Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,181
Haya yote ni majungu tu. ukitaka kupata ukweli subiri uchunguzi ufanyike.
Kwanza nikufahamishe tu kipindi kile nilikuwa na P. Chizi pale community mimi nikiwa Mwanza. Na mpinzani wetu mkubwa alikuwa PW tukafikiri nguvu ya pesa na matangazo ya bure yangetusaidia. Wapi bwana!! nafikiri ni zaidi ya hapo. Wenzangu wa sahara walikuwa kila saa hewani kuhakikisha kila mtu anafikiwa na taarifa zetu.
Unajua biashara ya usafiri wa anga sio kama wengi wetu mnavyodhania.
Unapozungumzia aviation MBA zipo 5 ungejiuliza hao wengine wapo wapi? Najua wengi waliosomeshwa na Precision huko ufaransa. Kama unakumbuka uzindizi wa ndege za PW yule balozi mfaransa alisema hilo. Hivyo huko PW zitakuwa zipo nyingi tu. nakumbuka kikao cha mwisho nikiwa community kipindi hicho mafuta hayakuwa ghali kama sasa, kile kikao tuligundua kila tuliporusha ile ndege tulitengeneza hasara ya kama milioni nane hivi. Ikaonekana ni busara kupunguza kuruka kumbe ndio tunajimaliza.
Kwa ujumla tuache ushabiki manake mtakapoletewa hati ya madai(invoice) za ndege utashangaa ni mamilioni tu.
Niwape mfano mdogo tu:
ndege ya ATC inabeba abiria 100. Kwa nauli mlizosema za 199,000 kwenda mwanza na kurudi ni (100 X 2) X 199,000 unapata kama 39,800,800.(angalizo hapo viti vyote viwe na abiria).
Mafuta kwenda na kurudi ni kama 10,000usd. kwenda na kurudi ni masaa matatu(1700 X 3) =5100usd. huduma ardhini 1000usd. ukijumlisha unapata usd 16100. hii ni sawa na (16100 x 1600) tzs 25,760,000/-
Hapo utaona tofauti ni kama milioni 14. ukitoa kodi za serikali karibia (62,000 X 200) ni sawa na milioni 12.6.
Sasa hapo hujazungumzia hoteli ya hao wahudumu, usafiri, mishahara, gharama za kutumia airport, kupaki ndege, na mengine mengi.
Kuna biashara hapo???
Tuache kukurupuka tujenge hoja kuona nini kifanyike tuwe na international airline ambayo italeta abiria hapa wa kutosha ili tufaidike kwa njia nyingine lakini sio hii ya sasa.
napita tu wandugu, ngoja niwahi mwaloni.
Kwanza nikufahamishe tu kipindi kile nilikuwa na P. Chizi pale community mimi nikiwa Mwanza. Na mpinzani wetu mkubwa alikuwa PW tukafikiri nguvu ya pesa na matangazo ya bure yangetusaidia. Wapi bwana!! nafikiri ni zaidi ya hapo. Wenzangu wa sahara walikuwa kila saa hewani kuhakikisha kila mtu anafikiwa na taarifa zetu.
Unajua biashara ya usafiri wa anga sio kama wengi wetu mnavyodhania.
Unapozungumzia aviation MBA zipo 5 ungejiuliza hao wengine wapo wapi? Najua wengi waliosomeshwa na Precision huko ufaransa. Kama unakumbuka uzindizi wa ndege za PW yule balozi mfaransa alisema hilo. Hivyo huko PW zitakuwa zipo nyingi tu. nakumbuka kikao cha mwisho nikiwa community kipindi hicho mafuta hayakuwa ghali kama sasa, kile kikao tuligundua kila tuliporusha ile ndege tulitengeneza hasara ya kama milioni nane hivi. Ikaonekana ni busara kupunguza kuruka kumbe ndio tunajimaliza.
Kwa ujumla tuache ushabiki manake mtakapoletewa hati ya madai(invoice) za ndege utashangaa ni mamilioni tu.
Niwape mfano mdogo tu:
ndege ya ATC inabeba abiria 100. Kwa nauli mlizosema za 199,000 kwenda mwanza na kurudi ni (100 X 2) X 199,000 unapata kama 39,800,800.(angalizo hapo viti vyote viwe na abiria).
Mafuta kwenda na kurudi ni kama 10,000usd. kwenda na kurudi ni masaa matatu(1700 X 3) =5100usd. huduma ardhini 1000usd. ukijumlisha unapata usd 16100. hii ni sawa na (16100 x 1600) tzs 25,760,000/-
Hapo utaona tofauti ni kama milioni 14. ukitoa kodi za serikali karibia (62,000 X 200) ni sawa na milioni 12.6.
Sasa hapo hujazungumzia hoteli ya hao wahudumu, usafiri, mishahara, gharama za kutumia airport, kupaki ndege, na mengine mengi.
Kuna biashara hapo???
Tuache kukurupuka tujenge hoja kuona nini kifanyike tuwe na international airline ambayo italeta abiria hapa wa kutosha ili tufaidike kwa njia nyingine lakini sio hii ya sasa.
napita tu wandugu, ngoja niwahi mwaloni.