Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mkuu upo kumbe?Hakuna maongezi zaidi ya kumwambia JK asikomalie benki yetu ya Mkombozi Bank.
Mkuu upo kumbe?Hakuna maongezi zaidi ya kumwambia JK asikomalie benki yetu ya Mkombozi Bank.
Acheni Ushabiki Wa Kijinga Mkombozi Imetakasa Vipi Hizo Pesa Chafu?
Tumefika pabaya sana kama nchi. Yaani kiongozi wa dini kuonana na rais raia tunaona ni tatizo!!! Wanaongea mema tu. Wangeweza onana kimya kimya kama wangekuwa na nia mbaya.
ndiyo, bank ya mkombozi imetakasa pesa chafu.Acheni Ushabiki Wa Kijinga Mkombozi Imetakasa Vipi Hizo Pesa Chafu?
Ni Bahati mbaya sana kwamba Viongozi wengi wa dini wamegeuka kuwa wanasiasa na kuishia kupokea fedha chafu zinazozalilisha kanisa na utu wetu. Nilitegemea Pengo awe ameshamwajibisha Askofu Kilaini kwa kupokea chafu kupitia Benki ya Mkombozi ambayo ni Mali ya Kanisa Katoliki. Safari hii hatununuliki hata makanisani.. Tumechoka Ma CCM.
Ameenda kupeleka ilani ya uchaguzi na kikwete nakusihi wembe ni uleule kama 2010 waamie cahadema tena maana kule waneona mchuzi umeingia mende wanarudi tena ccm.Asiyetaka anye boga
Hongera JK Hongera Kardinal Pengo.
/QUOTE]
Acheni Ushabiki Wa Kijinga Mkombozi Imetakasa Vipi Hizo Pesa Chafu?
Ni tatizo tena tatizo kubwa kabisa. Pengo ni kiongozi wa RC Tanzania ambao ndiyo wanaomiliki Mkombozi Bank na hela za kifisadi zimepitia kwenye bank hiyo huku wanufaika wengine wakiwa na maaskofu na padre wa kanisa hilo, hivi unafikiri kwa nini watu wasihisi pengine pamoja na mambo mengine pengine Pengo ameenda kujipendekeza kwa JK ili benk yao iendelee kupeta?
Maaskofu wamepata mgawo wa hela za kifisadi mpaka leo kanisa halijatoa tamko lolote unafikiri sisi waumini tutaendelea kuwaamini? Kama viongozi wa dini wanashiriki dili za kifisadi mimi nawaona ni sawa sawa tu na mafisadi wengine. Wa-RC wanatakiwa wagome kutoa sadaka mpaka Kilaini na mwenzake Nzigilwa warudishe hela za Watanzania.
Right. Rugemarila alishaliweka sawa kanisa kabla hajapitisha fedha benki ya kanisa. Tibaijuka kaulizwa na Rais, kwa nini pesa ziliingia kwa jina lako na sio la shule inayopewa msaada, akasema ndio sharti la mtoa fedha. Sasa jiulize, kwa nini Rugemarila alilazimisha pesa isipitie benki yoyote kama sio hela chafu? Kanisa Katoliki limetakatisha fedha ndo maana maaskofu wamelipwa.hela za kifisadi zimepitia kwenye bank hiyo huku wanufaika wengine wakiwa na maaskofu na padre wa kanisa hilo, hivi unafikiri kwa nini watu wasihisi pengine pamoja na mambo mengine pengine Pengo ameenda kujipendekeza kwa JK ili benk yao iendelee kupeta?
Mara ya mwisho alionekana ofisini mwaka 2010 kama hiyo desk calender inavyosema. Tunataka kumuona zaidi akifanya kazi za nchi, sio kila siku ni mikutano na Mama yake Ray C na Mama yake Hashimu na Diamond na maaskofu wanao abet money laundering.
Kilaini siyo msaidizi wa Pengo, wote hao ni wateule wa Papa, na Pengo alishasema hawezi kuliongelea hilo kwani mwenye mamlaka juu ya Kilaini ni Papa mwenyewe.Tunataka kauli pengo! Vp kuhusu msaidizi wako kuhusika katika hili?
Mnajiuliza na kujijibu wenyewe. Roman Catholic church will always be powerful bila ya kujali mashambulizi ya walugaluga