Mwakyembe apigwa changa la macho

Hivi kila kiongozi atakayeugua aundiwe TUME kweli tutafika? Tume inaweza kundwa kama kulikuwa attempt ya kumua. Lakini kama ni ugonjwa kama magonjwa mengine report ya Dk wake inatosha.
 
utakuwa hufikrii sawasawa kwani mjandala inayoendeshwa na watanzania kote wahusika(wanaojadiliwa huwa wanaifungua) wao,huu mjadala ni wa jamii hivyo ni haki kwa kila taarifa ifanyiwe kazi,Mwakyembe ni kiongozi wetu mwadilifu lazima tujadili kila hatua inayofikiwa,unahisi mleta taarifa hii amekosea kusema alichokibaini au tatizo ni nini,mbona FISADI ALISEMA ENOUGH IS ENOUGH lakini mpaka leo ukienda arumeru wanaongelea ufisadi na fisadi anazungumzwa mpaka na walalahoi wa kawaida mtaani,tumia histori pia katika kufikia baadhi ya mambo!
 
utakuwa hufikrii sawasawa kwani mjandala inayoendeshwa na watanzania kote wahusika(wanaojadiliwa huwa wanaifungua) wao,huu mjadala ni wa jamii hivyo ni haki kwa kila taarifa ifanyiwe kazi,Mwakyembe ni kiongozi wetu mwadilifu lazima tujadili kila hatua inayofikiwa,unahisi mleta taarifa hii amekosea kusema alichokibaini au tatizo ni nini,mbona FISADI ALISEMA ENOUGH IS ENOUGH lakini mpaka leo ukienda arumeru wanaongelea ufisadi na fisadi anazungumzwa mpaka na walalahoi wa kawaida mtaani,tumia histori pia katika kufikia baadhi ya mambo!
JH Mh Mwaki alicheza tulufu hasi na matokeo yake ndiyo haya,hata kama aliingiwa kwa gear ya kutuliza mzuka wa watanzania lakini alipaswa kupima upepo.Lakin kwa sasa kama ni treni imeshachomoka iko mbali na kuifukuzia kwa Taxi na Petrol yenyewe wakati mwingine ya foreni si lahisi.Alipaswa kuuchuna asiongee kauri alizoongea na media juu ya watetezi wake ambao ni wananchi na JF.Ndio hivyo imetoka na ujumbe ndio huo hata kama ni kweli ama kweli its too late.
 
Huyu ndo adui namba moja ya maendeleo ya Tanzania. Alifanya kuwanyamazisha watu kwa sababu ya cheo. Its shame kwa mtu msomi kama Mwakyembe kushindwa kusema ukweli kwa sababu ya madaraka. We dont need such person. Mungu amtangulize mbele ya haki.
 
Hata kama tume ingeundwa bado ungetegemea ukweli wa kweli uanikwe?Mbona zipo tume nyingi sana zimeundwa--tena nyingine ni tume za kuchunguza tume, sembuse ya ugonjwa wa Mwakyembe...?Ni yale yale....
 
Mwakyembe mwenyewe ni tume kwa hiyo haina haja ya kuwa na tume mbili
bwana ni matumizi mabaya ya seriakali
 
Kwa kotounda tume mimi nashukuru maana fedha ya taifa ingeteketea kwa wanatume alafu mwisho wa siku report kwa recycle bin.
 
Afya ya mtu inaundiwa tume? Sikapata kusikia! Lengo la hiyo tume ni nini? Waziri akiumwa minyoo mnaunda tume Rubbish!
 
Alizuia kumjadili juu ya afya yake...tunataka kusikia mwakyembe amelifanyia nini taifa basi.
 
Nadhani kuna haja ya kuachana na hili la ugonjwa wa Mwakyembe. Kwanza, inaonekana linatumiwa kisiasa. Pili, Mwakyembe mwenyewe ameshaonyesha kwua hapendi au hataki ugonjwa wake ujulikane. Kwa hiyo, ninavyoona mimi hakuna maana yoyote ya mtu au taasisi nyingine kusema anaumwa nini.
 
Sie hatusemi kitu yeye kasema tuufyate sasa basi..............wameunda hawajaunda watajuana huko sisi tulilumbana akiwa mgonjwa huko India.............amerudi katuona sis ni ma "kachonchi kapanka" yaani wazabazabina fulani hivi..........

hahahahah,we mdau ndo umenena
 
Heshimuni ombi lake la kuufunga mjadala wa afya yake!

Hatuwezi kufunga mjadala wakati anatibiwa kwa kodi zetu, kama anataka ajihudhuru harafu atumie pesa yake kujibitbu na suala hilo litafungwa kama alivyoomba. Kutumia pesa ya serikali/yetu bila kujua nini kimetokea au kilitokea ni ufisadi mwingine; AMUA kuachia nafasi serikalini tutanyamaza
 
Back
Top Bottom