Buswelu hivi lile soko la Maganzo bado lipo??? ilikuwa raha jamani eti mnakwenda na Baiskeli kununu mitumba mnakula miwa ha ha ha mweeehhh
Dena bado lipo ha aha ila kina daya na wenyewe wapo...nakumbuka kwenda na baiskeli kupitia kule line polisi.....kupita kwenye mibuyu....huyuu mpaka maganzo.
Kanisa la mafundisho ya kikatoliki Dena Amsi Kumbuka Hapa!!!
kompa bado ipo mambo yote ya burudani
Huyu atakuwa anazungumzia "Maendeleo" sijui nayo bado inafanyakazi??
Nasikia "Twiga" kumekuwa poa sana siku hizi
Nimeona hiyo shule imekuwa nzuri sana Lewis bado tu yupo?? Atazeekea hapo aisee
Nasikia "Twiga" kumekuwa poa sana siku hizi
williamson statue - huyu ndio mgunduzi wa mgodi huu ambao kwa sasa wafanana na zizi.. View attachment 42342 head office ambayo yake aliyojenga... View attachment 42343
hivi imetusaidia nini mpaka sasa hivi..?Mwadui ilikua zamani bwana,Ulaya ndogo
Ukianzia williamson alisaidia walau akajenga mgodi,maana wazee walizichezea bao almasi,watu walipata ajira,na kodi alilipa kwa serikali ya Tanganyika.hivi imetusaidia nini mpaka sasa hivi..?
hivi imetusaidia nini mpaka sasa hivi..?
Ukianzia williamson alisaidia walau akajenga mgodi,maana wazee walizichezea bao almasi,watu walipata ajira,na kodi alilipa kwa serikali ya Tanganyika.