rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,192
- 20,164
huyo ndio mkono watu wanamsifia kwa kutoa madawati kumbe ni mtu anayeiuza nchi yetu kisirisiri halafu baadae anajitia kupiga kelele bungeni ndio maana wanampuuza wewe ndege na ardhi,madini au bandari wapi na wapi