mkatagogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 229
- 43
Toka awamu ya tano iingie madarakani kumekuwepo na maneno mengi yakumponda na kudhalilisha rais wa awamu ya NNE na wengine walikuwa ndio washauri wake wakuu Leo wanajifanya kuvaa sura tofauti unafiki huu haukubaliki,mlikuwa washauri wabaya wa rais Leo mnajifanya kuwa bora rai yangu kwenu ni kuwa mwacheni rais wa awamu ya nne apumzike