R RECYCLER Senior Member Jan 14, 2012 104 10 Jan 18, 2012 #1 Mwalimu alimuuliza swali mwanafunzi; Nikikupa maandazi 4 ukitoa matatu yanabaki mangapi? Mwanafunzi akajibu: Ukiniongezea na chai hapo mwalim halibaki hata moja.
Mwalimu alimuuliza swali mwanafunzi; Nikikupa maandazi 4 ukitoa matatu yanabaki mangapi? Mwanafunzi akajibu: Ukiniongezea na chai hapo mwalim halibaki hata moja.
Mphamvu JF-Expert Member Jan 28, 2011 10,702 3,288 Jan 18, 2012 #2 Dah? Huyo dogo anafikiria kwa upana, akipewa inji maendeleo yatapatikana.