Mwai Kibaki ni Rais Kenya kwa Miaka 10 sasa; JK Kikwete Miaka 7; Kibaki kaondoa tatizo ka Usafiri

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
391378_10151022211098303_2117840420_n.jpg



Angalia hizi Barabara, ni kama za USA zilivyo pana na Mabango hayachanganyi wanaosafiri...

Ni kwanini Serikali ya CCM haiwezi kujihusisha na Project's kubwa kama hizi? Yaani Unakumbuka walipojenga'

Salendar Bridge wakati wa Nyerere na walikuwa ni KAJIMA? ile Barabara iko vilevile... Lakini baada ya Nyerere

kuondoka waliwaita KAJIMA; Barabara zikawa kama mitumbwi kwanini? hakuna UFANISI wote ni 10% hakuna

Uchungu wa NCHI; Hembu angalia wakenya na UKABILA wao wanatuzidi sasa...


Kenya elevated highway works to start in January 2013


Works on an elevated highway in Kenya are due to begin in January 2013.

The initial US$200million cost of the project will be funded by the World Bank. The 12km stretch above the present Waiyaki Way and Mombasa Road-Uhuru Highway is due to be completed in 2015
 
391378_10151022211098303_2117840420_n.jpg



Angalia hizi Barabara, ni kama za USA zilivyo pana na Mabango hayachanganyi wanaosafiri...

Ni kwanini Serikali ya CCM haiwezi kujihusisha na Project's kubwa kama hizi? Yaani Unakumbuka walipojenga'

Salendar Bridge wakati wa Nyerere na walikuwa ni KAJIMA? ile Barabara iko vilevile... Lakini baada ya Nyerere

kuondoka waliwaita KAJIMA; Barabara zikawa kama mitumbwi kwanini? hakuna UFANISI wote ni 10% hakuna

Uchungu wa NCHI; Hembu angalia wakenya na UKABILA wao wanatuzidi sasa...
Unaangalia upande mmoja tu wa shilingi, unatuonyesha picha za barabara za Nairobi mji mkuu, lakini hauonyeshi barabara za kuunganisha mikoa kwa mikoa, na ninaweza kukuhakishia ukionyesha kwa wakenya barabara zetu za kuunga mikoa kwa mikoa wataona wivu sana nimesafiri sana Kenya na ninakwambia kwa miundo mbinu hawatufikii hata kidogo!

Hivi unafikiri kuunganisha Tz ~ km za mraba karibu 1 000 000 nzima kwa br ni kazi ndogo, Tanzania unaweza kusafiri zaidi ya km 1000 lami tupu Kenya huwezi kwa hiyo next time jaribu kuwa fair, na usiwe mbinafsi kwa kuangalia tu unapoishi,Tz ni zaidi ya Dar! Baada ya miaka michache utaweza kutoka Dar kuzungukia Mtwara mpaka Songea na kunyoosha mpaka unafika Mwanza kama unaona hilo ni bure basi kuna tatizo!
 
Unaangalia upande mmoja tu wa shilingi, unatuonyesha picha za barabara za Nairobi mji mkuu, lakini hauonyeshi barabara za kuunganisha mikoa kwa mikoa, na ninaweza kukuhakishia ukionyesha kwa wakenya barabara zetu za kuunga mikoa kwa mikoa wataona wivu sana nimesafiri sana Kenya na ninakwambia kwa miundo mbinu hawatufikii hata kidogo!

Hivi unafikiri kuunganisha Tz ~ km za mraba karibu 1 000 000 nzima kwa br ni kazi ndogo, Tanzania unaweza kusafiri zaidi ya km 1000 lami tupu Kenya huwezi kwa hiyo next time jaribu kuwa fair, na usiwe mbinafsi kwa kuangalia tu unapoishi,Tz ni zaidi ya Dar! Baada ya miaka michache utaweza kutoka Dar kuzungukia Mtwara mpaka Songea na kunyoosha mpaka unafika Mwanza kama unaona hilo ni bure basi kuna tatizo!

Hii inaenda hadi THIKA; MOMBASA; NAKURU unakumbuka inatengenezwa na Wachina ni

ile express way yao... iliyokuwa inaua kama Dar-Dodoma; Mbeya-Dar



 
Aiseee baba yangu pongezi za dhati zimwendee mwai kibaki kwa kumteuwa waziri mwenye dhamana ni matumaini yangu vigezo na masharti vilizingatiwa

nirudi nyumbani tz baba rizi kamteuwa waziri shosti wake unategemea nini kwanza yeye ndie alimpa pesa za campeni

mbege ya leo inakauchachu
 
Ukweli husemwa:


Hakuna kitu kinachonihudhunisha kwa Watanzania kuwa na hizi fikra kuwa Kenya is better than Tanzania.

Wakati mwingine ni vigumu kujua uzuri wa nguo uliyoivaa mwenyewe hata ukijiangalia kwa kutumia kioo.

Kama unataka kulinganisha uongozi na mafanikio kati ya Raisi mwai Kibaki na Raisi Jakaya Kikwete jaribu kuwa na fikra pana ili ulinganishaji wako uonekane kidogo sahihi kwenye macho ya watu wenye fikra pana. otherwise, you'll look like having biased and corrupted mind.
 
Mpeni Kikwete muda atekelezea ahadi zake. Baada ya miaka mitatu Kigoma itakuwa kama Dubai. Ziwa Viktoria litakuwa na meli mpya mpya. Wanafunzi wetu kila mmoja atakuwa na laptop. Mpeni muda.

Na walimu watafundisha kwa kutumia mtandao kwa maana nyingine uhaba wa walimu utakuwa historia...niseme zaidi?
 
Unaangalia upande mmoja tu wa shilingi, unatuonyesha picha za barabara za Nairobi mji mkuu, lakini hauonyeshi barabara za kuunganisha mikoa kwa mikoa, na ninaweza kukuhakishia ukionyesha kwa wakenya barabara zetu za kuunga mikoa kwa mikoa wataona wivu sana nimesafiri sana Kenya na ninakwambia kwa miundo mbinu hawatufikii hata kidogo!

Hivi unafikiri kuunganisha Tz ~ km za mraba karibu 1 000 000 nzima kwa br ni kazi ndogo, Tanzania unaweza kusafiri zaidi ya km 1000 lami tupu Kenya huwezi kwa hiyo next time jaribu kuwa fair, na usiwe mbinafsi kwa kuangalia tu unapoishi,Tz ni zaidi ya Dar! Baada ya miaka michache utaweza kutoka Dar kuzungukia Mtwara mpaka Songea na kunyoosha mpaka unafika Mwanza kama unaona hilo ni bure basi kuna tatizo!

Basi na sisi tuonyeshe barabara zetu kuu za dar es salaam mbona mnakataa ukweli?!!
 
kwa mipango yao, kenya wako mbali si tumebakia na ubishi,ufisadi, kutochambua mambo kwa makini, majibu mepesi kwa maswali magumu,hatuna dira inayoeleweka. wakenya wameomba kuandaa olimpic 2024, sijui kama viongozi wetu wamewahi waza mambo kama hayo,
 
Hata kama ni uzalendo,ifike mahali tukubali kwamba wenzetu wapo juu zaidi yetu.viongozi wetu wamekalia kujenga makasri na kujaza malori ya usafirishaji.wenzetu tayari wanampango wa kujenga pipeline from turkana to arusha.sisi tunawaza jinsi ya kukwiba tu.puuuu.
 
...ifike mahali tukubali kwamba wenzetu wapo juu zaidi yetu...
“If you haven't confidence in self, you are twice defeated in the race of life. With confidence, you have won even before you have started. ”
Marcus Mosiah Garvey
 
Mpeni Kikwete muda atekelezea ahadi zake. Baada ya miaka mitatu Kigoma itakuwa kama Dubai. Ziwa Viktoria litakuwa na meli mpya mpya. Wanafunzi wetu kila mmoja atakuwa na laptop. Mpeni muda.
Hapo kwenye laptop kwa sekondari napakumbuka, sijui yaliishia wapi
 
Unaangalia upande mmoja tu wa shilingi, unatuonyesha picha za barabara za Nairobi mji mkuu, lakini hauonyeshi barabara za kuunganisha mikoa kwa mikoa, na ninaweza kukuhakishia ukionyesha kwa wakenya barabara zetu za kuunga mikoa kwa mikoa wataona wivu sana nimesafiri sana Kenya na ninakwambia kwa miundo mbinu hawatufikii hata kidogo!

Hivi unafikiri kuunganisha Tz ~ km za mraba karibu 1 000 000 nzima kwa br ni kazi ndogo, Tanzania unaweza kusafiri zaidi ya km 1000 lami tupu Kenya huwezi kwa hiyo next time jaribu kuwa fair, na usiwe mbinafsi kwa kuangalia tu unapoishi,Tz ni zaidi ya Dar! Baada ya miaka michache utaweza kutoka Dar kuzungukia Mtwara mpaka Songea na kunyoosha mpaka unafika Mwanza kama unaona hilo ni bure basi kuna tatizo!

Upembuzi yakinifu unaendelea, wahisani wameishapatikana, wafadhali wa kulipa fidia wananchi wanatafutwa, serikali hii sikivu imesikia na jitihada zinafanyika.....blah blah blah.
 
Unaangalia upande mmoja tu wa shilingi, unatuonyesha picha za barabara za Nairobi mji mkuu, lakini hauonyeshi barabara za kuunganisha mikoa kwa mikoa, na ninaweza kukuhakishia ukionyesha kwa wakenya barabara zetu za kuunga mikoa kwa mikoa wataona wivu sana nimesafiri sana Kenya na ninakwambia kwa miundo mbinu hawatufikii hata kidogo!

Hivi unafikiri kuunganisha Tz ~ km za mraba karibu 1 000 000 nzima kwa br ni kazi ndogo, Tanzania unaweza kusafiri zaidi ya km 1000 lami tupu Kenya huwezi kwa hiyo next time jaribu kuwa fair, na usiwe mbinafsi kwa kuangalia tu unapoishi,Tz ni zaidi ya Dar! Baada ya miaka michache utaweza kutoka Dar kuzungukia Mtwara mpaka Songea na kunyoosha mpaka unafika Mwanza kama unaona hilo ni bure basi kuna tatizo!
Mkuu ukisema hizo barabara nzuri ni za nairobi tuu unakosea kwa kulinganisha barabara za kuunganisha mikoa na hizi za kwetu. Tofauti iliyopo ni kwamba barabara nyingi za kuunganisha mikoa huko kenya ni za siku nyingi sana na inakuwa unfair kufanya comparison na barabara zetu mpya ambazo hata nyingi hazijamaliza miaka mitano. Ukweli tutoe credit panapofaa, hatua waliyofikia ni nzuri na kama ulivyosema umetembea sana huko utajua na utaona kwamba barabara unazosema zimejichokea sasa hivi aidha zipo zinafanyiwa ukarabati na nyingine zinajengwa upya na kwa speed hiyo bado tutakuwa nyuma yao hasa ukizingatia Dar bado wapo kwenye mchakato, wapo mbioni, wanafanya utaratibu wa kupata mkandarasi etc, etc, etc kwa ajili ya kufanya copy paste ya walichofanya Nairobi. Nadhani hapa issue sio kilometa za barabara kuwa nyingi pia tuangalie rasilimali zetu ambazo zinatosheleza kabisa kuweka lami hata barabara ya Bunda - Mugumu nasi tuwe tunasafiri kwa raha kiasi..
 
Mpeni Kikwete muda atekelezea ahadi zake. Baada ya miaka mitatu Kigoma itakuwa kama Dubai. Ziwa Viktoria litakuwa na meli mpya mpya. Wanafunzi wetu kila mmoja atakuwa na laptop. Mpeni muda.

Ameeeeen!
 
Na walimu watafundisha kwa kutumia mtandao kwa maana nyingine uhaba wa walimu utakuwa historia...niseme zaidi?
Flyovers za kutupa!! Reli na train za mwendo kasi Mwanza - Dar, Meli kubwa mpya ziwa victoria!! Alinacha kweli tuna shida ya kuchambua tunadanyanywa kama vitoto vy under five yaani.
 
Tutafika tu. Kuna watu wabishi wakiambiwa ukweli. Ni ukweli kuwa hatuna plan kama wernzetu. Angalia kilas bajet tunaambiwa folen Dar itakuwa historia lakini badala ya nafuu ndo hali iazidi kuwa mbaya. Bongo hakuna tunaweza kujivunia. Tutaendelea na mapango, mara mikakati mradi siku zina zinasonga. Si elimu, si kilimo, si utalii, si miundombinu. Wakati wenzetu wanafikiri kujenga bomba la mafuta kutoka kwao hadi Arusha sisi tumeshindwa bomba la Dar Mwanza. Ni kama tumelaaniwa hivi.
 
Back
Top Bottom