peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,830
- 21,460
Wakuu, happy new year 2024.
Wenye taarifa za miradi ifuatayo tukutane tujadiliane:
1. Uwanja wa ndege wa Msalato
2. Ujenzi wa barabara ya mwendokasi kuelekea uwanja wa ndege wa Dar
3. Ujenzi wa chuo kikuu Butiama
4. Ujenzi wa barabara Kwa kiwango cha lami kutoka SikongeTabora hadi Makongorosi mkoa wa Mbeya.
5. Mradi wa Nickel huku Kabanga Kagera
6. Mradi wa bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere
7. SGR kipande cha MWANZA kwenda Isaka, Dodoma kwenda Tabora, Dar kwenda Morogoro na Tabora kwenda Kigoma.
8. Ujenzi wa substation ya umeme wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya.
9. Ujenzi wa barabara za jiji la Mbeya.
10. Ujenzi au ukarabati wa barabara ya Arusha kwenda Moshi huko Kilimanjaro
11. Ujenzi wa bomba la mafuta Hohima nchini Uganda hadi Tanga Tanzania
12. Ujenzi wa bomba la gasi kutoka Tanga kwenda Mombasa.
23. DP world bandari ya Dar es salaam.
Wenye taarifa za miradi ifuatayo tukutane tujadiliane:
1. Uwanja wa ndege wa Msalato
2. Ujenzi wa barabara ya mwendokasi kuelekea uwanja wa ndege wa Dar
3. Ujenzi wa chuo kikuu Butiama
4. Ujenzi wa barabara Kwa kiwango cha lami kutoka SikongeTabora hadi Makongorosi mkoa wa Mbeya.
5. Mradi wa Nickel huku Kabanga Kagera
6. Mradi wa bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere
7. SGR kipande cha MWANZA kwenda Isaka, Dodoma kwenda Tabora, Dar kwenda Morogoro na Tabora kwenda Kigoma.
8. Ujenzi wa substation ya umeme wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya.
9. Ujenzi wa barabara za jiji la Mbeya.
10. Ujenzi au ukarabati wa barabara ya Arusha kwenda Moshi huko Kilimanjaro
11. Ujenzi wa bomba la mafuta Hohima nchini Uganda hadi Tanga Tanzania
12. Ujenzi wa bomba la gasi kutoka Tanga kwenda Mombasa.
23. DP world bandari ya Dar es salaam.