JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 54,993
Kwa mtu kama Mwakyembe ambaye , mbele ya Bunge amemsema waziri mwenza wa Uchukuzi wa zenji kuwa amechelewa
kujiuzuru , na kama kweli anaamini kujiudhuru ni jambo la heshima kama alivyokuwa anajitamba bungeni ,
ni muda muafaka kwa yeye kuwajibika kuomba msamaha kwa kubeza na kudharau kitu ambacho hana uhakika nacho
hakukua na ulazima wa yeye kuibeza JF wakati wizara yenyewe yeye kahamishiwa majuzi tu
mtanzania1989,
..WHAT??!!
..Mwakyembe alimtetea huyo Waziri wa Znz wakati walipokuwa pamoja kwenye press conference.
..sasa leo anamruka na kutoa matamshi hayo bungeni??