachwa akipeta

Mwalimu mmoja wa shule ya sekondari ya wasichana Maswa Chacha Mussa (28) amekutwa na mwanafunzi wake wa kidato cha tatu (jina tunalihifadhi) mwenye umri wa miaka (16), wakijiandaa kufanya mapenzi.

Tukio hilo lilitokea Agosti 7, mwaka huu saa 7:45 mchana baada ya uongozi wa shule hiyo kupata taarifa kwamba mwalimu Chacha alikuwa nyumbani kwake na mwanafunzi.
Baada ya taarifa hizo, Mkuu wa Shule Msaidizi, Paschal Athanas na mwalimu wa zamu waliamua kwenda nyumbani kwa mwalimu na kumbamba akiwa chumbani kwake na mwanafunzi huyo.

Aidha, kutokana na tukio hilo mwanafunzi huyo amesimamishwa masomo kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kuruhusu uchunguzi kufanyika.
Hata hivyo, mwalimu wake bado anaendelea na kazi ya kufundisha kama kawaida na hakuna hatua yoyote ya kisheria ikiyochukuliwa dhidi yake.

Kamanda wa Polisi mkoani hapa Kamishina Msaidizi Daudi Siasi alisema kuwa baada ya tukio hilo kutokea polisi walipewa taarifa na kwenda kwenye shule hiyo ambapo mwanafunzi huyo alipelekwa kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya serikali ya wilaya ya Maswa na kuonekana kuwa alikuwa hajafanyiwa kitendo chochote na mwalimu huyo.

Huu ni uchu au kitu gani?! Na kwa nini mwalimu asichukuliwe hatua yoyote au ndio sheria inavyosema?!

Kutokana na hii stori sioni kama kuna kosa lolote hapa, huyu kamanda wa polisi alikuwa na kiu ya kuandikwa gazetini na alikuwa na hamu ya kuongea na waandishi.
 
Kutokana na hii stori sioni kama kuna kosa lolote hapa, huyu kamanda wa polisi alikuwa na kiu ya kuandikwa gazetini na alikuwa na hamu ya kuongea na waandishi.
Sasa kwanini mwanafunzi arudishwe nyumbani na mwalimu aachwe?!
 
Sasa kwanini mwanafunzi arudishwe nyumbani na mwalimu aachwe?!

Nadhani proffessionally sio vizuri kwa mwalimu kumfundisha mpenzi wake ( labda ndo sababu) wanataka akatafute shule sehemu nyingine lakini kisheria hakuna jinai hapo
 
wanafunzi wanapenda sana kumegwa na walimu...! enzi zetu shuleni mbona ilikuwa kawaida ..! walimu kibao wameoa wanafunzi wao.....hata vyuo vikuu..!

waacheni wamegwe...!
 
Walimu wa voda fasta hawa watatuharibia watoto. Hawakupata muda wa kufundishwa maadili ya kazi ya ualimu.
 
Tehe tehe koh!!!siyo mbaya maana kama mwalimu lazima amfundishe mwanafunzi nyanja zote na kuna practical nyingine hazifanywi darasani.
 
Jamani acheni kabisa, mimi nimefundisha sana hizi shule za sekondari, unakuta kibinti kinakaa nyumaaaaa! harafu muda wote ni kulembua macho. Ukionekana kushabikia hayo macho kanaweza kukufunulia hata chuchu zake kidogo ili kukuchanganya zaidi.
Hata kama umesoma maadili ya kazi miaka saba, kuna siku utaingizwa mkenge tena kwa kulazimishwaaaa jamani yamemkuta rafiki yangu. Ngoja niishie hapo kwanza.
 
Midhali hilo tendo halikutendeka na daktari amethibitisha, kulikuwa hakuna haja ya kukuza hii stori magazetini. Huyu bwana Mussa Chacha anekuwa anajuwa haki zake angeweza kufungua kesi ya kuvunjiwa heshima na wahusika (gazeti husika na vyombo vya dola).
 
Mwanafunzi asimamishwa masomo, lakini mwalimu wake aachwa akipeta

Mwalimu mmoja wa shule ya sekondari ya wasichana Maswa Chacha Mussa (28) amekutwa na mwanafunzi wake wa kidato cha tatu (jina tunalihifadhi) mwenye umri wa miaka (16), wakijiandaa kufanya mapenzi.

Tukio hilo lilitokea Agosti 7, mwaka huu saa 7:45 mchana baada ya uongozi wa shule hiyo kupata taarifa kwamba mwalimu Chacha alikuwa nyumbani kwake na mwanafunzi.
Baada ya taarifa hizo, Mkuu wa Shule Msaidizi, Paschal Athanas na mwalimu wa zamu waliamua kwenda nyumbani kwa mwalimu na kumbamba akiwa chumbani kwake na mwanafunzi huyo.

Aidha, kutokana na tukio hilo mwanafunzi huyo amesimamishwa masomo kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kuruhusu uchunguzi kufanyika.
Hata hivyo, mwalimu wake bado anaendelea na kazi ya kufundisha kama kawaida na hakuna hatua yoyote ya kisheria ikiyochukuliwa dhidi yake.

Kamanda wa Polisi mkoani hapa Kamishina Msaidizi Daudi Siasi alisema kuwa baada ya tukio hilo kutokea polisi walipewa taarifa na kwenda kwenye shule hiyo ambapo mwanafunzi huyo alipelekwa kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya serikali ya wilaya ya Maswa na kuonekana kuwa alikuwa hajafanyiwa kitendo chochote na mwalimu huyo.

Huu ni uchu au kitu gani?! Na kwa nini mwalimu asichukuliwe hatua yoyote au ndio sheria inavyosema?!

Inategemea waliwakuta kwenye hali gani. Hata hivyo kama hakuwa amefanya tendo lolote llile huna namna ya kumshitaki. Unataka ashitakiwe kwa kosa gani? La kumuingiza mwanafunzi chumbani kwake? Je tuition haiwezi kufanyiwa chumbani kwake? Kimsingi hakuna shitaka ambalo Jamhuri inaweza kumfungulia ila uongozi wa shule unaweza ukamwadhibu kwa kumpeleka mwanafunzi wake chumbani kwake. Hao waliokwenda kumfuatilia walifanya kosa wangetakiwa wasubiri mpaka aanze shughuli au pengine walitaka kumnusuru huyo binti kutoka mikononi mwa Fataki. Msiseme huu ni uchu kwani umri wa huyo kijana bado ni umri wa kurukaruka hovyo.:becky:
 
Mwanafunzi asimamishwa masomo, lakini mwalimu wake aachwa akipeta

Mwalimu mmoja wa shule ya sekondari ya wasichana Maswa Chacha Mussa (28) amekutwa na mwanafunzi wake wa kidato cha tatu (jina tunalihifadhi) mwenye umri wa miaka (16), wakijiandaa kufanya mapenzi.

Tukio hilo lilitokea Agosti 7, mwaka huu saa 7:45 mchana baada ya uongozi wa shule hiyo kupata taarifa kwamba mwalimu Chacha alikuwa nyumbani kwake na mwanafunzi.
Baada ya taarifa hizo, Mkuu wa Shule Msaidizi, Paschal Athanas na mwalimu wa zamu waliamua kwenda nyumbani kwa mwalimu na kumbamba akiwa chumbani kwake na mwanafunzi huyo.

Aidha, kutokana na tukio hilo mwanafunzi huyo amesimamishwa masomo kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kuruhusu uchunguzi kufanyika.
Hata hivyo, mwalimu wake bado anaendelea na kazi ya kufundisha kama kawaida na hakuna hatua yoyote ya kisheria ikiyochukuliwa dhidi yake.

Kamanda wa Polisi mkoani hapa Kamishina Msaidizi Daudi Siasi alisema kuwa baada ya tukio hilo kutokea polisi walipewa taarifa na kwenda kwenye shule hiyo ambapo mwanafunzi huyo alipelekwa kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya serikali ya wilaya ya Maswa na kuonekana kuwa alikuwa hajafanyiwa kitendo chochote na mwalimu huyo.

Huu ni uchu au kitu gani?! Na kwa nini mwalimu asichukuliwe hatua yoyote au ndio sheria inavyosema?!

Wakijiandaaaa!!!!mmmh tata hii mkuu
mix with yours
 
Jamani acheni kabisa, mimi nimefundisha sana hizi shule za sekondari, unakuta kibinti kinakaa nyumaaaaa! harafu muda wote ni kulembua macho. Ukionekana kushabikia hayo macho kanaweza kukufunulia hata chuchu zake kidogo ili kukuchanganya zaidi.
Hata kama umesoma maadili ya kazi miaka saba, kuna siku utaingizwa mkenge tena kwa kulazimishwaaaa jamani yamemkuta rafiki yangu. Ngoja niishie hapo kwanza.
KUMBE KUNA KUONEKANA KUSHABIKIA PIA.....kumbe kuna choice sio kwamba unakuwa umekuwa constrained moja kwa moja eeeeh...
hao ni wanafunzii hbu tupe na ya walimu pia wai hufanya nini ......kitu gani ambazo wanafunzi nao wakionekana kushabikia.....
mwanamke jicho babu!!!! acheni kushabikia
mix with yours
 
...mnh,
sie wazazi tunaosomesha watoto wa kike kazi tunayo.
Mpaka siku unaozesha ndio .....pheeeeewwww!.
 
...mnh,
sie wazazi tunaosomesha watoto wa kike kazi tunayo.
Mpaka siku unaozesha ndio .....pheeeeewwww!.
Mod bana..

Sasa kama walimu wenyewe mnawalipa ndururu za kichuuzi mnadhania 'hasira' zao watazimalizia wapi? Principle ya anarchy ni kila mtu kumtafuta mnyonge wake!
 
Back
Top Bottom