Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Oparation Sangara Mkoani Morogoro imekutana na shule yenye wanafunzi 652 na Mwalimu mmoja tu. Shule hiyo ipo katika Kijiji cha Kadodo Kata ya Luale, Mvomelo Mkoani Morogoro. Hii ndo hali halisi ya elimu Tanzania baada ya miaka 50 ya uhuru chini ya utawala wa kifisadi wa CCM.
Wakati Chadema wapo kwenye Oparation Sangara vuguvugu la mabadiliko vijijini na mjini hadi kwa Watanzania wanaoishi nchi za nje, CCM wao wanaandaa BBQ Party na Vinywaji vingi kwa wanachama wake walioko nchi za nje. Mfano ni yanayojili katika Tawi lao la North London Uingereza
Habari ni kwa hisani ya
CHADEMA BLOG UK: Mwalimu mmoja wanafunzi 652
Wakati Chadema wapo kwenye Oparation Sangara vuguvugu la mabadiliko vijijini na mjini hadi kwa Watanzania wanaoishi nchi za nje, CCM wao wanaandaa BBQ Party na Vinywaji vingi kwa wanachama wake walioko nchi za nje. Mfano ni yanayojili katika Tawi lao la North London Uingereza
Habari ni kwa hisani ya
CHADEMA BLOG UK: Mwalimu mmoja wanafunzi 652