Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kuna Tcha fulani huko jimboni kwa Mzee wa Kilimo cha Mchicha New Zealand aliwahi kunitumia SMS ya propaganda kuwa Dr. Slaa si kitu si lolote.
Hivi majuzi nilizungumza naye kwa simu na kunieleza kuwa "mambo yenyewe hayaeleweki na sijui hata kama nitapiga kura maana tunafunga chuo tarehe 4 November"
Jamani CCM mwaka huu kunani??
Hivi majuzi nilizungumza naye kwa simu na kunieleza kuwa "mambo yenyewe hayaeleweki na sijui hata kama nitapiga kura maana tunafunga chuo tarehe 4 November"
Jamani CCM mwaka huu kunani??