Mwakibete CUP2023 Hatua ya Nusu ya Fainali Katika Jimbo la Busokelo

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,903
945

MWAKIBETE CUP2023 HATUA YA NUSU FAINALI KATIKA JIMBO LA BUSOKELO

Mashindano ya Kombe la Mwakibete CUP 2023 hatimaye yamefikia hatua ya Nusu Fainali ambapo yanayotarajiwa kuendelea kutimua vumbi tarehe 19 Novemba, 2023 Uwanja wa Lwangwa.

Mashindano ya michezo ya Mwakibete CUP 2023 yameandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Busokelo, Mhe. Atupele Mwakibete kwa lengo la kuunga mkono juhudi za Serikali ya CCM ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuinua vipaji vya michezo kwa vijana

Aidha, Huu ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) 2020-2025 katika kuendeleza michezo kwani michezo ni ajira, michezo ni burudani na michezo ni afya na michezo ni sehemu ya kutuweka pamoja kwa Umoja

WATU WOTE MNAKARIBISHWA
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-11-14 at 07.12.48.jpeg
    WhatsApp Image 2023-11-14 at 07.12.48.jpeg
    91.9 KB · Views: 1
Kwaiyo miaka yote umekula miposho ya ubunge hakuna ulichofanya jimboni Sasa unaanzisha kombe uchwara kwanini hukuanzisha wakati unaanza
 

MWAKIBETE CUP2023 HATUA YA NUSU FAINALI KATIKA JIMBO LA BUSOKELO

Mashindano ya Kombe la Mwakibete CUP 2023 hatimaye yamefikia hatua ya Nusu Fainali ambapo yanayotarajiwa kuendelea kutimua vumbi tarehe 19 Novemba, 2023 Uwanja wa Lwangwa.

Mashindano ya michezo ya Mwakibete CUP 2023 yameandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Busokelo, Mhe. Atupele Mwakibete kwa lengo la kuunga mkono juhudi za Serikali ya CCM ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuinua vipaji vya michezo kwa vijana

Aidha, Huu ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) 2020-2025 katika kuendeleza michezo kwani michezo ni ajira, michezo ni burudani na michezo ni afya na michezo ni sehemu ya kutuweka pamoja kwa Umoja

WATU WOTE MNAKARIBISHWA
Ogoo ndaga na lingoma liwepo!
 

MWAKIBETE CUP2023 HATUA YA NUSU FAINALI KATIKA JIMBO LA BUSOKELO

Mashindano ya Kombe la Mwakibete CUP 2023 hatimaye yamefikia hatua ya Nusu Fainali ambapo yanayotarajiwa kuendelea kutimua vumbi tarehe 19 Novemba, 2023 Uwanja wa Lwangwa.

Mashindano ya michezo ya Mwakibete CUP 2023 yameandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Busokelo, Mhe. Atupele Mwakibete kwa lengo la kuunga mkono juhudi za Serikali ya CCM ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuinua vipaji vya michezo kwa vijana

Aidha, Huu ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) 2020-2025 katika kuendeleza michezo kwani michezo ni ajira, michezo ni burudani na michezo ni afya na michezo ni sehemu ya kutuweka pamoja kwa Umoja

WATU WOTE MNAKARIBISHWA
Peleka group la CCM huku Hakuna wajinga mnaoweza kuwadanganya Kwa dhamana ya mil.1.
 
Back
Top Bottom