Mwakani 2024 Ndio Itakuwa Mara ya Mwisho Kwa Tanzania Kuuza Mahindi Kenya.Waziri Bashe na Serikali Mumeandaa Soko Mbadala Kwa Wakulima wa Mahindi?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,128
49,863
Kwanza sijui kama hizi habari mnazo.

Ilianza ka Kuzuia kuingiza mahindi baada ya mavuno na Sasa muelekeo ni kukomesha kununua kabisa mahindi Nje ya Nchi hususani Tanzania.

Kulingana na Rais wa Kenya mwaka 2024 ndio itakuwa mwaka wa mwisho Kwa Kenya Kuagiza mahindi kutoka Nje ya Nchi na hapa mlengwa Mkuu ni Tanzania ambao tumekuwa tunategemea soko la Kenya.

View: https://twitter.com/TheStarKenya/status/1718631210212000222?t=ZxLz05RhTJGY9D3GhCRKOg&s=19

Kwa mantiki hii,Wizara ya Kilimo,Wizara ya Mifugo na Uvuvi,Wizara ya Fedha na Wizara ya Mipango na uwekezaji kaeni chini Ili mtafute njia mbadala y kuhakikisha Kilimo Cha mahindi kinaendelea vinginevyo kitaanguka na kuja kuleta njaa baadae Kwa kukosa soko.

Ushauri wangu Kwa Serikali ni huu hapa ;

-Tuhamasishe Ufugaji wa Kisasa Ili mahindi yapate soko kwenye mifugo Kwa Kutengeneza chakula Cha mifugo kama kuku,nguruwe,Ng'ombe na Samaki.

-Tuweke deadline ya kupiga marufuku uuzaji wa mahindi ghafi Nje ya Nchi na hivyo kuhamasisha value addition na kuuza unga.Hapa kwenye unga tutunge sheria ya kufanya blending Ili uzalishwe unga Lishe Kwa viwango vitakavyoelekezwa.

-Tuanze kulima kimkakati na kutegemea soko la ndani zaidi ambapo Serikali ndio iwe mnunuzi Mkuu.Serikali ianzishe programu za chakula ch asubuhi na mchana Kwa Watoto wa Shule ambapo Wazazi tutachangia gharama kidogo ya chakula in terms of money.

-Tutafute masoko mengine Nje ya Nchi Kwa kuingia makubaliano maalumu na mashirika na Nchi Ili Wakala za Serikali ziuze chakula Cha ziada huko yaani NFRA na Bodi ya Mazao Mchanganyiko CPB.

Mwisho mwenye maoni mengine ya jinsi ya kukabiliana na Ukomwengu unaobadilika aweke hapa.

Mahindi ndio chakula Kikuu Cha Tanzania na ndio zao kuu la Biashara Kwa Zaidi ya nusu ya Mikoa ya Tanzania.

Kufanya mzaha ni Kuchezea na Uchumi wa watu na Ustawi wao.
Screenshot_20231030-065545_1.jpg
 
Wakulima msije kusema sijawaambia,Kama mahindi Kwa Sasa ni 60,000-65,000 Mikoa inayolima kuanzia mwakani bei zinaweza poromoka zaidi maana wanunuzi hawapo.
 
Kwanza sijui kama hizi habari mnazo.

Ilianza ka Kuzuia kuingiza mahindi baada ya mavuno na Sasa muelekeo ni kukomesha kununua kabisa mahindi Nje ya Nchi hususani Tanzania.

Kulingana na Rais wa Kenya mwaka 2024 ndio itakuwa mwaka wa mwisho Kwa Kenya Kuagiza mahindi kutoka Nje ya Nchi na hapa mlengwa Mkuu ni Tanzania ambao tumekuwa tunategemea soko la Kenya.

View: https://twitter.com/TheStarKenya/status/1718631210212000222?t=ZxLz05RhTJGY9D3GhCRKOg&s=19

Kwa mantiki hii,Wizara ya Kilimo,Wizara ya Mifugo na Uvuvi,Wizara ya Fedha na Wizara ya Mipango na uwekezaji kaeni chini Ili mtafute njia mbadala y kuhakikisha Kilimo Cha mahindi kinaendelea vinginevyo kitaanguka na kuja kuleta njaa baadae Kwa kukosa soko.

Ushauri wangu Kwa Serikali ni huu hapa ;

-Tuhamasishe Ufugaji wa Kisasa Ili mahindi yapate soko kwenye mifugo Kwa Kutengeneza chakula Cha mifugo kama kuku,nguruwe,Ng'ombe na Samaki.

-Tuweke deadline ya kupiga marufuku uuzaji wa mahindi ghafi Nje ya Nchi na hivyo kuhamasisha value addition na kuuza unga.Hapa kwenye unga tutunge sheria ya kufanya blending Ili uzalishwe unga Lishe Kwa viwango vitakavyoelekezwa.

-Tuanze kulima kimkakati na kutegemea soko la ndani zaidi ambapo Serikali ndio iwe mnunuzi Mkuu.Serikali ianzishe programu za chakula ch asubuhi na mchana Kwa Watoto wa Shule ambapo Wazazi tutachangia gharama kidogo ya chakula in terms of money.

-Tutafute masoko mengine Nje ya Nchi Kwa kuingia makubaliano maalumu na mashirika na Nchi Ili Wakala za Serikali ziuze chakula Cha ziada huko yaani NFRA na Bodi ya Mazao Mchanganyiko CPB.

Mwisho mwenye maoni mengine ya jinsi ya kukabiliana na Ukomwengu unaobadilika aweke hapa.

Mahindi ndio chakula Kikuu Cha Tanzania na ndio zao kuu la Biashara Kwa Zaidi ya nusu ya Mikoa ya Tanzania.

Kufanya mzaha ni Kuchezea na Uchumi wa watu na Ustawi wao.
View attachment 2797678

Cheap politics !! Na wewe mtu mzima unanunua hayo maneno ya Ruto? Ulishawahi kutembea Kenya uone jinsi ambavyo hao jamaa kwa miaka mingi Sana mbele bado watatutegemea kwa chakula ?
Ruto alisema ndani ya mwezi mmoja angeifanya us dollar iwe useless alifanikiwa?
 
Wakenya hawana ardhi ya kilimo cha kutosheleza mahitaji yao. wamejazana Tanga wakitafuta ardhi ya kulima wengine wapo ruvuma hadi kindendeule wanaongea
Kinacholima sio Ardhi kubwa Bali productivity per area mfano teknolojia ya GMO unaweza zalisha Tani 11 Kwa hekta 1.

Tanzania tunaparua Ardhi hakuna Kilimo.
 
Back
Top Bottom